Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jamani wandugu hivi mshatafakari haya ya mmarekani kwa undani zaidi? Hivi ni hawa mataifa ya europ kwa nini hawakumpiga mugabe? Ulishajiuliza kwa sababu nchi yake haina dili. Na kwa nini wamemuuwa...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
I had never thought to be politician in my life, however I wish one to have an opportunity to represent the people of my mother land in the law making body as they had never been represented...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
siamini kama tigo wataweza hii huduma ya intanet walioanzisha wiki hii
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa ninavyowajua tigo hii huduma yenu ya intanet mliyoanzisha wiki hii yangu macho
0 Reactions
0 Replies
728 Views
hawawezi kumuelewa hawa udini umewakaa sana labda angekuwa yule padri mzinzi slaa.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mara nyingine tena,Polisi wameibuka kidedea katika mashindano ya taasisi mahiri kwa kupokea rushwa,wanafurahi na kupongezana kwa ushindi wao,hawa ni wale ambao wamepewa mafunzo ya...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Wameacha kuripoti kinachojiri dodoma kwa ni zamu ya wabunge wa upinzani waanza kuchangia. hii ni nini jamani kwa chombo hiki kinachoendeshwa kwa kodi zetu?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
tatizo kubwa la wabunge wa CCM ni kuwa wanafuata mkumbo! endapo angeanzisha mmoja tu kumuunga mkono LISSU au kupinga mswada huu kusomwa mara ya pili, ninaamini wote wangemgeuzia upepo waziri wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo EWURA wametoa tangazo kwa umma katika vyombo vya habari ikiwa ni wito wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu ombi la Tanesco kupandisha bei ya huduma ya umeme.Tangazo ni full page ambayo naamini...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
"I've been seeing some really unusual and disturbing pictures on my facebook news feed over the last 24 hours. Lots of pornographic pictures and really violent images have been showing on my...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
MWIGIZAJI na mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere' ameandaa filamu inayoitwa Mr. President ambayo ndani yake inachambua maisha ya kifamilia na kikazi ya Rais Jakaya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ilikua siku ya jumatano, maandamano yakiwa yamepamba moto..wanafunzi wakiwa wamegoma kuingia darasani kushinikiza wanafunzi wenzao waweze kutoka maabusu,maandamano yalianzia eneo la revolution...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Salaam , ndg zanguni , yamenikuta jana mwandani wangu alikwenda tabata kumsalimia rafiki yake, kwa bahati mbaya hakuwa na mtu ktk gari hivyo alipofika kwa mwenyeji wake...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimeshindwa kumuelewa mh.Mrema wanasimamia lipi katika Mswada wa katiba mpya,Jambo ambalo limebeba utaifa wa tanzania ya sasa na ijayo jana nimemsikiliza mh. Mrema nkashindwa kumuelewa bwana huyu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mfungwa mmoja wa gereza la tarime amepanda juu ya mti na shuka na kuanza kupiga kelele ya kwamba wananyanyaswa gerezani humo kwa kupigwa na kutopata chakula na kuna wenzao wawili teyari wamekwisha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejaribu kupitia one of magazetiz online nikakuta Mtanzania Daima ikikohoa. Inawezekana Webmaster wao sijui kasinzia, kaweka story ya sijui miaka mingapi iliyopita. Nawashauri kuwa waangalifu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa jukwaa la katiba ndugu Deus.jumapili iliyopita alitangaza maandamano nchi nzima iwapo bunge litapitisha mswada na kuwa sheria leo hii mswada umepitishwa na upande mmoja hali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu tujuzeni kama jk ameshaanza kulihutubia taifa? huku tabora tbc redio haipatikani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
wakuu nilikuwa naangali tv nikaona mji unaitwa dar es salaam huko yemen,yaani nilichukia kweli yaani kumbe wale waarabu waliokuja hapa karne ya 18 na kuwachukua babu zetu kwenda kuwauza walikuja...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu,Nimeangalia TBC1 usiku huu. Nilikuwa na kiu ya kufuatilia kilichoendelea bungeni leo kwenye suala la Katiba. Maana, kuna wengi miongoni mwetu, kutokana na majukumu mengine, tunashindwa...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom