Rais wa TZ Mh. JK ninakushauri ufanye yafuatayo tutakukumbuka nayo.
1. Tupatie Katiba mpya
2. Tupatie Tume huru ya Uchaguzi
3. Iimarishe CCM kwa kuwafukuza mafisadi
4. Wadhibiti watu...
Nimekaa na washkaji wangu hapa tunabadilishana mawazo kutokana na hali halisi ya maisha yalivyo: Sasa mmoja kati ye2 anavuta sigara,mwenzangu akachukua kile kiberiti akatoa njiti akawa...
Na Tumaini Makene
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Kabwe Zitto ametoa pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana (BAVICHA), huku akisema kuwa...
Huyu Ndiye Nyerere akiwa nje ya ofisi yake kama Rais Ikulu, lakini makazi yake hayakuwa hapo, ila kuleeee Msasani. Alibuni Ikulu ya Chamwino Dodoma, lakini waliomfuata Dar kumewanogea, na kuishi...
Source: The Economist
Happiness is in your DNA; and different races may have different propensities for it
Oct 15th 2011 |
Born smiling?
THE idea that the human personality is a blank slate...
Wanadai ni kwa sababu ya kubadilika kwa taratibu za kiutendaji ambapo kuna vitengo vimebadilishwa kazi zake za awali na kupewa kazi nyengine. baadae kidogo nikamfuata mshkaji wangu mmoja ambaye...
IRAN imetoa trekta ndogo aina ya Power tiller 100 kwa Serikali ya Muungano wa Tanzania katika kusaidia kuinua na kuimarisha kilimo nchini na hasa kuunga mkono malengo ya Mpango wa Kilimo Kwanza...
Wakuu, kwa mwenye taarifa rasmi juu ya hili em naomba anijuze tafadhali, hivi ni kwamba ule mgao mkali wa umeme ndo tayari umekwisha nchini ama vipi, maana huku nilipko mi sijaona umeme kukatika...
Wanajamvi wenzangu leo nilikuwa safarini toka songea kuja dsm. Tulipofika kibamba tukakuta kuna ajali ya lori la kampuni ya pepsi barabara imejifunga mpaka sasa hivi saa tisa usiku kasoro dakika...
Nini kifanyike ili kuwashughukia wanaolisha wengine sumu kwani kwa kweli inatisha na inasikitisha kama kuna watu wanafanya mpango wa kuwalisha wengine sumu sababu ya uongozi.Wana JF tutoe maoni...
Hapa ndo utaona kama taifa hatuna vision kila rais na yake. Ila huyo mwenye suti na suitcase anaonekana yupo serious zaidi kutuondoa kwenye umaskini! Tafakari chukua hatua!
Habari za uhakika zina sema kua Salim Nato (Chipata) mmiliki wa Southbeach na Mfanyakazi wake anaefahamika kwa jina la George walio tuhumiwa kwa Kesi ya mauaji ya Raia alie ingia Southbeach kwa...
Mimi aingii akilini kama hizi promotion ni zaukweli au magumashi nani mwenye rafiki au jamaa aliyeshinda Hyunda 100e,??mimi sijasikia kama kuna mtu aliyepata gari hizo zilizokuwa 100!je kweli kati...
Ulimwengu Umeamka!
Vijana Wameamka!
Wananchi wote Wameamka!
Hasa vijana ambao ndio wahanga wakubwa wa matatizo yanayosababshwa na wanasiasa ulimwenguni. Walianza vijana wa kiarabu, Misri na...
Kuna wanasiasa Tanzania tangu ulipokuja mfumo wa vyama vingi wamekuwa wakihama kutoka chama hiki hadi kile au wengine walikuwa CCM wakaja upinzani na kuponda sana chama tawala. Baada ya muda...
Wana JF, kuna adhabu ambazo kwa muda nimekuwa nikizisikia katika msimulizi ya watu kama vile za kukatwa mikono, kukatwa vichwa na kupigwa mawe hadi kufa. Mara zote nimekuwa nikizichukuliwa kama...
Nafuatilia maadhimisho ya kumbujumbu ya kifo cha mwl nyerere huko butiama bt nimeshangaa kuona mtoto mmoja kati ya wale pale uwanjani kashika picha kuubwa inayomwonyesha jk akitabasamu nikajiuliza...
Ndugu wanajf huku arusha mjini wiki hii yote imekuwa ya neema mvua inanyesha sana na hata udongo umeanza kukubali maji.
Hebu wana jf tupeane habari za hali ya hewa kutoka mkoani kwako maana mvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.