Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kitine: Utajiri wa wachache Tanzania ni hatari kwa usalama Send to a friend Wednesday, 29 June 2011 20:35 0digg Mkurugenzi wa Idara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndg zangu wakati waheshimiwa wa chama tawala wakiendelea kula kuku kwa mlija kule mjengoni na kulinda maslahi binafsi na kuitetea serikari na mfumo mbovu uliowaweka bungeni, naomba tuachane nao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Radi yasababisha vifo zaidi Uganda Nchini Uganda radi imesababisha vifo vya wanafunzi 18 na wengine 50 kujeruhiwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Source: The East Africa The East African: *- News*|Tanzania slides into 12-hour power cuts A drastic drop in the water level of the Mtera hydroelectric dam in Iringa Region forced the Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I call on all JF moderators, for the benefit of national interests, please DO NOT accept any more and infact delete all posts which are connected to any religious comments, outbursts or...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
Nawasalimu wana JF! Jana tarehe 29.06.11, nilisoma kwa mshangao habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima kwamba serikali inamlipia waziri mmoja hotelini zaidi ya Tsh. Hamsini millioni...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Rais safarin Equatorial guinea, kesho mwisho wa mwezi. Swali: ule utaratibu wa mh. Kuongea na wananchi kupitia vyombo vya habari vipi? Upo hau ndio kapotezea? Coz hata mwezi May mambo yalikua hivi!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Baada ya mdau sulphadoxine kuleta upupu ufuatao. Muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) na Mkuu wa idara ya saikolojia na taaluma ya mitaala Dkt. Kitila Mkumbo,amesema kuwa wakati huu...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Mi nampendekeza uyu jamaa wa tanesco aliekabidhiwa lile swichi la kukatia umeme apewe tuzo ya mfanyakazi bora mwaka huu maana amevuka malengo ya ukataji umeme. Kwakweli utendaji wake unaridhisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wabunge wetu wanalipwa mishahara mikubwa, posho ya kujikimu, posho ya kukaa vikaoni, kiinua mgongo mwisho wa kipindi cha ubunge, n.k. wakijumlisha zote wanapata wastani wa zaidi ya milioni kumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
serekali kuweka tozo ktk mafuta ya taa ni kutowajali kabisa wanyonge ambao ni wengi.hivi jast imagine bei ya sukari weka mafuta ya taa kipato 500 vijijini watamudu hii gharama?au waendele kuwasha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna mjadala wa posho bbc, Juma Nkamia na Zitoo wanapambana kwa mawazo, Nkamia anasema posho ziendelee kuwepo na ziongezwe kwani ni vihela kidogo na kwanza hazitoshi!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kulikuwa na uchaguzi wa wanafunzi leo.kama kawaida ccm wakisaidiwa na waziri wa mazingira dr.uvisa aliyekuwa dean of students hapa waliweka na kusimamia mgombea mmojawapo nd chacha...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wana Jf Nimekaa na Kufikiri sana Hoja ya wabunge wa CCM wakitetea Posho baada ya Tafakuri nimeweza kufikia katika hii Tamati. Wabunge wetu wamekua wakituaminisha sisi wananchi wao watatuletea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Guys, we have been living miserably after we get fired from our jobs....in insurance there is a relief known as income protection insurance. Basically it protects the income of a person, and in...
0 Reactions
0 Replies
751 Views
"Kwa uchumi na usalama wa nchi serikali ya Tanzania inapaswa kufanya maamuzi mazito na kuwasilisha maombi bungeni ya kutenga kiasi cha Shilingi Bilioni 131 ambacho kinahitajika kama sehemu ya...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Anazidi kuchanja mbuga mbuga! Sijui kwakweli anaumuhimu gani huko zaidi matatizo ya tz? Kesho ataelea kulekea ikotorie gine! Huyo ndoi sharobalo!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mbunge anaposhangilia kuwekwa nyaya na nguzo, ati kwamba umeme utawaka, ilhari waliokwishalipa umeme kupitia mashine za luku kabla ya huduma wanalia na mgao usiokwisha. Mbunge huyo anasifia kweli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo katika gazeti la MwanaHALISI, Saed Kubenea amewahakikishia Watz wote, mashabiki wake, na haswa wale waliompakazia kwamba tayari kanunuliwa na Rostam Aziz na rafikiye Lowassa kwamba hata siku...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa muda sasa kumekuwa na makundi mawili ambayo ni mwiba kwenye chama cha ccm. makundi haya ni lile la wanaotajwa kuwa ni mafisadi na lingine ni la wasaliti wa chama. Kati ya haya makundi mawili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom