Wakuu,
Kama mnavyojua Serikali ya awamu na nne ina mpango wa kujenga Kigamboni new CITY ili kuleta sura mpya ya JIJI la Dar es salaam.
Nimesoma soma bajeti sijanusa ndani yake kama kuna mpango...
Pengine baadhi atutakuwa wote lakini ukweli utabaki kuwa hivyo hawa wapuuzi wanaoenda bungen kusaini
posho na kurudi kisa kuogopa kuondolewa uchaguzi ujao ifike sasa tuseme tumechoka ..wale...
Suala la umeme ni miongoni mwa ahadi kadhaa wa kadhaa zilizotolewa na Rais Kikwete wakati wa kampeni zake mwaka 2010 kuwa atahakikisha nchi haiingii gizani, umeme utawaka kwenye makao makuu ya...
Najua hiyo heading itakuchanganya ila habari ndo hiyo, watani wetu nilifikiri wangeishia kudanganya dunia kuhusu Kilimanjaro na Serengeti tu... sasa wanadai Samunge ipo South Kenya na ni mwendo wa...
...Kuna kila sababu ya kutilia mashaka "utajiri wa kutupwa" wa Bwana Mdogo Ridhwan - mtoto wa Mheshimiwa Jakaya bin Mrisho wa Kikwete kutoka Msoga. Ridhiwan, kwa ujumla ni mtoto mdogo katika umri...
INGAWA siasa ni mchezo uliojaa uchafu, hadaa na kujilisha pepo, lazima unahitaji kutumia akili. Pamoja na uchafu wake, bado siasa ni kitu ambacho hatuwezi kuishi bila kuwa nacho.
Je, tukubali...
Wanajiita Maaskofu, manabii, mitume, wazee wa upako, mitume wa fedha, nk ni kejeli na fedheha kwa Mungu! Wanajifanya watumishi wa Mungu lakini kumbe wamejaa roho ya kutumikiwa. wanasema wao ndio...
EDWARD Lowassa, mwanasiasa anayetajwa kujipanga kugombea urais mwaka 2015, ametinga nchini Nigeria kufanya maombi, MwanaHALISI limeelezwa.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, mwishoni...
Kama mwanadamu hapa duniani nina matatizo kama watu wengine wengi tu.....na najaribu kupambana nayo kama wanavyofanya wenzangu,
na yanaweza kuwa matatizo ya kimwili,au kiroho haya ya kimwili mara...
MWANAMKE mkazi wa Ronsoti mjini Tarime mkoani Mara, Debora James (30), anatuhumiwa kumuua mwenzake, Teresia Nago, kwa kumchoma kisu katika mauaji yanayohusisha kugombea mwanamume.
Kwa mujibu wa...
Dah jamaa noma afai kabisa nafikiri kichwa chake kimoja ni waziri mkuu na makamu wa rais
mh pinda swala la kuandamana we sahau hata leo hii saa yoyote tukitoka hapa tukikubaliana
unakutana na...
Ninawafahamu watu wema na wabaya wengine Wakristo na wengine Waislamu. Ninawajua watu wenye akili nyingi na nzuri sana kutoka dini hizi mbili. Wapo warembo na watanashati wenye mvuto, Wakristo kwa...
Wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa Bulyankulu (BGMCL) Wilaya ya Kahama mkoani hapa, wameandamana katika Kijiji cha Segese na kufanya uharibifu mkubwa wa barabara kuu iendayo...
naomba kuuliza members wenzangu kuwa hizi gari za viongozi zenye usajili stk/su/pt n.k. Zinaweza kuendeshwa na wototo wa hao wliokabidhiwa wagogo wa serikali???? Maana navyoelewa kuwa hizo gari ni...
Taifa lolote lile duniani lenye mafanikio huwa linawekeza katika elimu ya awali (Early Childhood Education) kwan huo ndo msingi ambao unahitaji umakini wa hali juu katika maendeleo ya nchi yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.