Wananchi wa senegal katika miji ya Dakar na Mbour wameandamana kupinga mgao mkali wa umeme unaoendelea nchini humo.Wananchi hao wenye hasira wamefanya fujo kwa kuharibu mali na majengo mbali mbali...
Hali ya maisha yangu jamani imeanza kuwa tete, kamshahara kangu ni ka kima cha chini... vibiashara vidogo vidogo ndo vinavyoniongezea kashilingi ka kusukuma maisha yangu... Hapa mtaani kwetu...
Kilicho ndani yako ni kikubwa, kuliko maisha unayoishi! Wednesday, June 1, 2011
Bwana Yesu apewe sifa, Mungu alivyoweka ndani yako ni vikubwa kuliko maisha unayoishi...
Tutolewe Leso Yohana 11:43-44 Monday, June 20, 2011
Baada ya Lazaro kufufuliwa ilifanyika kazi ya ziada kuondoa sanda na leso yake. Sanda na Leso vilimfanya asiweze...
Pesa sio mwanzo wa matatizo Monday, June 27, 2011
Mungu anajua kila tunachohitaji, pesa sio shina la maovu kama wengi wanavyodhani, maovu yanaanza pesa inapomtawala mtu...
Why should we be thinking about perfect numbers today? If theres any day of the year on which we should contemplate the perfect number, today is the day, since its the only date on which both...
Tunapokaribia miaka 50 ya Uhuru wa Taifa letu CHANGA, hebu tuangalia sekta za huduma za jamii kwa kufanya assessment ndogo tu,
Elimu: Hivi kuna shule japo moja ya serikalli ambayo Wizara ya...
1.Tuingie barabarani kuonesha tumechoshwa mpaka kieleweke.
2.Tuendelee kukaa kimya na kulalama.
3.Tuendelee kusubiri wakati tunaendelea kupewa ahadi...
Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimegundua aina mpya ya ufisadi hapa nchini kwetu na hasa hii inawaathiri Vijana wasomi. Ufisadi huu ni ule wa makampuni mengi makubwa na madogo...
Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu,Waziri Mkuu Mjiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliitaka Serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Mrisho Halfani Kikwete...
Rais wa kwanza wa Tanzania,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,ameacha vitu vingi vya kukumbukwa ikiwa ni pamoja na nyumba yake ndogo(kwa umbo na thamani) iliyopo kijijini kwake Butiama.Hii ni...
Rais Kikwete Alishind auchaguzi kwa kura 65% licha ya yote, hakun hata mmoja aliyefika asilimia 40%. Kwa maana hiyo JK bado ni kipenzi cha watanzania na ataongoza hadi kumaliza muda wake...
The drought has also forced Tanzania's state-run power company to announce daily 12-hour electricity outages, as low water levels at hydropower dams and a shortage of fuel for thermal power...
Waziri mkulo aishangaa Tanesco baada ya kukomba mabilioni ya pesa kutoka Tanesco,wakati huo ashangaa makusanyo ya mapato kutoka kwa wateja wa Tanesco yanakwenda wapi?
inamaana hapa hakuna...
Wakuu,
Picha hii ni jinsi Naibu waziri wa Ushirikiano Africa Mashariki, Mhe. Waziri Dr. Abdulla Juma Saadala akiwa amesinzia bungeni.
{Source: MWANANCHI: JUNE 21, 2011: Pg. 04}
Halafu eti...
hili ni jambo la muhimu sana kwa serikali kulifanyia mabadiliko ya haraka ili kupunguza gharama za matumizi ya fedha za serikali; baadhi ya viongozi ambao wamepewa magari na madereva wa...
These quotes and many others have been used by christian serial killers in order to justify their crimes. This is in direct contradiction of christian claims that christianity is a religion of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.