Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
1. mara zote mfanye mwalimu mwoga kwa serikali na chama. 2. Mlaghai kwa WITO na si kipato. 3. Mfundishe kuwa mpole asidai haki. 4.Mfanye asiajiliwesekta nyingine ili umtumie. 5.Mtumie kwenye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ZINAPOCHANGANYA CHUKI+BIFU ZA KISIASA UONGO KAMA HUU HAUKOSEKANI MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Idrisa Kikula amesema hawezi kushawishika kwa lolote katika kuwarudisha chuoni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mh Membe anatoa tamko lake la ufafanuzi wa kiwanda cha Cement Lindi..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Posted Sunday, June 19 2011 at 11:33 The number of Tanzanian witchdoctors (or those purporting to have come from there) practising in Kenya is disturbing. Posters and sign boards from these...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Hivi hawa wabunge wa ccm wanavyosimama bungeni na kuanza kusema vijana wa vyuo vikuu wasikubali kushawishiwa na Chadema kugoma! Je ni kweli wabunge wa ccm wanajua shida za wananchi wao kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwaka huu wa 2011 mwezi wa Julai utakua na siku za ijumaa 5, Jumamosi 5 na Jumapili 5! Jambo hili hutoke mara moja kila baada ya miaka 823.Kwa undani zaidi angalia kalenda yako ya mwaka huu wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KUWAHURUMIA WANYAMA Muislamu wa kweli ni mtu mwenye huruma. Huruma ni miongoni mwa tabia za muislamu. Chimbuko la huruma ni usafi na utakasifu wa nafsi na roho, hivyo ndiyo kusema kuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu kilichobaki ni kuiombea hii nchi serious kabisa pipo just take a second useme mungu saidia nchi yangu! We sang well the song Mungu ibariki Tanzania kaibariki wachache wakaiba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kanisa la Westboro Baptist Church la Kansas City, Marekani limeandaa maandamano kupinga mazishi ya msanii maarufu nyota wa kundi la Jackass, Ryan Dunn ambaye alifariki wiki hii kwa ajali ya gari...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Niko maeneo ya mbezi magari saba kuna gari ya wagonjwa inamuwahisha mgonjwa toka tumbi. Mara msafara wa kikwete ukatokea na kuamuru ambulance hiyo ipaki pembeni. Jambo hili limetusikitisha sana...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Karibu kahawa jamani
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau naomba kufahamishwa kuhusu wimbo unaotumiwa na Radio ya Taifa TBC Taifa (zamani RTD) unaosema nanukuu maneno yake kwa uchache "Ni lazima tuungane kuijenga inchiyetu" Wimbo huo umeimbwa na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba nianze na shame on him mungu ndie unaejua hii nchi inapoelekea katika hali ya kuaibisha jana usiku kwenye mida ya saa mojananusu usku mkurugenzi wa ipz ya exterenal akiwa amekaa na singa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
mimi ni mpenzi wa tamthilia za Amerika ya Kusini(LATIN AMERICA). Kule kuna warembo wengi tu na wanaume wao. lakini kila nikisoma habari za warembo kwenye blogs, forum hawatajwi. hawa kina Natalia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tatizo la usiri wa mapato na matumizi katika makanisa ya 'walokole' limechukua sura mpya baada ya kujitokeza vilio vya baadhi ya waumini toka makanisa mbalimbali ya madhehebu hayo wakitaka uwazi...
1 Reactions
14 Replies
11K Views
Ndugu wapendwa, Story ifuatayo ni ya kweli. Najua kwa kiasi fulani itakuwa inaninizalilisha kwa kutokuwa makini lakini naona ni vyema niwashirikishe rafiki zangu ili msije mkatapeliwa kama mimi...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Marketing Team ya gazeti la majira inabidi kutizama upya quality ya hili gazeti. Gazeti lina harufu mbaya mno ya wino, hata fonts zake si za kuvutia. Nadhani bado watakuwa wanatumia mitambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wanajF, Neno tanesco limekua likitajwa sana Midomoni mwa watu kama lilivo neno "MAISHA MAGUMU''. Ni vigumu kulifanya liondoke kwa mara moja,ila nashauri jambo moja,kama ilivokuwa kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wana JF, Mikoa mingine vipi Jamani, Huku Umeme hakuna tangu Jana. Tunaumia ama kweli. Sijui mikoa mingine mambo yakoje. Nasikia MTERA imekauka sasa itakuwaje wandugu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepitia habari ya gazeti la mwananchi asubuhi hii...mbunge mmoja anashauri walimu ambao ni wafungwa magerezani watumike kufundisha shule za kata.SWALI;huko magerezani kuna waalimu wangapi?
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Back
Top Bottom