kama yupo naomba ani PM nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,natanguuliza shukurani.
Prefarable awe mwanaume,maana kina mama wa hapa!nisije nikapata case,asante.
RE.
Amefanana kimaumbile na Ngisi...ni mtamu sana kwa wanaompenda!!
Lakini kuna baadhi ya vitu nahisi watu wengi watakuwa hawavijui kuhusu huyu mnyama/samaki pweza!!
Kwa wale wavuvi wanalitambua...
Msanii wa mziki wakizazi kipya kutoka kund la wagosi wa kaya MKOLONI kapata ajira ya mkataba wa miaka mitano kama katibu wa msanii mwenzake na mbunge wa mbeya mjini mheshmiwa Mbilinyi ( Mr 2)Maoni...
Bi Harusi mmoja nchini Marekani amejikuta akiingia matatani na kupigwa marufuku kumsogelea mumewe baada ya kumng'ata mumewe huyo usiku wa sherehe ya harusi yaoBi Harusi, Bernadette Besario...
Habari wana JF, napenda kuwatahadhalisha hasa wanawake na handbags zetu, kuna wizi umezuka hasa maeneo ya kuanzia kijitonyama mpaka mwenge, wanaoiba wanatumia pikipiki, yn anakua dereva na mtu...
Uchunguzi uliofanywa nchini Nigeria umebaini kuwa wachunga kondoo wa Bwana nchini humo mbali ya kuhubiri neno la bwana wanatengeneza pesa ya maana kiasi cha kwamba baadhi yao
Kwa mujibu wa...
Hansard 30 January 2007
Sale of Radar System (Tanzania) [30 Jan 2007]
30 Jan 2007 : Column 182
When my hon. Friend the Minister winds up, I hope that he can tell us about the
progress that has...
Maji yote katika bwawa la maji kwaajili ya wakazi wa mji wa Portland, Oregon nchini Marekani yalimwagwa baada ya mlevi mmoja mjini humo kuamua kukojoa kwenlikuwa majira ya saa saba na nusu usiku...
Mwanaume mmoja wa nchini Taiwan ambaye hujitambulisha yeye mwenyewe kama mtume wa mungu, amepigwa faini ya dola 1380 kwa kusababisha mtafaruku kWang Chao-hung au maarufu kama Mwalimu Wang ambaye...
MSICHANA anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 hadi 22 ambaye hakufahamika jina lake mara moja amekumbwa na kadhia ya kuchaniwa nguo yake baada ya wanaume kuchoshwa na mavazi yake ya nusu uchi...
KIJANA aliyefahamika kwa jina la Riziki amejikuta akimpa talaka mke wake baada ya kukerwa na kutopata majibu kutoka kwa mke wake wakati alipokuwa akimpigia simu
Hata hivyo Riziki alifikishwa...
http://www.dft.gov.uk/gcda/cars/default.php
"Ministers are permitted to use an official car for official business and for home to office journeys within a reasonable distance of London on the...
Habari zenu wandugu
nimeamua kuwaletea kwenu hii kitu maana inanisumbua kichwa sana. Kunakesi nyingi sana za wizi na ujambazi sasaivi wakati polisi wanaotakiwa kutulinda wapo na wanakula kodi zetu...
Wapendwa kuna mambo mengine unawezasema ni uchawi lakini sitaki kufika huko
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja...
Hospitali ya ILiyozaliwa hayati Mwalimu Julias kambarage Nyerere sasa ipo hatiani kwa kukuosa maji kwa ajili ya huduma za kilasiku juu ya wagonjwa.Hii ilidhibitishwa hapo jana na vyiombo vya habari
Katika kudhihirisha damu nzito kuliko maji
yule dereva aliesababisha vifo vya kundi la 5stars amejisalimisha mwenyewe polisi
kamanda wa polisi wa mkoa wa moro adolphina chialo amesema dereva huyo...
Wahubiri wa Nigeria wamefanikiwa katika miradi yao na kuwa na utajiri unaolinganishwa na matajiri wanaofanya biashara ya mafuta. Kwa mujibu wa muandishi...
50 years after colonial era we are still using the same power generation sources, hydroelectric being the cheapest source of energy we expected tanesco to be very profitable and well maintained...
Leo nimesikia kuwa huko Uchina kuna mtu alianzisha blog yake ambayo aliwataka watu wachangie na kuandika kama wametoa rushwa na ni kwa nani. Hata hivyo, baada ya muda blog hiyo ilifungwa kwa vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.