Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
*Yazua malumbano makali, yapitishwa na bunge *Wabunge wakerwa kampuni za madini kusamehewa Na Grace Michael, Dodoma WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana walilumbana vikali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa leo kumezuka tabia ya wajanja wachache kutumia majina au blend za makampuni makubwa ya kuheshimika au watu maarufu kwa manufaa yao.Kwa kuzalisha bidhaa feki au kutenda matendo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu mpendwa pengine waweza jiuliza kwa nini naenda kuuliza kazi sipati nikiuliza cv yangu ilifika ndio baada ya muda naambiwa kuna mtu ana jina kama langu na anafanya kazi hapo hapo tena kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msanii wetu wa wiki nnape nnauye akikagua mitambo TSN ,Hope next ni SYMB....uBUNGO
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni barua ya B.G Mabubu kwa mhariri wa gazeti la Mwanahalisi tar 22jun2011.Anauliza hv' mbona kwenye kipindi cha Jk mambo yameharibika mwaka 2006 wakati Jk anaingia madarakan kiwango cha ufaulu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Labda Ningeanza kuangalia namna serikali yetu inavyofanya kazi na mfumo mzima wa uongozi ambao tunafikiria utafanya hiyo kazi iliyoainishwa ndani ya bajeti. Uongozi sehemu kubwa ni wakisiasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wednesday, 22 June 2011 21:40 Boniface Meena MWANASIASA mkongwe na kada maarufu wa CCM, John Malecela, amezungumzia afya yake kutokea nchini Uingereza, akieleza kuwa inaendelea vizuri baada...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanangu amepewa barua ya kuhama makazi anayoishi kwa kisingizio yanavunjwa na anatakiwa kuhama si chini ya miezi sita. Anaishi nyumba za AICC SOWETO ... nini kinaedelea? AICC hawawezi kujenga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jf leo nimeshangaa sana hawa jamaa wa magamba wanakuja kutembelea hapa ofisini kwetu guardian cha ajabu kuanzia mwenge trafiki wametanda hapa kwetu pia hapa katika kona ya kuingia itv kuna...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Samahani familia nimewiwa kumuuliza hiliswali kwa nia njema na pengine anaweza kutoa msaada kupitia wasaidizi wake tangu aingi amekuwa akisafiri na kusafiri na katika bajeti iliopita watu...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
VURUGU kubwa zilizuka juzi kwenye kituo cha Polisi Babati Mjini mkoani Manyara baada ya wafanyakazi wa kampuni inayojenga barabara ya Chico, raia wa China kumpiga mkuu wa kituo hicho, ASP...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Jamani kuna moshi unatoka floor ya tatu hapa mjengoni,.floor inamilikiwa na hawa tanznite one.Lakn cha ajabu hawana hata fire extinguisher wameenda kuazima jengo la jirani.Kampuni ya ulinzi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule moja ya msingi ya jijini Dar es Salaam, inayotoa elimu yake kwa lugha ya Kiingereza, amejeruhiwa katika sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kuchapwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu salaam sana Naomba kujua taarifa kuhusu yule Askofu wa Anglikana aliyeamuliwa na mahakama tukufu akamatwe, je amekamatwa? mwenye taarifa amwage hapa Jamvini:der:
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ghost Rider ulikuwa unafanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na member yoyote humu JF, kwa kutuletea habari za bunge kwa ufasaha na bila ya kumung'unya maneno mpak wengine tukawa tunajisikia kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HAKIKA SIIPENDI SAIZI HII TELEVIOSION INAYOITWA TBC,HATA KAMA NAILIPIA KODI KWA SABABU BADALA YA KUJADILI KUONYESHA MASLAHI WATANZANIA WAO WAKO BUSY NA MASLAHI YA CHAMA TAWALA,HAKIKA NAMKUMBUKA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mb. Lisu ametoa mapendekezo ya kurekebisha mswada wa sheria ya fedha 2011, kwa kuwapa madaraka watendaji wa ngazi za chini katika ukusanyaji wa mapato, AG amekubali mapendekezo hayo na kuwashangaa...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Tumesikia Mr Malecela yuko UK kwa matibabu ya moyo! Marehemu Nyerere naye alitibiwa huko. Najiuliza baada ya miaka 50 ya uhuru,kwa nini viongozi wetu bado wanakwenda majuu kutibiwa? Kumbe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
By In2EastAfrica - Wed Jun 22, 1:08 pm Monduli MP and former Prime Minister Edward Lowassa Efforts by the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) to purge some of its senior cadres who are accused...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom