wana jamii salamu
pamoja na JF kufanya kazi kubwa kuwafikia watanzania wengi kwa siku na wasio watanzania.
llazima tuhakikishe vita inapigwa kila kona kuna page katika faceboo kama hutakuwa...
Jana katika mjadala wa muswaada wa sheria iliyopata vuta nikuvute ya aina yake,mh Nimrod Mkono Mbunge wa Musoma vijijini na mwanasheria wa siku nyingi alisimama na kusema kuwa madiwani wanapata...
-Tutarajie yapi kutoka kwa Mtoto wa Mkulima?
-Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani ametuandalia lipi?
-Ataomba Mchakato wa KATIBA mpya uharakishwe?
-Vita ya posho, mashangingi itaendelea?
-Vipi...
Tiba ya mchungaji wa Kainsa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ambikile Mwasapile, imeingia dosari baada ya kuanza kupoteza umaarufu na idadi ya watu wanaokwenda kupata kikombe hicho kuanza...
Ukisikia jinsi Arusha inatangazwa na kusifiwa utasema yes.. ni sehemu baabu kubwa sana... kila atakayesimama atasema lake..wapo waliothubutu kuiita Geneva of Africa... ni waongo..
1. Arusha ni...
Ni dhahiri kuwa vitabu vingi tunavyosoma vimeelezea na kutoa mifano toka nje ya nchi na kumbe matukio mengi ya aina hiyo yapo nchini mwetu. Hapa tayari majengo ya Bandari ya zamani yameshaondolewa...
Written by Ghalib // 21/06/2011 // Habari // 3 Comments
Salma Said
BAADHI ya wajumbe wa baraza la wawakilishi wamesema wakati umefika kwa wazanzibari kutumia rasilimali zake za asili zilizopo...
Rais wa bodi ya MCT Jaji Kisanga (kushoto) akipongezwa namjumbe wa bodi hiyo aliyeshinda kwa kishindo Keneth Simbaya ambaye ni Rais wa UTPC na mwenyekiti wa IPC
Rais wa MCT Jaji Kisanga...
Kwenye barabara kuu ya Ocean Road, asubuhi kumekutwa bonge la bango...''KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA JIUZURU''....Haa, jamaa sijui aliweka usiku wa manane!!
Huyu bwana mbona ana madoa mengi ya tope? Epa, mikataba mibovu kila sehemu, uwekezaji wa kupumbavu, lkulu kampani limitedi, na uozo mwingi, je huo usafi wake uko wapi?
Mchungaji wa Kanisa la Full Salvation, Christopher Mtikilla ameifungukia kauli ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa, baadhi ya viongozi wa dini nchini wanajihusisha na biashara haramu ya madawa...
Sipati picha, kichwa kitakuwa kinamuuma kila akifikiria kuwa ataulizwaje! Nahisi atakuwa anayaomba majini yake yamsaidi Lissu asiulize swali! Urudishwaji wa Mashangingi roho inamuuma sana!!Ndugu...
Ningependa kununua pikipiki ya kichina. Kwa wale wenye uzoefu, ni model ipi iliyo bora ukizingatia uimara, matumizi ya petrol, vipuli na matengenezo yenye bei nafuu?
Immigration m na kazi mpaka kidume aondoke sijui mtagonga mara ngapi passport yake
polen sana sana najua shuruba zao wah wanapokuja na mapassport yao lakini mkomae
ndio hivyo tushauzwa tutafanyaje
Hii ni mara ya tatu hii thread naiweka kwa kuwa ina ukweli mods wanaifuta pipozzzzzzzzzz
JF inatumika kisiasa au baadhi ya MODS ndio wanatumika kisiasa??
Leo nimesikitishwa sana jambo ambalo...
Jamani jamani kwa aliyeona taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu ITV inasikitisha.Mtoto wa darasa la pili abakwa na mfanyabiashara mkubwa mjini Arusha tena mwenye asili ya kiasia cha...
Posted Sunday, June 19 2011 at 11:33
The number of Tanzanian witchdoctors (or those purporting to have come from there) practising in Kenya is disturbing.
Posters and sign boards from these...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.