Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
It is crazy. isn't??? Look at this. Can you imagine a world without women?!!!. Valentine's Day and Mother's Day would no longer hold any meaning. The world would have less pink--less...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi wana JF! Katika harakati za kusaka elimu, nimepata admision ya chuo cha nje na katika harakati za kusaka ufadhili inatakiwa niwe na Passport ya kusafiria nje ya nchi tena ndani ya wiki hii...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Mimi ni mpenzi mkubwa wa lugha mbalimbali za kibantu. Zaidi navutiwa na matamshi ya maneno; mfano lafudhi za wahehe na wabena wa iringa, wakurya na wajaluo, wachagga, wahaya na wasukuma. Majina ya...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Tafadhali naomba kama kuna mtu anayosample ya Mkataba wa kupagisha (Duka) Fremu ya Duka . Naomba anisaidie Asante Kwa Msaada wako!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu zanguni kutokana na mgao wa umeme kuwasababishia watu wengi hasara na hatimaye kuongeza umaskini nimeomba ushauri kama tunaweza kuanzisha Umoja wa Kisheria wenye lengo la kumlinda mtumiaji...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
By MICHAEL FELBERBAUM - AP Tobacco Writer | This image provided by the U.S. Food and Drug Administration on Tuesday, June 21, … This image provided by the U.S. Food and Drug...
0 Reactions
1 Replies
953 Views
SIJUI NISEME RAIS WETU YUKO CHEAP SANA ,YAANI LEO NILIKUWA NAZUNGUKA KWENYE MADUKA KUTAFUTA VITU YAANI HAWA WAHINDI WAMEWEKA KPICHA ZAO KWENYE MADUKA YAO NA KIKWETE UNAJIULIZA WANAPIGAGA NAE SAA...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimekaa kwenye kona, na hii kompyuta nikishangaa jinsi ushabiki wa mabaya yanayowakuta watu unavyoshangiliwa, asijikwae mtu ambaye jina lake limezoeleka katika jamii (mchungaji, mwanasiasa, mcheza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
leo nimeingia kwenye email yangu na kukuta nemetumiwa hii msg so nikaona sio mbaya nikiwaletea wadau muone kama na nyie two last digit za birthyear zenu plus age yenu ya sasa zinamake 111. kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Some people who need medical care but can't afford it go to the emergency room. Others just hope they'll get better. James Richard Verone robbed a bank. Earlier this month, Verone...
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Nimetoka kuongea na Customer care Tanesco (kwa simu namba 0732 979280) kuhusu mgao mpya wa umeme cha kusikitisha jamaa anaongea huku akicheka kuwa sehemu kubwa ya Arusha haitakuwa na umeme kabisa...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Wachina wampiga Mkuu wa Kituo cha Polisi Tuesday, 21 June 2011 22:12 0diggsdigg Joseph Lyimo, Babati Mwananchi VURUGU kubwa zilizuka juzi kwenye kituo cha Polisi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana nilikuwa kwenye semina pale M'nyamala - K'ndoni katika ukumbi wa vijana. Nilishangaa kuona kuna pikipiki nyingi takriban 300 ambazo tayari zina usajili zikiwa zimeifadhiwa pale, na kwa jinsi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na kwamba bushbaby, Mvumbuzi na Mo-TOWN wameandika threads tofauti kuhusu power rationing hapa Arusha, naomba nami kwa mtiririko huo huo niwaombe waheshimiwa tajwa hapo juu kwa nafasi zao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Arusha 0754 267032 Dodoma 0754 022999 Manyara 0715 009929 Mwanza 0713 496770 Kagera 0787 576171 Mbeya 0784 292935 Kigoma 0752 814377 Kilimanjaro 0784...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Waziri wa miundombinu asubuhi akihojiwa TBC kasema Kenya aliwashauri ili Kenya Airways isianguke watafute shirika la kuungana nalo na ndio maana KQ Imefanikiwa Wana jamvi mwaionaje hii, waziri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HOSPITALI ya Wilaya ya Kahama imenyooshewa vidole na madiwani kuwa imekumbwa na vitendo vya rushwa na ukiukwaji wa maadili ya kazi kwa watumishi wake na hivyo kuwa chanzo cha vifo vya wajawazito...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KATIKA hali ambayo iliwaacha watu wengi wakiwa hawaamini macho yao mwanamke mmoja [51] amejikuta akisaula nguo zake zote na kutoa radhi hadharani kwa mwanae wa kike aliyefahamika kwa jina moja la...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja toka Jamaica aliyekuwa akiishi kinyume cha sheria nchini Uingereza amejaribu kujichinja kwa kutumia kiwembe baada ya kupandishwa ndege ili arudishwe kwao Jamaica. Tukio hilo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom