Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
The clan of the late paramaount chief Thomas Marealle of the chagga tribe has announced December 28 2011 as the day when the clan will choose its new family leadership as well as select a...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Taarab ya leo(post modern taarab) inamchora mwanamke katika nafasi hasi kuanzia"content",uchezaji,uimbaji, mavazi hadi matangazo. mwanamke anachorwa(potrayed)km malaya,anaegombania wanaume,anae...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
mimi nimekuwa nikifuatilia sana hoja na mijadala mbalimbali pale mjengoni, nilichoweza kukiona mpaka leo ni kuwa hakuna hoja ya kumtetea mwananchi wa tanzania hata moja ambayo inapewa kipaumbele...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kweli tumedhamria kuondoa umaskini hapa Tanzania? hivi inaingia akilini eti wananchi hawana chakula alafu Rais wa nchi yao anaenda kusalimia rafiki zake? huyu pinda na makau wa rais wanabaki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni siku ya3 wanafunzi wa education hawajapata maji. Kwani udom ni social na infomatics tu? Wadau naombeni muwaambie DOWASA chuo hakijafungwa chote. Au hawasomagi JF?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Udhaifu wa rais Kikwete umesababisha CCM kuamua kutumia kura ya maoni kupitisha jina la mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho. Uamuzi ambao umetangazwa na Wilson Mkama (Katibu Mkuu). Je hatua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni hiki kpindi cha orjino komed, sasa ni ngumu kuangalia na wazaz kwan mambo wanayoigiza ni aibu. wizara huska mpo wapi?
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Jamani ile kampuni ya takukuru tiliyoiona wakati wa uchaguzii iwapi tena
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbwa wamevamia Kata ya Old Korogwe Wilayani hapa na kula mahindi mabichi na kuzusha hofu kwa wananchi kwamba huenda wakasababisha jaa.Mjumbe wa serikali ya Mtaa wa Old Korogwe, Kasimu Lupatu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimepata taarifa hii sasa hivi.kwa wale mlioko machame mnaweza kutupa updates!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Najua unapita JF kwa hiyo sina wasiwasi na ujumbe wangu huu kwako. Arusha pale soko kuu kuna wimbi kubwa la watoto ambao umri wao unadhihirisha wazi kwamba wanatakiwa kuwa shule, na nahisi wengine...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana janvi natumaini wote hamjambo, napenda kuwataarifu kwamba kila siku ya Alhamisi bendi ya wazee sugu ikiongozwa na mzee king kiki wa kutambaa cheupe watakuwa wanatimua vumbi ndani ya kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CCM ikiwatimua mapacha watatu tutawapokea-AFP Thursday, June 16, Na Mwandishi Wetu, Zanzibar CHAMA cha Wakulima Tanzania (AFP), kimeweka bayana msimamo wake kuwa ikiwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
Bhoke,Bhoke,,Bhoke si maadili ya Kitanzania Amelidhalilisha sana Taifa Ikiwa Bhoke atarudi/ataendelea na kibarua chake pale EATv itaongeza kasi ya mmomonyoko wa maadili kwa wabinti hasa wa...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Angalia kwa kifupi dk 9, uone kitu gani kinaendelea sehemu fulani za nchi yetu. YouTube - Hyena Square then see full episode here; YouTube - Hyena Square - Tanzania Tunawaisaidiaje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
" Kambona , ah, ah! Kambona, ameolewa! Wapi? Uko Ulaya! Wivu? Wamkereketa!" Utotoni nilipata kuwasikia kaka zetu wakiimba wimbo huo wa mchakamchaka. Nikiwa shuleni nimesoma sana habari za siasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu poleli sana na majukumu ya kujenga taifa<BR>swala la hali ya chakula linatishia kugarimu&nbsp;maisha ya watanzania walio wengi,bei za nafaka hususani mahindi yamepanda kuliko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa ya habari za kimataifa imesomwa kiajabu sana. Habari ya urusi imewekwa libya na kinyume chake. Halafu msomaji hajatuomba radhi. Mzee Mengi umeona? Ama staff wako hawajali ama taarifa za...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Huzuni WATANZANIA, huzuni sana, tumechoka waTz kulaghaiwa, tulisika Ari mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia Nguvu mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia kasi mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia maisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhalini wana JF nisaidieni mwenzenu kama gazeti la Mwanahalisi kwenye mtandao lipo au limekwisha fanyiziwa? Maana mimi napata madudu yanayoonyesha kwenye www.mwanahalisi.co.tz . Au tayari...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom