Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Bbc Swahili 15 Juni 2011 13:00 ? Wahubiri wa Nigeria wamefanikiwa katika miradi yao na kuwa na utajiri unaolinganishwa na matajiri wanaofanya biashara ya mafuta. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Tafadhali tembelea: View from the Termite Mound: The Sukenya Farm Conflict What Thomson Safaris are up to in Loliondo and How I Became a Prohibited Immigrant in Tanzania Utalia! Ni juu ya...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nilikuwa nachunguza majeshi ya nchi mbalimbai afrika na nimegundua kwamba afrika nzima, ni nchi moja tu, South afrika ambayo inayoweza kujilinda kwa kiasi fulani na maadui wa nje. Nimeangalia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwezi wa nne nilitokea sheli sheli kupitia Nairobi, wakati nafika hapa sanduku langu likawa halina mkanda niliokuwa nikiutumia kulikazia. Nilipofika nyumbani nilikuta sanduku limepekuliwa ile...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama utachukua deni lote la Tanzania (trilion 11) ukigawa na idadi ya watu (milion 40) basi kwa makadilio KILA MTANZANIA ANADENI LA shilling 300,000. Hata mtoto aliye zaliwa leo.....CCM OYEEEEEEEE
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msanii wa sanaa ya uchekeshaji Dickson Makwaya a.k.a "Bambo mzee wa kuchamandi" amepata ajali mbaya ya kugongwa na gari akiwa katika pikipiki maeneo ya Kigogo Mbuyuni jana usiku. Hali ya...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Jana saa 1.40 asubuhi maeneo ya akiba nilikutana na kundi la askari likikimbia MCHAKAMCHAKA. Walinikumbusha mengi na mbali sana. Huu mchakamchaka tumekimbia shule ya msingi, tumekimbia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mada imepelekwa jukwaa la mapenzi vigezo namashartti kuzingatiwa
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Abaka visichana visichana vidogo wilayani namtumbo. DC akiri kwamba wageni hao ni hatari. Wanakijiji wapoteza imani na vyombo vya dola Serikali imesema haina taarifa za Mzungu huyo Binti...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Inasikitisha sana kuona wanafunzi wanashindwa kupewa haki zao za msingi matokeo yake wanafungiwa chuo pasiko kujali maslahi binafsi ya wanachuo. kama sikosei wanachuo wanatakiwa kuanza mitihani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimefuatilia kwa kirefu jinsi ya experiences za MP's wa ccm. CCM is really full of selfish people and we definately can call the so. Most of them sit in parliament just to receive 'posho' and...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
January makamba alisema swala la kufuta posho ni la mpango wa serikali na hata ccm wameshafuta posho za vikao, jana pinda kasema swala la kufuta posho haliwezekan hata posho zenyewe ni ndogo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja wa nchini Marekani mwenye rekodi ya kufikishwa mahakamani kwa makosa ya ubakaji, ameiaga dunia wakati akimbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 77. Isabel Chavelo Gutierrez mwenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi!Kumekuwa na atabia ya baadh ya watanzania kushabikia mambo wasioyajua na kuyatolea suluhu. Ni vizur kukaa kimya utaonekana pia unajua kuliko uongee ovyo halaf ifahamike kuwa hujui kitu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
FIFA AFFILIATE TFF GRAFT CLAIMS: IS IT KILLING TANZANIAN YOUTH SOCCER DEVELOPMENT « TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia mwezi December 2010 hadi mwezi wa march 2011 kulikua na vita kali ya maneno ya kimbea ya gazeti la Mwanahalisi kwa Mbunge Mzalendo Zitto Zuberi Kabwe! Mwanahalisi ilitoa kashifa nyingi...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
hii ni aibu jamani yaani nawaona watu weupe hapo wanaandamana kwa mgodi uliopo mara lakini sisi na viongozi wetu waaaaaaala tunaona safiiiii tu kwa raia wetu kufa Approximately 70 people...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Rais Kikwete amesema kuwa mashirika mengi yasiyo ya kiserikali yamekua yakiponda kuhusu bara la afrika na hata hayataki kusifia kuhusu chochote,jk amesema hayo alipokua akijibu maswali ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
MWANAMKE mmoja[30] [jina linahifadhiwa] mkazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam, amechukua uamuzi wa kumfata mchungaji aliyemfungisha ndoa kwa kuchoshwa na vitendo anavyofanyiwa na ndugu wa upande wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna habari nimeisoma kwenye wall ya facebook ya waziri kivuli wa wizara ya ndani mh John mnyika kuwa serikali imeficha kuwepo kwa mgomo wa kula kwa siku tatu kwa wafungwa nawasilisha asanteni.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom