Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Salamu wadau, Jamani naomba kuuliza, kuna mtu yeyote anajua lolote kuhusu namba hizo? Binafsi nimepigiwa mara kadhaa na sikupata ujasiri wa kuzipokea Tafadhari tusaidiane. Asante
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi hakuna magazeti zaidi ya Mzalendo, uhuru na habari leo? Haya ndiyo magazeti wanayoyajaza pale library.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mkuu wa Kituo Cha Polisi katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Makambako wilayani Njombe, ASP Mshana Mjema, anadaiwa kumjeruhi mwananchi mmoja kwa kumpiga virungu na kumsababishia madhara makubwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF - especially wana MAGAMBA, Wakati mgao wa umeme umeeanza nchini kwetu (na imekuwa jambo la kawaida si geni tena) Ghana kuna sheria zifuatazo zinazomlinda mteja wa umeme: Umeme...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
MKUU wa Polisi wa Wilaya ya Kibondo, mkoani Kigoma, jana alishikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumpiga risasi sehemu ya makalio, Mkufunzi wa Sanaa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
IF YOU'RE reading this, predictions that the world would end on May 21 were not true. US preacher Harold Camping, 89, who has studied the Bible for 70 years, predicted May 21 as...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Chanzo tbc1 na macho yangu mwenyewe!! Wanasema watafanya matengenezo kwenye satellite yao hivyo watalazimika kuzima mtambo! Isipokuwa wale wanaoangalia kupitia DSTV wao haiwagusi
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni dhambi gani kubwa inayomsumbua ambayo inamfanya mpaka asienda ku hij?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakazi wa Bulyanhulu na vijiji vya jirani wakiongozwa nadiwani wao wa Chadema leo wamefanya maandamano ya amani kwa kuwapa Barrick siku 30 wawe wameleta maji kakola kwani wanaishi jirani na mgodi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Sirikali imejenga wapi nyumba 2000 zilizo tolewa kama msaada na libia kwa wahanga wa mafuriko kilosa. Au ndio zile bati
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenzangu wewe unakula na kunywa nini? Kula na kunywa kwako ndio kielelezo cha maisha yako. Urefu wa maisha yetu unategemea sana misosi tunayokula.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu Waandishi wa habari na Wanaharakati. Pole na shughuli. Naleta kwenu malalamiko yetu, ili mtusaidie kufuatilia. Tuna mtoto wetu aitwae Solome Mahamud, anasoma Arusha. Mtoto huyo alikuja...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana JF, Mimi sio muangaliaji sana wa hii TV ya Taifa (TBC) siku za mapumziko ya wiki ndio napata nafasi ya kuangalia leo wiki ya tano (5) wanarudia kuonyesha vipindi vile vile, saa nne usiku...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kung'olewa kwa kaburi la Kiyeyeu mchawi wa Iringa, ambalo hata wazungu walishindwa kuling'oa na kifo cha Shehe magirini ni anguko kubwa kwenye himaya ya wachawi
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo asubuhi kulikuwa na tukio la kutaka kupora hela zilizokuwa zinaingia ofisi ya kuuzia madini ya Classic, kwenye purukushani hizo majambazi walimpiga risasi mlizi Joseph na kumwua hapohapo ila...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ukitazama kwa makini foleni za magari jijini kati Dar utagundua kuwa almost 60-70% ya magari ni ya watu binafsi. Utakuta foleni kwa mf inatoka manzese hadi magomeni ina magari 40 binafsi na mtu...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nina LCD TV ya Sharp model LC-32GA6E imepata tatizo leo inatoa sauti lakini haitoi picha. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa kiufundi anisaidie kutatua tatizo, nipo Dar namba yangu 0787662663...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Nikiwa na msongo wa mawazo, nikiwa na sononi huwa nakimbilia JF, nazisoma weee, shida zote za dunia huzisahau na kujiona niko peponi (sio kwenye pepo punda ila kule tutakako enda leo saa 11 jioni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna watu maishayao yote wanaishi kutegemea waganga na watabiri..ninavyoongea kuna watu wanakwenda kuwa maskini wa kutupa kutokana na kifo cha sheikh yahyan sasa basi ni wewe mtu wa mungu kujianda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawezaje kupata ringtone hizo?
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom