Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Inasikitisha sana kuona serikali yetu imeshindwa kutatua suala la mgomo wa daladala mkoani Morogoro. Ni siku tatu tangu huduma hio muhimu katika ujenzi wa taifa ilipositishwa kwa madai ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mpaka mauti yanamkumba marehemu sheikh Yahya alikuwa na jumla ya watoto 20. Chanzo ni taarifa ya habari ya saa 1 usiku chanel ten.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwenye gazeti la Mtanzania la leo kuna habari kuwa gari la wizara ya maji linashikiliwa katika hoteli ya Land Mark kutokana na deni la Sh58 million. Inaelezwa kwenye habari hiyo kuwa wafanyakazi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
A dangerous bubble - Richard Dowden takes the temperature of Tanzanian democracy and discovers a land of two halves. When our ancestors first looked out across Tanzania’s plains from Olduvai...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Huwa nasikitika sana na kupatwa na huruma nikisikia mpigania haki kauawa na risasi za Moto na Jeshi la Usalama wa raia la polisi. Tunasikia Nchi nyingi huwa wanatuliza Ghasia kwa silaha baridi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
p { margin-bottom: 0.08in; } Wengi wanasema maneno mabaya baada ya kifo cha shekhe Yahaya, ikumbukwe kuwa pamoja na maisha yake katika utabiri lakini alikuwa ni kiumbe wa Mungu ambaye ilikuwa ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima zenu wana jf! Hali ya maisha imekuwa ngumu kila uchwao, nna mke pa1 na watoto wawili, ila kipato changu hakiendani kabisa na ukubwa wa familia yangu. Sasa nimeonelea nianze kuchukua hatua...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sijasikia salamu za rambirambi za JK kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe (CCM) Ndugu John Mwankenja. Taarifa ni kwamba huyu Mwankenja ameuliwa jina usiku wakati Sheikh...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Kiukweli kutoka moyoni mwangu huwa na umizwa sana na hili suala, kwa nini tz inaendeshwa zaidi kwa nguvu za dola? Utakuta wanafunzi wamegoma tena maandamano ya amani kudai haki zao, lakini polisi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
p { margin-bottom: 0.08in; } Wengi wanasema maneno mabaya baada ya kifo cha shekhe Yahaya, ikumbukwe kuwa pamoja na maisha yake katika utabiri lakini alikuwa ni kiumbe wa Mungu ambaye ilikuwa ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimesikia taarifa ya habari Clouds FM asubuhi ya kwamba Mama Salma Kikwete alisalimiwa na wanafunzi kwa ishara ya vidole viwili na wanafunzi wa primary. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tukio...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wana JF wenzangu kwanza poleni kwa mkesha wa kusubiri mwisho wa dunia. Baada ya pole hiyo, nina jambo hili, kuna thread hapa JF zimekuwa zikijaribu kutujuza mikoa inayoongoza kwa uchawi, ukatili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
YouTube - ‪Tangibovu's Channel‬‏
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hii ndio tz bwana! Ktk hali ya ajabu mwanamke mmoja amejifungulia ndani ya pantoni lile kubwa hapa KIGAMBONI huku likiwa ktkt ya bahari! Mashuhuda tulio kuwepo imetubidi kufumba macho! Hii watz...
0 Reactions
56 Replies
9K Views
Kwenu wapendwa hili limenikuta hivi karibun si haba kuwajulisha..nilifika pale engen mikochen nikauliza jamani kuna mayai ya kienyeji wakasema yapo..nikaenda nikanunua trei mbili nilipofika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu leo ninasafiri kutoka Njombe, tumeanza safari vizuri bila hofu ndani ya basi la Lupelo, ila tulipofika Melela bila ujasiri wa dereva muda huu tungekuwa marehemu. Wakati gari yetu...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
When Josh Ferrin closed on his family's first home, he never thought he'd make the discovery of a lifetime — then give it back. Ferrin picked up the keys earlier this week and decided to check...
0 Reactions
2 Replies
974 Views
Nimepata habari kutoka gazeti la Raia Mwema la wiki hii kuhusiana na habari za uhujumu wa uchumi kwenye wizara ya maliasili. Habari hii kutoka ndani ya moyo wangu imenihuzunisha sana kama sio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukifika getini muhimbili national hospital, utakuta mama mmoja kichaa mweupe hivi kiasi, sio mchafu sana kama vichaa wengine, ila anafanya vituko kama wafanyavyo vichaa wengine. Tatizo langu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mara nyingi nimezoea kuona/kusikia kila kunapotokea fujo lazima utasikia kumetokea mauaji ya RAIA yanayosababishwa na jeshi letu la polisi, na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa zaidi tu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom