Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baada ya kifo cha Mnajimu aliyekuwa maarufu Africa Mashariki na Kati,Je? Ule ukurasa wa mambo ya ijuwe"NYOTA YAKO" kwenye gazeti la Nipashe itaendelea kuchapishwa wakati Mnajimu katangulia mbele...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa si mbaya kuweka hapa jamvini..jana nilikuwa naweka mafuta pale engen mbezibeach..kwa mbele nikaona jamaa amepaki ananyonya kitu kutoka kwenye gari inamwagika yakamwagika mengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni muda sasa kumekuwepo na hulka ya wanachi katika baadhi ya maeneo katika mikutano ya hadhara kuwazomea baadhi vingozi wa kisiasa au Watendaji pale ambapo hawaridhishwi na majibu au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Juzi tu raia walimwua askari polisi mmoja huko Tabora na sauti za kikubwa zikasikika na walifika eneo la tukio bila kuchelewa na kutoa kauli kali sana. Kabla ya hapo mashamba ya wawekezaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MCT yakerwa uandishi usiozingatia maadili Na Mwandishi wetu 20th May 2011 B-pepe Chapa Maoni Baraza la Habari Tanzania (MCT), limesema limebaini kwa masikitiko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tumekuwa tukiuzunguka mbuyu, eti kafa na stroke, mara kisukari., mara lile wakati jamaa kafa na ngoma na alikuwa na medemu wengi sana na wengine walisha tangulia mbele ya haki kwa kaugonjwa kalekale
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Kwenye nipashe asubuhi leo nimepata habari ya kusikitisha ya watoto wa miaka 12 mpaka 13 wamemnyonga mtoto mwezao wa miaka 2 Kisa kimetokea wakati watoto hao wakicheza Kaka wa marehemu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ugomvi wa nyumbani kwake anauhamishia ofisini na kila mtu anamuoma kama adui
0 Reactions
0 Replies
954 Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema Bara la Afrika lipo hatarini kuwa masikini wa kutupwa kuliko mabara yote duniani ikiwa viongozi wake hawatapata mbinu mpya za kiuongozi za kukabiliana na matatizo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndg zangu! Nimemmiss huyu Mama Terry sana ktk kipindi chake cha kila mara moja kwa wiki Radio One,Je? Siku hz yuko wapi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanasheria wa kibongo nawachukia sana tena sana hawahawa wanasheria ndio wanaotengeza sheria za kusamehe kodi mashirika makubwa na kukimbizana na wauza nyanya, hawahawa ndio wanatunga sheria...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Government has failed to avail 2011/2012 budget books to Members of Parliament 21 days before the Parliament budget session as requested by Parliamentary Standing Orders. According to Article...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF inasemekana kuna mgomo wa Daladala yaani yale magari yanayotumika kusafirishia abiria ndani ya Manispaa ya morogoro,mgomo huo ni wa siku mbili kwa aliye morogoro anaweza kutujuza nini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
katika kudhihirisha kuwa watanzania sasa wanataka mabadiliko ya kweli,wanafunzi wa bunda wamemjibu salamu yake mama salma kikwete kwa alama ya V.Ikabidi amuulize mkuu wa wilaya kulikoni au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
By In2EastAfrica - Thu May 19, 9:25 pm Former Zanzibar President Dr Amani Abeid Karume Former Zanzibar President Dr Amani Abeid Karume is on Friday expected to deliver a lecture at the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mdogo wangu,nilimpeleka muhimbili hospital,anasumbuliwa na tumbo wakampima,wakasema anasumbuliwa na duedanal ulcers,cha ajabu hata akila pilipili,maharage,na vitu vyote vyenye acid,tumbo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JANA majira ya jioni saa 1 katika barabara ya Nyerere kulikuwa na foleni ndefu ya magari isiyo na mfano isiyotembea hali iliyofanya raia wawili wa kizungu kung’aka kwa hasira na hatimaye kushuka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dr. Kizza Besigye ambae ni kiongozi wa upinzani Uganda, walivyomfunga je tatizo linaweza kwisha kwa hivo tu?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeibiwa mara tatu sasa pale chalinze, nipo kwenye bus nanunua kitu nje jamaa anajikanyaga kutafuta chenji mfukoni mpaka bus inaondoka, anajifanya kukimbiza bus kumbe ananizuga. Nachojiuliza hivi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za usiku wana jf. Nafikiri wengi tutakuwa tumeona kwenye taarifa za habari toka jana nimeona taarifa ya habari picha zake ni za black and white, au ndo maendeleo baada ya Tido kuondoka. Au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom