Madereva wa magari aina ya costa zinazosafirisha wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam kutoka mabibo hostel kuelekea campus ya mlimani waligoma kutoa huduma hiyo tangu jana alhamis na...
Hakuna kitu kizuri na kinachotoa moyo kwa jamii kama kupewa pongezi. Mara nyingi zawadi zinatumika katika kupongeza juhudi za mtu binafsi au hata vikundi vinavyoleta mabadiliko katika jamii...
Familia nyingi kati ya zile ambazo nimebahatika kuzitembelea. Kama familia hiyo kuna watoto wenye umri kuanzia miaka 3 up to 5,pindi wanapomaliza kula chakula cha mchana utaona baba au mama...
Jamani wana JF,
Ni vema tukafikiria mara Mbili Juu ya kinachodaiwa kuwa kifo Cha Osama!, Mimi Bado naamini Hajafa kutokana na Mkanganyiko wa kauli za wamarekani!,
Kitu kingine nani ana picha ya...
Kwa wana JF,
Habari iliyo nijili hewani sasa kutokea huko Mkoani arusha ni kuwa General Manager wa The Arusha Hotel Au New Arusha Hotel ambae ni Mzungu kutokea Huko South Afrika amewakwa...
Wanabodi,
Kumetokea mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha Jambo Plastics, Nyerere Rd. Wafanyakazi wameifungia nje menejimenti ya kiwanda, na kutanda lango kuu huku wamebeba mabango mbalimbali...
KWELI TAKUKURU WANA LAO JAMBO!!!.
Ndugu wana JF,
Nilivutiwa sana na mada ilitumwa siku chache zilizopita iliyohusu "TAKUKURU WASHINDWA KUWACHUNGUZA MAFISADI, SASA WAGEUKIA MAASKOFU".
Hata...
Ndugu wana JF, nipeni nafasi pembeni ili nitoe kero hii ambayo imekuwa sugu kwa wakazi wanaoishi maeneo ya kuanzia Ubungo hadi Kibamba. Nidhahiri kuwa pengine Sumatra na askari polisi wameenda...
Wana jamvi,
Nimekuwa si mwenyeji sana hapa JF lakini katika pita pita zangu nimegundua Tanzania tunakwamishwa na wanasiasa.
Tofauti na nchi nyingine ambapo utakuta wanasiasa ni watu...
Siku moja nikiwa stendi ya daladala ubungo pale kuna jamaa walikuwa wanabishana :Mmoja alidai ni kheri asikilize hotuba za mwl za 1970 kuliko za JK hata ikiwa ni live,sasa mimi nawauliza wanajamii...
Maureen Mudi
4 May 2011
A Tanzanian tycoon and his former Kenyan wife have agreed on how to share their Sh450 million property row recorded consent over how to split their property.
Sources said...
Thursday, 05 May 2011 20:36 administrator
* Adaiwa kuchimbia kibindoni milioni 438/-
* Dk. Slaa naye alipwa mshahara wa milioni 7.144/-
* Adaiwa kununuliwa gari la milioni 78/-
NA...
Nilikuwa naamini JK ni shujaa, mchapakazi, lakini matukio ya dawa za vikombe yanayoendelea nchini ni ishara kwamba hatuna strong central government.
Moja ya jukumu la serikali ni kuhakikisha...
They say there are seven wonders in the world but there are more in Tanzania. Perhaps the whole of Tanzania is one of them, reflects Alan Barnard, who takes us on a quick trip through the country...
Ninashangaa sana kabwana mdogo kametoka masasi kameibukia dodoma, ccm kuna bahari ya ufisadi Nape anakuja na dekio na ameanza kunywea mara ooo hatukutoa siku tisin mara ooo hatuna majina sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.