Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wana JF, ni mara yangu ya kwanza kuingia kwenye jukwaa hili, il anaomba msaada wenu, Je, ni maziwa gani yanafaa kwa mtoto wa miezi 3? Natanguliza Shukurani
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kwa siku za hivi karibuni nimeanza kuona tofauti katika utoaji wa habari wa gazeti la mwananchi (MCL) na nina wasi wasi kwamba kuna mchawi kaingia hapo ili kuli sambaratisha. Habari ya kwanza...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani tukisema mnasema eti udini, lakini piteni jioni pale Tumaini University kampasi ya kurasini mjionee. Ni vurugu tubu Kwaya ya mazoezi zenye spika ziko juu, Maombi ya jioni nyimbo sauti juu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mh nimeanzisha thread ya "jf forerver thread" cjaona ubaya wake na cjui imeenda wapi . Mie kila cku nikifungua jf kunathread moja ambayo inapost nyingi hadi nashindwa kuifungua na kila cku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida jana kuna diwan mmoja wa chadema alikuwa analalamika na kudai anashangaa watu wanapeleka hela nyingi kwenye bajeti za mambo yasiyo namaana wakati vitu muhimu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu Salaam, nipo Arusha mambo huku sio sawa tatizo kubwa ni mgawo wa umeme, ninapowasiliana na wenzangu, Dar, Moro, Dom wananishangaa kusikia bado tuna mgao, ndugu zangu nafikia mahali kujiuliza...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jana nimetoka job kufika tu mwanangu ananiuliza eti kuku na yai nani alianza?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kunywa but ukiwa unajua madhara yake pia
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi kila leo tunapata ushahidi na uchungu wa matatizo jinsi gani watu wachache Tanzania wamepewa busara za kujipendelea na kujibagua kitabaka. Kinachonigusa zaidi ni huu ubilionea na umilionea wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nimepata hii stori nikiwa na pitatapita online wale wanaopenda wanafalsafa watapata kitu cha kufikiria I met god the other day. I know what you’re thinking. How the hell did you know it was...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Kuna jamaa kaweka tangazo lake kwenye gazeti 'Daily New' la leo 05-05-2011 kwenye ukurasa wa 20 akiomba kukopeshwa milioni 35. anamalizia kwa kusema ' the future belongs to the RISK TAKERS, not...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais wa marekan Barack Obama amekataa kuweka hadharani picha zinazothibitisha kifo bha OSAMA BIN LADEN source.www.bbc.co.uk and www.cnn.com
0 Reactions
8 Replies
4K Views
A reporter with the Daily News Orton Kiishweko, emerged the overall winner of the Excellency in Journalism Awards (EJAT) 2010. Kiishweko had also emerged winner in two categories – Good...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
na Khamis Mvulla, Mtwara HALMASHAURI ya Tandahimba mkoani Mtwara imepata hati safi ya mahesabu baada ya ukaguzi wa Tamisemi. Hayo yalisemwa na Abdallah Njovu, katibu wa baraza la madiwani...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Baada ya mchosho wa takrban masaa manne hatimaye Sumatra wakubaliana na masharti. Na jamaa wanachemka kama kawa vile
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hili ni mafanikio ya Obama? Baada ya kifo cha osama, nini kitatokea kwa wamarekani?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wana JF, Naamini aliewahi/anaefanya kazi kwenye utumishi wa umma atakuwa ameona hiki nitakachokiweka hapa hadharani. Maamuzi mengi mabovu serikalini na mashirika ya umma yamekuwa yakihusishwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kipindi kirefu, Tanzania imekuwa inatoa taarifa ya pato la taifa kutumia aina moja ya uwasilishaji wa taarifa hiyo licha ya kuwa imetoka katika mfumo wa uchumi hodi kwenda uchumi wa soko. Njia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi, nimeona kwenye bbc kuwa raisi wa marekani na dunia amesema kuwa no photoz zakuonyesha kifo cha kiongozi wa alqaeda zitakazotolewa..kwa ajili ya national security issues, hii imekaaje...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mtu hapa anaejua gharama za kusafirisha mwili wa marehemu kutoka London mpaka Dar aniambie,kuna mdogo wangu wa kike aliolewa na mzungu kafariki huko sasa jamaa kautelekeza mwili kwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom