Juzi tumeona majirani zetu wa Kenya na Uganda wakiandamana kupinga mfumuko wa bei, kupanda kwa bei ya mafuta na ugumu wa maisha kwa ujumla.
Tanzania tumekaa kimya, mafuta yanapanda bei kila...
Salam Wakuu! Ni kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya uchunguzi ktk majengo yetu muhimu na baadhi ya ofisi hasa zile zilizopo jijini Dar. Kwa muda huo wote nimegundua udhaifu wa kiwango cha kutisha...
WanaJF: kiukweli hili linakera sana kwa mh Godbless lema na katibu wa kanda ya dar es salaam mkuu Kilewo kuacha kuendelea na sangara na kurudia mbeya mjini na kuendelea kufanya mambo yao wenyewe...
Kama sijasahau tu, babu alipoanza kutoa tiba, wengi walimshauri atoke pale aende mahali palipo na miundombinu safi ili iwe rahisi kwa watu kufika bila shida na kupata mahitaji yao bila shida...
:A S-baby:nashanga kuona mji ambao ni makao makuu ya nchi,mji ambao bunge la nchi linafanyia vikao vyake pale sitand ya basi kuwa kama ile ,hata kama wanampango wa kuhama inawachukua muda gani...
Friday, May 6, 2011, 5:42
Makala na Uchambuzi, Rai
Na John Kibasso
JUHUDI za Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete za kutaka kukinusuru chama baada ya kubaini kwamba...
"Maovu ya CCM sasa basi" Mwinjilisti Faustin Munishi
Wananchi wapendwa yangu ni machache sana leo. Maisha yetu na watoto wetu ni muhimu kuliko chama chochote cha siasa. Hakuna sababu ya kuwa...
By: Petronella Murowe
For poor people like us, education should be an instrument for liberation. (Nyerere).
The rights to education and access to information are fundamental human rights...
Kwa kile ambacho CCM wanaamini kuwa JF inamilikiwa na CHADEMA na kuwa tishio kwa Chama tawala kama ambavyo Mwenyekiti msaidizi wa Chama Pius Msekwa alivyosema,na baada ya Hussein Bashe kukiri kuwa...
Vietnam seizes another container of ivory from Tanzania
BY GEOFFREY NANGAI AND AGENCIES
VIETNAMESE customs authorities discovered nearly 600 kilograms of elephant tusks hidden in a shipping...
Siku hizi imekuwa kama desturi, kila kukicha utasikia kuwa Waziri Mkuu 'aliyejiuzuru' kasema hili mara kafanya lile na yote ayafanyayo au kuyasema hayana tija kwa mustakabali wa nchi yetu.
Hapa...
JANA mganga wa tiba za asili kutoka mkoani Mwanza, Mhangwa Hela, anayedai kutibia magonjwa sugu alijitokeza mbele ya wanahabari kutangaza dawa na kisha kugawa dozi ya dawa hiyo kwa waandishi wa...
WIMBI la wanaojinyonga wenyewe linazidi kuongezeka siku hadi siku sababu ambayo wananchi wanashindwa kuelewa linatokana na chanzo gani kutokana na watu kuamua kukatiza uhai wao wenyewe
Mbali na...
ALIKATAZWA NA DR. Asinywe vinywaji vyenye Vileo kama Bia, la hasha, kila akabuni mbinu mpya ya kuchanganya Bia na Soda, ili ndugu wasitambue. Sasa anapumulia machine hosp. Na anasema amelogwa...
Habari zenu wana JF mhe.Magufuli tafadhali sikia kilio chetu sisi wakazi wa Mbezi JUU na Goba, barabara ya kutoka samaki wabichi hadi Goba Mwisho sio barabara ya kupita binadamu wa kawaida ni ya...
WanaJF! Kifo cha huyo Gaidi haina na ile kifo (Kimvuli) ya yule Gavana (Mfu) yenye wasiwasi mpaka leo kwangu na kwa baadhi ya Ndg zangu wenye uchungu na nchi yao yenye kila sbb ya wa2 wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.