Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
UINGEREZA imemfukuza balozi wa LIBYA nchini humo kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la watu katika ubalozi wa UINGEREZA mjini TRIPOLI nchini LIBYA. Waziri wa mambo ya nje wa UNGEREZA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wiki iliyopita nilikuwa huko Masasi kwa shughuli za kikazi. Nilipita katika hospitali ya Ndanda, hali niliyoikuta ilinisikitisha. Kulikuwa na vijana kama sita waliokuwa wamekatwa miguu kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MKURUGENZI Mtendaji (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro, Ephrem Kalimalwendo, ametangaza kumburuza mahakamani mkuu wa wilaya hiyo, Halima Dendego kwa madai kuwa, amemzulia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
sophia simba alipoituhumu CDM kuwa inafadhiliwa na mataifa ya ulaya kuchochea vurugu, makada wa CDM walisema watamburuza mahakamani lakini hadi sasa ni kimya chenye kishindo...ilikuwa ni kutishia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu sijui wangapi waliangalia taarifa ya habari jana kwenye ITV lakini kinachoendelea Iringa ndio hii hapa baada ya matatizo ya maji huko. Eti huyu jamaa alikua hataki watu wachote maji kwa hio...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kupita miezi 116 tangu kujiri tukio la Septemba 11, hatimaye Wamarekani wametangaza kumuua Usama Bin Laden kiongozi wa mtandao wa al Qaeda. Akitangaza habari hiyo huko White House...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
PAMOJA NA RIPOTI MKUU UMENIMALIZA KABISA SIJUI PA KUANZIA ANAONEKANA MKURUGENZI ALIEACHIWA MSALA WA TANESCO AKIMNONGONEZA CAG AMBAE ANAONEKANA KAMA AMSIKII VILE NIHURUMIE BASI NIREKEBISHE NDUGU...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kupita miezi 116 tangu kujiri tukio la Septemba 11, hatimaye Wamarekani wametangaza kumuua Usama Bin Laden kiongozi wa mtandao wa al Qaeda. Akitangaza habari hiyo huko White House, Rais...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa hapa bongo siku hii itaazimishwa Jijijini Dar ambapo pamoja na mambo mengine zitatolewa tuzo kwa waandishi waliofanya vizuri kwa mwaka 2010 Kwa maoni yangu uhuru wa habari tanzania upo ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimeona kwenye TV kama vile kulikuwa na waandishi maarufu kwenye conference ya CCM kama vike kibanda, balile, mapinduzi, mkumbwa, kingoba, mhagale, na wengine wengi....kamshiko hakajatembea...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafakali kwakina kila nikichemsha akili yangu naona ushindi wa Democrat njia ni nyeupe! Hebu jf lete mawazo yako
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Amid the justified celebrations over the killing of Osama bin Laden, an awkward question is starting to rear its head: Did U.S. policymakers err in burying the al Qaeda leader at sea? Already...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Mkuu Admin, kwa huzuni na taadhima, naomba kama upo uwezekano liwepo JUKWAA la Malenga maana wapo wengi na wenye uwezo wa kupanga verse kwaetu sisi twawaita wazee wa VINA na VISHARI, kuna jukwaa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
WASWAHILI husema tembea uone. Nilidhihirisha usemi huu pale nilipokuwa katika kisiwa cha Mafia kilichopo ndani ya bahari ya Hindi hivi karibuni nilipokuwa katika safari zangu za kikazi.Jambo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
jamani naombeni ufafanuzi happ wa kisheria, hasa hapo kwenye maandishi mekundu nawasilisha Waziri amfumania Mwalimu akiwa mlevi chakari Na Thobias Mwanakatwe Mwalimu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa napita kwa Web ya Wizara ya Fedha na Uchumi ghafla nikakutana na hiki kitu. Kiumri inaonekana kama imepitwa na wakati lakini kimantiki inaweza kuwa na msaada na mahali pazuri kuanzia pa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba nimfahamu huyu Muhariri wa TZDAIMA kwa undani. Hii imekuja baada ya Mabosi wake yaani CDM wakipambana kupinga ufisadi.Yeye anakuwa opposite side. 1)Ameoa mtoto wa karibu na mapacha wa 3...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimealikwa kujadili hali ya ugonjwa wa malaria kesho asubuhi,najua mna mengi mwataka yajua kuhusu dalili,tiba na madhara yake....tupia jicho.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Moses Mabula, Tabora NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kwamba kitendo cha Sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujivua Gamba kimeleta heshima ndani chama hicho...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa CCM amesema kuwa katika kikao kikuu cha halmashauri kuu ya CCM iliyokaa mjini Dodoma haikumtaja mwanachama yoyote wa chama hicho kuwa ni fisadi! Pia alitolea mfano dhana ya kujivua...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom