there is only one person who is capable to set limits to your growth IT IS YOU.
your life changes when YOU change
i am not happy with the current government but there is also something that i...
Have you locked your keys in the car? Does your car have remote keyless entry? This may come in handy someday.
Good reason to own a cell phone: If you lock your keys in the car and
the spare keys...
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linaendelea kuwahoji maofisa kadhaa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kuhusiana na tuhuma za kuruhusu usafirishaji wa twiga wanne kwenda...
Zanzibar ipo mbali sana na Tanganyika ukilinganisha na nchi nyingine kama Kenya, Uganda nk. Hivi ni kwa nini Nyerere aliamua kuiunganisha Znzb na Tangnyk na sio hizo nyingine? Zanzb na nchi ya...
ni kitu cha kushangaza kuona Rais hatoi hotuba katika sherehe kubwa za kitaifa km vile muungano na uhuru. nilitegemea atoe hotuba za kutoa mwelekeo wa taifa letu. je ni tz tu au na nchi zingine...
Chama Gani Duniani kinafanya hivyo? Huu hautakuwa Wizi?
Tuesday, 26 April 2011 12:35 newsroom
NA KHADIJA MUSSA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeazimia kujiimarisha kiuchumi, ambapo sasa wanachama...
Wadau nipo hapa mjini Nairobi nimekutana na baadhi ya watu wa hapa maeneo ya Parkland wanaliita kanisa la kilutheri ambalo mchungaji wake mstafu Ambikilile mwasapile anatoa KIKOMBE Kwa ajili ya...
Na Grace Michael
BAADHI ya wananchi wa Jimbo la Vunjo, wamemwomba Rais Jakaya Kikweye kuangalia uwezekano wa kumteua aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Bw. Aloyce
Kimaro kuwa mbunge.
Rai hiyo...
Tarehe 20 april, nilisafiri kwa basi la kampuni ya hood kutoka dar kwnd Morogoro, katika safari hyo nimeona kuwa bado abiria wengi hawajatambua umuhimu wao kufunga mkanda ya usalama wakiwa kwny...
April 22nd, 2011
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA). Mama Salma Kikwete akizungumza pamoja na kujibu masuali ya wanafunzi wa Thunderbird School of Global Management hawapo...
toka hela mpya zimeingia kwenye mzunguko ni mwezi wa 4 sasa tunaenda wa 5 lakini cha kushangaza hela za zamani bado nyingi kwenye mzunguko kushinda mpya.nchi inakuwa na hela aina mbili? Hii ni...
Wana jf salaam,
leo najitokeza rasmi kumfagilia kwa sana f/lady wa tanzania mhe mama salma kikwete kwa utendaji wake wa kazi tangu ameingia madarakani mumewe mhe rais jakaya mrisho kikwete ...
Serikali ijipange kuwapunguzia wananchi ugumu wa maisha
Ugumu wa maisha ni kilio kinachosikika kila kona ya nchi hivi sasa. Na hasira za wananchi zinachochewa zaidi na tofauti kubwa iliyopo kati...
Tweeting ni njia inayotumika sana sasa hivi kupeleka ujumbe na kupokea ujumbe kutoka kwa watu, Hapo zamani ilikua ngumu sana kuwasiliana na wanasiasa wakubwa au celebrities lakini sasa, thanks to...
Ndugu wanaJF, mara kadhaa nimeshuhudia baadhi ya askari wetu wakiringa kwa kivunja sheria. Huwa najisikia vibaya sana kuona wale wenye wajibu wa kulinda sheria ndio wanaoona fahari kuzivunja:
1...
Kuna rafiki yangu ameniambia eti ukinunua gari Zanzibar ukija Dar unalipia ushuru, nimembishia sana hakuishia hapo tu, akasema hata TV, Fridge,Radio zote utalipia ushuru, sasa najiuliza nini maana...
Ndugu wanaJF na wapenda maendeleo, jana (April 25, 2011) nilikuwa Kimanzichana (Wilaya ya Mukuranga) na nilipanda Hiace moja inayoitwa BABYLON T 932 BHE (mali ya Othman M Hassan PO Box 273...
Wakati wa uteuzi wa mgombea kiti cha uspika ndani ya CCM mbiu ilikuwa ni wakati mwafaka kwa mwanamke kushika moja ya mihimili ya dola,ndipo tuliposhuhudia Ndugu Samwel Sita akienguliwa...
SIMANZI imetawala kwa wazazi na uongozi wa Shule ya Awali iitwayo Nia baada ya kupoteza watoto wanne kufa papohapo baada ya kuangukiwa na ukuta wakati wakiwa michezoni
Shule hiyo ya awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.