Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jk ateua katibu mkuu na manaibu huku akimwaga rasmi Tido Mhando kwa kumchagua mkurugenzi mwingine.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
huu mfuko wa NSSF kwa kweli umegeuka na kuwa kero sana,system zao ni mbovu na utendaji wao ni mbovu kwa ujumla..unakwenda kujisajili kwa ajili ya kukatwa makato ya mafao ya kiinua mgongo wakati wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ughali wa maisha unaochangiwa na upandaji wa bei ya mafuta umeepelekea wananchi wa kenya na uganda kuandamana kushinikiza kupunguzwa kwa bei ya mafuta na vyakula. serikali ya kenya imekubali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo gazeti la MwanaHalisi ni moto wa kuotea mbali!!!! Duh.. Mkapa....!
0 Reactions
53 Replies
12K Views
MKAZI wa kitongoji cha Sumbawanga ya Asili katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani hapa Moses Kayange (37) amefariki dunia baada ya kunywa paketi 25 za pombe kali aina ya 'Double punch' baada ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WATUMISHI 181 wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), wameajiriwa kinyume cha taratibu za ajira. Ajira hizo zisizofuata taratibu ndani ya shirika hilo, zimebaInika wakati wa ukaguzi wa Mdhibiti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nimefatilia kwa umakini zaidi,kwamba vijana walitoa mapendekezo yao ya hela ya special faculty mbele ya waziri mkuu ambayo yalikuwa ni laki tatu na nusu,baada ya hapo waziri mkuu akawambia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
na Mwandishi wetu MFANYABIASHARA anayedaiwa kuwa ni kinara wa biashara ya dawa za kulevya nchini, amenaswa na shehena ya dawa za kulevya aina ya Heroine na Cocaine. Mfanyabiashara huyo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hello Member! Please find the LOLIONDO TECHNICAL REPORT ATTACHED TO THIS
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mjadala kuhusu muungano unaendelea bbc,kuna wachangiaji kadhaa akiwemo jiongozi wa G 15
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je ni nini athari za kuwa mwanachama wa freemason?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Rachel Balama, Dar na Mwajuma Juma, Zanzibar RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 3,060 katika kuadhimisha miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, mwaka huu, lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By CARL ZIMMER The Eastern Arc Mountains of Tanzania may not be terribly tall — only half the height of their famous neighbor, Mount Kilimanjaro. But to scientists who tally the planet’s...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya tena jamani hatimae jipu limepasuka,baada ya Mzee wa ukweli na uwazi kupigwa chini sasa Clementi Mshana aula Ukurugenzi TBC SOURSE CLOUDS FM JAHAZI
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa taarifa zinavyoripoti kwenye gazeti la Mwananchi, inaelekea baada ya mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kutaka ripoti ya matumizi ya kiasi fulani cha fedha toka TANESCO na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huko India kuna nini? Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma huko mbona wanakutana na mikasa mingi ya kutisha? Kuna waliokufa katika mazingira ya kutatanisha, waliokamatwa kwa madawa ya kulevya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
IGP Mwema atema cheche Makamanda wa wilaya zote kufundwa Serikali za mitaa wakae `mkao wa kula` DC ajitosa kuendesha ibada ya mazishi...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
WE ARE AN ESTABLISHED MODEL AGENT IN AFRICA,WE ARE LOOKING FOR PHOTO-MODELS FROM TANZANIA TO BE USED ON OUR CLIENTS ADVERTSMENT PRODUCTS.SIO LAZIMA UWE NA UZOEFU WA KUA MODEL,YOYOTE YULE(WAKE KWA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hebu yeyote aangalie hawa vijana! Hoja zao ni nyepesinyepes tu hata Marin anawauliza swali wanajibu kijuu juu tu!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu nikakutana hayo, tizama picha
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom