Sasa tunajadili ni namna gani au ni wakati gani Mrembo anaweza kuvuliwa taji la Miss Tanzania. kuna warembo ambao wameisha fanya matendo ambayo hayapendezi na bado hawakuchukuliwa hatua yoyote...
Ni takribani miezi mitano sasa TANESCO ROMBO office hawaunganishii wateja wapya umeme. Wamekuwa na visingizio mara hamna nguzo, mara hamna nyaya, mara mita n.k. na wanasema kuwa hawapati vifaa...
wadau wa jf kwa wale wanaujua, air condition katika gari ni vipi inakuwa inaongeza ulaji wa mafuta? ni kweli? na inaongeza ulaji kwa kiasi gani maana ya tofauti? na kunanamna inawezakana kutumia...
Katika hali nisioiamini machoni pangu asubuhi hii,mwanajeshi wa jwtz aliyekuwa akiongoza magari kuingia kwenye pantoni amezua hofu baada ya kumtandika vibao na kumkwinda mwanamama ambaye ni sawa...
Wanajf kuna jambo linanikera sana. Ukienda na gari ndogo muda wowote kuanzia saa kumi na moja alfajiri hadi saa 6 usiku pale stendi ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo, utalipishwa gharama ya...
Serengeti, Tanzania
April 26, 2011 at 2:42 PM | by Jennifer Kestier
If you've always wanted to go on an African safari, but aren't really that into roughing it, the Bilila Lodge Kempinski in...
Najiuliza serikali ina ajenda gani na babu wa Loliondo, ifike wakati apewe Ulinzi na kutumia magari ya serikali?
Wataalamu wangapi na wakuu wa idara nyeti za nchi hii hawapewi hudma na unyeti...
Wana jf, nilikua nyumbani kwa siku 5 zilizopita kwa pasaka. Nilijumuika na ndugu na rafiki zangu kuanzia Jumamosi hadi jumatatu. Haya ndio nilioyaona.Jamaa zangu wa karibu ni ma dealers wa madini...
Jamani kuuliza si ujinga. Huko Uingereza kuna kijiji kinaitwa Llanfairpwllgwyngyllgogerychwyrndrobwllllantysiliogogogoch, ni jina refu kuliko jina la kijiji au mji wowote nchini humo. Kijiji hiki...
Na Rachel Mrisho
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Goodlack Mwangomango, amekihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga...
NA DUNSTAN SHEKIDELE, MOROGORO
WATU wapatao 82 raia wa Somalia wamekamatwa jana mchana kwenye msitu wa moja ya vijiji vya Wilaya ya Gairo mkoani hapa wakiwa safarini kuelekea jijini Dar es salaam...
Umati wa watu umesema utaombolez kifo cha mtoto wa babu kwa matanga mpaka atakaporudi ijumaa kutoka babati alikofiwa na mwane miaka 43
wakiongea kwa uchungu wamesema wanasikitika sana kuona msiba...
Wanafunzi wa mwaka wa tatu wa kozi ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii kutoka Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima nchini (TEWW) ya jijini Dar es Salaam, jana waliandamana hadi katika Ofisi...
Wakuu kuna mambo ambayo yanafanyika kwenye njia kuu ziendazo mikoani ambayo hayatakiwi kufumbiwa macho.
Abiria wa mabasi wanapoingia kwenye vituo vya kula chakula wengi wao wanachukua vyakula...
wana forum naendelea na utafiti wa kutaka kujua kwa nini bara la africa haliendelei, nikachek history nikakutana na ishu kua wazungu au european countries walikua na sheria ambazo zilikua zinazuia...
Tumekwisha pata mkurugenzi mwingine TBC (The recycled Mshana) anayembadili Tido kwenye chombo hicho cha habari za elektroniki (TV na Redio)
Cha kushangaza ni kwa upande wa magazeti ya Umma...
Akihojiwa na ch.10 jana usiku dr.slaa aliulizwa na kujibu kwa ufasaha mambo mengi sana mpaka mwongozaji(makwaiya) akamsifia sana na kumuuliza iwapo yeye(dr.slaa) anafanya sana utafiti kwa jinsi...
Ndugu wana JF, Kipindi cha Jahazi hivi karibuni tangu uchaguzi uanze kimekuwa kisiasa sana maana hakuna maada, hakuna wadau kupiga simu, hawana maada za maana kama radio zingine kama Radio One...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.