Wafanyakazi wa kampuni moja ya kupakua mizigo bandarin, ambayo ni wakala wa ticks, wameachishwa kazi leo na kuambulia kiinua mgongo cha sh. Elfu 40, wamefanya kazi kwa miaka zaidi ya 2 kama...
Pamoja ya kuwa kagame anashutumiwa kuwa ni miongon mwa mwanzilishi wa machafuko na umwagaji wa damu '94, lakin huyu jamaa ni kiboko. Kutoka nchi iliyoharibiwa na vita mpaka kuwa nchi inayokuwa kwa...
Wakubwa JF
Nafikiri wote mnamfahamu yule Msomali wa Rostam Aziz aliyekataliwa na Kikwete asigombee ubunge wa Nzega, Hussein Bashe. Hivi sasa kapewa u- CEO wa kampuni ya magazeti ya Propaganda za...
Askofu Ruwaichi alilia na haki
Kwa upande wake, Ruwaichi ambaye ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, alisisitiza umuhimu wa Serikali na dola kutoa haki kwa umma akisema: Siyo lazima...
MSAKO mkali wa wahusika wa mauaji ya askari Polisi yaliyotokea katikati ya wiki katika Kijiji cha Mwakashanhala, Kata ya Puge wilayani Nzega, yamewalazimu wanaume wakazi wa kijiji hicho kuyahama...
Japo ni vigumu lakini yatupasa tujifunze ustaarabu mpya, labda huo unaweza ukatusaidia.
Kama CCM imejaribu kufanya jambo ambalo linalenga kuleta muafaka wa kijamii, kwa nini isipongeze kwa hatua...
Mauaji ya South Beach yazua utata
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 20 April 2011
MAZINGIRA yanatengenezwa kwa watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam , Lillah...
Zamani kidogo wakati nakua sikupata kukumbuka kama kuna watu walikuwepo wanaitwa omba omba.
Ghafla miaka ya mwishoni na tisini na kuna ongezeko kubwa sana la ombaomba mijini,na kwenye majiji...
Haya kwa wale maqshabiki wa dini kwenye siasa sikilizeni huyu naye anavyomanipulate mambo. Yaani tu kwa sababu kanisa lake limepinga namna utawala wake unavyoendesha mambo tayari ameshawapachika...
Wana JF,kama tunavyofahamu mitaa,barabara,majengo,shule n.k. hasa za serikali zimepewa au kubadilishwa na kupewa majina ya viongozi au watu maarufu.Hii iliibuka zaidi kuanzia miaka ya katikati ya...
Habari wana jf? Natumaini 2po fresh.
Kulingana na heading iliyopo juu, ningependa kufahamu ni jina lipi kati ya haya ya vyama vya siasa linaendana na wakati tuliopo, nikianza na (ccm) chama cha...
Kijana Najab ambaye leo hii usiku wa saa mbili alikuwa afunge ndoa na mchumba wake wa takriban miezi minne hivi amefanyiwa ukatili wa hali ya juu kwa ndoa hiyo kuvunjwa.
Kijana Najab ambaye...
ASEMA HATA BINAFSISHA TENA TRL, BANDARI
Patricia Kimelemeta RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi kupitia bajeti ya Serikali katika mwaka wa fedha, 2011/2012.
Rais...
Waslam huamini siku ya Ijumaa ni siku takatifu na ni siku ya kumwabudu Mungu.
Na wako kwenye mchakato wa kuomba iwe siku ya mapumziko kama wakristu ambazo kwao Jpili ni siku ya mapumziko...
Kuna tangazo la Hakielimu ambalo mwalimu anafundisha somo la computer kwenye shule ambayo jengo lake linakaribia kuangua, wanafunzi wanaona mchoro wanaulizana ile sijui nini iko kama video...
Siku moja tu baada ya ziara ya senator Mcain Libya, Marekani deploys deadly unmanned pradator drones /Lengo?-kutungua zana za Gaddafi kwa shabaha zaidi,Modern warfare baala tupu.
Wana Jf Naipenda sana Tanzania lakini bado nashangazwa na mipango na mambo yanayoendelea ktk nchi yetu.
Nashangaa hivi Tanzania tumetowa wapi hii sera mbovu ya ubinafsishaji na uuzaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.