Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kama kuna jambo linanichukiza Wanajamii kutumia matusi, udini au ukabila kwenye mijadala mbali mbali humu mtandaoni. Hivyo hatuwezi kujadiliana kwa njia za kistaarabu na hoja zetu zikawa...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
kuanzia asubuhi hii chuo cha sayansi ya mawasiliano(INFORMATICS)katika chuo kikuu cha Dodoma wameanza mgomo endelevu,wakigomea kitendo cha kutolipwa fedha za vitivo(special faculty requirements...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Leaders and riches: The Nyerere legacy By Joseph Mihangwa 11th January 2011 Mwalimu Julius Kambarage Nyerere There was a time, following the fall of President Kwame Nkrumah in Ghana in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muccobs ni chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara ni branch ya Sua, kilipata kuwa university mwaka 2004, ningependa kusema kwamba tangu kipewe hadhi ya kuwa chuo kikuu kishiriki hamna...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu wana JF, Najua wengi sasa mpo na pilika pilika za Easter, Nina shauku kubwa sana ya kutembelea Bar maarufu mjini DSM wakati wa sikukuu hii ya pasaka. Bar inaitwa - MWANAMBOKA, nasikia...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Shukrani ni desturi ya binadamu baada ya kutendewa jambo jema. Mwaka 2005 tulishuhudia JK akipita sehemu mbalimbali za nchi yetu Tanganyika akiwashukuru wananchi kwa kumchagua kuwa rais wao; Pia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika harakati za kujisafisha ili kuleta mvuto kwa wananchi, baadhi ya vigogo katika Chama Cha Mapinduzi wamepewa siku 90 kujiengua. Swali ninalojiuliza ni kwamba wameambiwa waondoke katika chama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu hawa jamaa wawili hawaonekani kuguswa na uvuaji gamba wa ccm. Unadhani watasalimika na mchakato huu wa kujichuna gamba?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
By Karl Lyimo, 17th April 2011 @ 12:00, Total Comments: 2, Hits: 340 THIS is a plea from the heart, asking the President Jakaya Kikwete Govt. to spare the money and the crows... Well, let me...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Sijui ni uoga wa viongozi? au kujifanya hamuoni? kuna ubaguzi mkubwa wa watu wenye asili ya bara au Tanganyika huko visiwani, hawana pa kwenda kulalamika, na chuki iko juu kwao, tufanyeje?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana JF ukiuliza nini maana ya demokrasia walio wengi watajibu kuwa ni uamuzi wa walio wengi kwa kuwazidi wale wenzao ambao ni wachache. kimanti sio sahihi maamuzi kama hayo kuwa ni sawa kwani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
na Grace Macha MGOGORO wa kugombea mali za Halmashauri ya Moshi zinazodaiwa kumilikiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana ulichukua sura mpya baada ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bernadette...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hizi messages zao zinanikera sana: wastahili sifa! Tulijaribu kuwasiliana na wewe na hukujibu! Muda ni sasa: Tuma jina lako kwenda 15544 na waweza shinda leo tsh 3m taslimu na vodacom...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau muelewe kuwa Moshi sio Dar, kwamba utatupa taka ovyo tu. Ukiwa Moshi beba taka yako hadi uone sehem ya taka, la sivyo andaa elf 50. Almanusura initoke baada ya kunywa maji hapo stand na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), wamegoma kuingia madarasani na kuandamana hadi Ofisi ya Waziri Mkuu mjini hapa, kupeleka malalamiko yao likiwamo la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF, Niwataarifu tu kuwa sitakuwa hewani hapa jamvini kwa muda wa siku chache. Hii ni kutokana na hizi sikukuu tatu za pasaka tunakuwa busy sana jamani. Nitarudi jumatatu kama...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mpenzi wa Mitandao jamii na mtumiaji wa Dhati kabisa hapa Tanzania nimejiunga karibu mitandao yote ya jamii kwa kipindi cha miaka 7 iliyopita pia ni mwanachama wa mitandao mingine jamii ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana "JF",mambo vp popote mlipo TZ.Mi ni mpenzi sana wa Filam za Kibongo.Kati ya wasanii ambao,nilikuwa navutiwa nao ki usanii ni pamoja na "ANTI EZEKIELI". Kama kawaida ya wabongo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna tetesi hapa TEMEKE kwamba TAMBWE HIZA tayari ameikacha CCM na kurudi tena katika chama cha cuf na kupokelewa na TAWI la hapa leo mchana wenye taarifa zaidi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
………….CCM imejivua gamba………… Hii ndio kauli inayoendelea kutikisa vichwa vya habari nchini Tanzania kwa sasa kufuatia kikao cha Dodoma kilichokuja na safu mpya ya uongozi ndani ya CCM, ajabu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom