Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
sikuwezi@@ dada wa kulia anapendeza kuwa bodigadi wa museven wish!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habari, Hii ni thread ya kudedesa tuu kuhusu maneno mapya ya ufisadi. Nimejaribu ku-research lakini watu wengi wamekuwa hawajui lakini wengi walisema Dr. Slaa ndio wa kwanza kulisema hapa nchini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nimekua nikifuatilia hili suala la IDPs (wakimbizi wa ndani ya nchi) nchini Kenya waliokimbia makazi yao mara baada ya machafuko ya uchaguzi wa 2007. Sasa kasheshe ni kwamba hawa jamaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sisi huku tumechokaaaa na story tunazopigiwa na wenzetu wanaotoka Dar es Salaam na Magazeti Yote ambayo yanaandaliwa Dar na kufika huku mikoani. Mara tuambiwa kuna kitu kinaitwa LEO TENA, Mara...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kivuko cha fery huwa kina beba waenda kwa miguu, baisikeli, magari na kadhalika.chakushangaza ni kwamba unakuta watu wamejazana pamoja na magari na wakati huohuo waendao kwa magari walio wengi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I believe this will be of interest to JF members: Well done Oprah and British Airways TWO TRUE STORIES ABOUT RACISM 1) I'm sure many of you watched the recent taping of...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndg, wana JF; poleni na majukumu ya kuelimisha jamii yetu ya Tanzania; Katika pitapita yangu ndani ya ulimwengu wa tovuti mbalimbali nilikutana na mwanablogu mmoja anajiita BC kutoka blogu ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadanganyika, niko mjini katikati tangu saa 12 jioni hadi sasa saa moja dakika kumi. Barabara zote ziko tight foleni haisogei. Walio kwenye foleni tupeane updates Nilitokea mjini katikati maeneo...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
ZAIDI ya wagonjwa na ndugu 3,000 watalazimika kusherehekea Mateso, Kufa na Kufufuka kwa Yesu Kristo (PASAKA) na Mchungaji Ambilikile Masapila, wakisubiri kupata kikombe atakapoanza huduma Jumanne...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Polisi yamnasa 'kigogo' wa dawa za kulevya Send to a friend Thursday, 21 April 2011 08:55 Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Tanzania jana lilimtia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JF! hii bodi ya mikopo hivi kweli bado tunaihitaji? Faida zake ni zipi? Halafu hii tume iliyoundwa maoni inayakusanyia wapi? Mbona wasomi tunapigika? Wana jamvi naomba tuwashauri hawa bodi au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna upuuzi nisiyo taka ni polisi kutangaza unafiki mbele ya watanzania kuna swala linaniumiza sana kuna huyu bana anajiita nzowa ametangaza kukamata muiran lakaini ukweli halisi anajua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Najaribu kufikiri itakuwaje watu wa dini ingine wakianza kuhoji uhalali wa serikali kumpa msaada mchungaji wa mstaafu wa KKKT katika kuendesha huduma yake. Mara kwa mara waislamu wamelalamika...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wana jf ninatafuta mbao madirisha na nimepata za mti wa mloliondo na kanfa. Je ni zipi bora. Ninaomba msaada jamani. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni baada ya mtoto kugongwa na gari wananchi wanabeba mawe, magogo na miti wakitaka wawekewe matuta. Wananchi ni wengi na wanasema wako tayari kufa. Source: redio one/itv breaking news.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi motorcade za marais wa Africa inaonyesha muda si mrefu ambulance itakuwa ni Compulsory. Imesemwa semwa weeeee ya Mkuu wetu, naona sasa na kwingine ni habari kama hizo! Mugabe spotted at...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wapendwa kumekuwa na imani tofauti juu ya huyu babu yetu wa loliondo na baya zaidi watu wameanza kutumia majuukwaa ya kanisa kulalamikia safari hizi niaminivyo mimi huyu babu ajaanzisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyo jaama avai hata kidogo ndio watu hawa wanatakiwa kufukuzwa kazi.... anajikanyanga kanyaga kwenye majibu huko TBC aibu ?? COMMENTS please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Magazeti mengi ya leo yameripoti kuwa wale wafanyakazi wa hoteli ya South Beach wanaotuhumiwa kumchoma moto na hatimaye kumsababishia kifo mkazi wa Kigamboni Bw.Lilah Hussein wako nje kwa dhamana...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Juzi tarehe 18th April 2011 majira ya saa moja na robo asubuhi babu Mchungaji Ambilikile Mwasapila amewatahadhari wale wote wanaombeza na kumchukia wakiwemo Mchungaji Kakobe na Madaktari nchini na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom