Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwanza napenda kumshukuru yule mwanasheria aliemwaga live mbele ya waumini wa wawekezaji kwamba mawaziri ndio wanachangia sana kutofanikiwa kwa yale wanayoyaeleza...katika kuhamasisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika kile kinachoonekana kama laana ya kuchakachua kura moja mbunge wa Shinyanga mjini CCM Steven Masele hafurahii uheshimiwa wake katika jimbo lake, huku wananchi wakionekana kumdharau Masele...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Na Mwandishi Wetu; Tarehe: 14th March 2011 RAIS wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Pasaka litakalofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka, Aprili 24 mwaka huu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani nimekuwa nikimsikiliza Mkuu wa Kaya miaka kadhaa iliyopita pamoja na wasaidizi wake wakijitapa kuwa wamewatafutia wafanyabiashara wadogo suluhisho la kazi zao kwa kuwajengea Machinga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ALIECHOMWA MOTO SOUTH BEACH AFARIKI DUNIA by Othman Michuzi on Sunday, April 17, 2011 at 11:11am Marehemu Lilah siku za mwisho za uhai wake akiwa hospitali. Lilah, yule mwananchi...
0 Reactions
155 Replies
16K Views
Mkurugenzi wa Hoteli ya Kitalii ya South Beach ya jijini Dar es Salaam, Salim Nathoo maarufu kwa jina la Chipata (53), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na kesi ya mauaji ya kumchoma moto kijana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
KWANZA NAKUPONGEZA KAMANDA WANGU KWA KUCHAGULIWA KUTUWAKILISHA JUMUIA YA MADOLA NATUMAINI UNGENGE WEKO UMESAIIDIA KUFIKA HAPO ULIPO... ANYWAY HILI NI KWA UPANDE WA CCM HIVI MBONA VYEO VYOTE...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tamko Rasmi kuhusu “mgogoro wa ardhi” wa Mivumoni, Kata ya Madale, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam MWANA HAKI Mnamo Aprili 5, 2011, tukio la kustaajabisha na kusikitisha lilitokea...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
hana point ya maana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika Miongozo yake Mwl Nyerere alisema "....THE CCM PRESIDENTIAL CANDIDATE (AND VICE PRESIDENTS) NEEDS TO BE A PERSON OF COMPLETE HONESTY AND INTERGRITY, CAPABLE, STRONG, FIRM, AND WITH CLEAR...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hivi mgao wa umeme umeisha au unaendelea..? Manake hapo siku za nyuma kulikuwa hakuna mgao. lakini sasa naona hali inazid kuwa mbaya na unakatwa bila mpangilio ili hali mvua zinaendelea kunyesha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau ktk taarifa ya habari ya ITV ya usiku huu nimemuona Batilda Buriani akiwa pemben mwa Hawa Gasia katika mkutano wa uwekezaji,najiuliza kahudhuria kama nini?
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Binafsi mimi ni mwana sisiem, lakini kinacho nikera ni viongozi wetu wapya kujinadi kana kwamba wako kwenye kampeini za uchaguzi mkuu. Mimi ningewapa big - up kama wangelirudi ofisi na kuanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naombeni kujua uraia wa huyu mama hivi yeye ni Mtanzania wa kutoka Zanzibar au ni Mtanzania wa Tanganyika? Nauliza kwa sababu juzi kwenye vikao vya CCM ameonekana kuingia kwenye CC ya CCM...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Zabuni ya kuingiza nchini majenereta ya kukodisha kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura wa megawati 260 na kumaliza mgawo, imeiva na inatarajiwa kufunguliwa wakati wowote, kuanzia leo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya Mungu kuteremsha nyoka wenye sumu kali wa aina mbalimbali(Ukimwi,kansa,vidonda vya tumbo,BP nk) ili kuwaadabisha wana wa Israeli wana wa Israeli walimlilia Musa (Babu wa loliondo)...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Baab wa L amekuwa akivutia watu wengi sana, na wewe inaweza ukawa ni mmoja wa watu waliopiga dawa ya baab wa L, na kwa sasa hivi ukitokea na kupinga dawa ya baab wa l , watu watakushambulia kama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naona wakati wa mvua magari yanakuwa na msongamano mkubwa sana Je Kunauhusiano gani wa mvua na foleni?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Andrew Ryan mwenye umri wa miaka 32 aliiba msahafu toka kwenye maktaba ya mji wa Cumbria na kisha kwenda katikati ya mji na kuuchoma moto msahafu huo kwenye eneo ambalo kulikuwa na maduka mengi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mkaguzi na mthibiti mkuu wa mahesabu ya serikali amezidi kutufumbua macho wizi na utapeli wa ruzuku za vyama vya upinzani kwa kutumia kodi za watanzania..wakati utouh akilalamiikia wizi na utapeli...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom