Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
CCM wametangaza kujivua gamba...lakini nyoka mnyama ambaye ndiye haswa mwenye sifa ya kujivua gamba hufanya hivyo kila baada ya muda fulani kwani gamba hilo hukomaa tena. Je CCM wameweka utaratibu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. CCM: Chama Cha Magamba 2. 3. ...........
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Kumbe Mswaada ulio rudishwa kwa wananchi,baada ya kupingwa na idadi ya watu na wabunge, ambao ulijaa pumba jana niliona waziri Hawa Ghasia na naibu waziri wa sheria na katiba wakiunadi/kuutetea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Community policing Fro In 1967, state-of-the-art policing was exemplified by a fast response to radio calls in this Portland Police "black-and-white" and a crowd drawn by the siren and flashing...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
mbunge wa ARUSHA mjini Godbless Lema akiwa ameambana na katibu wa mkoa wa Kinondoni Bwana Kilewo, leo wamewasha moto Nzega na kuufanya mji wote kuwa na mayowe ya furaha huku sauti ziki sikika...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Tuchukueni likizo na watoto tusiwapeleke shule Labda serikali itafungua macho na kufanya kitu maana hii ni kali hapo watakapoona wanafungia barabara gari moja au mbili Na inazidi kuwa mbaya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
je, safari hii serikai itapata ubavu wa kuwatimua hawa vigogo na kuwafikisha mahakamani watakaobainika kufanya ufisadi? au ndio mwendelezo wa kuvuana magamba? hebu someni habari hii Waliohojiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wateja wa voda mtakubaliana nami kuwa kuna wimbi la sms kutoka kwa hawa service provider wetu,sms hizi ni za kihuni na zinaleta usumbufu mno,unaweza ukahairisha kwenda chooni ukakimbilia mlio...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kanisa Anglikana laiasa Kamati Kuu ya CCM Imeandikwa na Fadhili Abdallah, Kigoma; Tarehe: 18th April 2011 @ 22:40 Imesomwa na watu: 80; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sezibera kumrithi Mwapachu EAC Imeandikwa na James Gashumba wa EANA; Tarehe: 18th April 2011 @ 23:50 Imesomwa na watu: 172; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana nikiwa naangalia taharifa ya habari ITV, Nilimuona spika bwana. Mwangomango akijinadi kujiunga na ccm. Kilichonifanya niandike ni sababu anayoisimamia ya uvuaji gamba<sikufikiria kama mtu...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
nimesikia kidogo nilikuwa nafika tarifa ndo wanamalizia kuelezea ila inasemekana alikuwa na shutuma na mambo ya ruzuku aliyesikia vizuri atujuze?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Last Supper was a day earlier, scientist claims - Yahoo! News read that link and you will be amazed!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania kuna mameya wengi sana. Hata Miji mikubwa ya Dar, Arusha, Mwanza na kwingineko kuna mameya, lakini wote wanafanya kazi zao. Kijana Jerry Slaa amekuwa mstari wa mbele kuuza sura kwenye ma...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huyu jamaa wa Somalia ninvyojua hakubaliki sana nchini kwake na ni kama Rais kivuli. Mbona JK kampa heshima sana kwa mapokezi ya kitaifa ....nk
0 Reactions
23 Replies
4K Views
nipo nzega kikazi,baada ya kumaliza shughuli zangu jioni hii nimepita hapa uwanja wa parking ambapo dr slaa amekua akihutubia mkutano Umati wa watu ulikua mkubwa sana kuwahi kutokea hivi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF baada ya ile kauli ya katibu wa vijana wa CCM taifa wakiwa pale manzese yakuwa meya aliyechaguliwa ARUSHA ataendelea kuwa meya wa jiji hilo hata kama CHADEMA wakitoa lisaa limoja...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nimesikia kwenye redio sasa hivi kuwa kuna kikombe kimeibuka mbagala, mwaka huu kuna watakaofikiri kuwa ni neema, na kuna watakaozani ni kulichafua taifaletu kwani watu watakuwa wanasema unatoka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mtendaji iringa kajiua, inadaiwa kuwa inadaiwa kuwa alikuwamo kwenye kundi wanaozaniwa wamechangia kwenye upotevu wa pesa za ruzuku. source TBC TAIFA tarifa ya saa mbili usiku huu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom