KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mbuzi mmoja wilayani hapa amezaa kiumbe cha ajabu chenye sura ya binadamu.
Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi usiku katika Kijiji cha Isongole, wakati...
MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewaomba wagonjwa na watu wengine wanaokwenda kupata huduma yake kuacha kumshangilia kila...
Sunday, 17 April 2011 20:32 (source mwananchi, usiulize kwa nini Sunday badala ya Jumapili)
James Magai
JAMHURI imegoma kujibu hoja za rufaa za muomba rufaa, Danford Anthorny katika kesi ya...
Wakati nikiwa Tunduru nilipata simulizi mbalimbali kuhusiana na wilaya hiyo jinsi ilivyo tajiri wa ardhi yenye rutuba ya kutosha pamoja na maji mengi ya kutosha kulinganisha na wilaya nyingine...
Nimefuatilia bunge leo mwanzo hadi mwisho kwa mara ya kwanza. Baada ya kulazimisha kibabe kupitisha muswada wa serikali, mwishoni ndio anamvika kilemba cha ukoka Mh.Tundu Lissu.
Katika zoezi la...
In 1971 and 1972 Iddi Amini conducted a nationalisation of the commercial assets of uganda's mostly ASIAN merchants and entepreneurs.This was followed by ASIAN exodus from Uganda to Tanzania...
At age 4 success is not peeing in your pants.
At age 12 success is having friends.
At age 16 success is having a drivers license.
At age 20 success is having sex.
At age 35 success is...
Je unaishi ughaibuni? je wahitaji kutizama ITV kwenye pc yako katika kiwango cha hali ya juu? kama jibu ni ndiyo basi usikose kutembelea hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema, Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambikile Mwaisapile, anachemsha kilo tatu za mizizi katika lita 60 za maji ili...
Babu Loliondo abanwa
SERIKALI imesema kuwa Mchungaji Ambilikile Mwasapila wa Kijiji cha Samunge pamoja na watu wengi waliojitokeza kudai wanatibu magonjwa sugu kwa kuoteshwa na Mungu...
Nimepata taarifa za kuaminika kwamba kuna wahindi wengi wanaingizwa nchini kutoka India kutumika kama watumwa. Wahindi hawa wanarundikwa kwenye majengo (kama mazao yaliotoka shamba) kabla ya...
Tigo wanapiga sana kelele kuhusu huduma yao mpya ya data, msiingie mkenge hawa jamaa bado hawajajipanga, coverage ni ndogo sana, ukiwa maeneo karibu na city center hamna shida, lakini ukishatoka...
Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tabora mjini wako katika maandalizi ya mkutano wa hadhara jirani na zilipo ofisi za ccm wilaya.Kuna tetesi kuwa mkutano huo lengo lake ni kujaribu kusafisha hali ya...
Nimesikitishwa sana na kisa hiki, ukizingatia marehemu kaacha mke na watoto wasio na msaada wowote.
Soma hapa: MICHUZI: aliyechomwa moto kwa kuzamia disco afariki dunia
RIP Marehemu.
Kituo cha televisheni cha Sibuka kinachorusha matangazo yake kupitia Startimes kitakuwa kinarusha live mechi zilizobakia za Barclays Premiere League, UEFA na Bundasliga!! Habari hizo za uhakika...
Wanawake wawili wamefariki dunia wakiwa katika nyumba mbili tofauti za kulala wageni jijini Dar es Salaam. katika tukio la kwanza maiti ya mwanamke mmoja anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.