Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Binti aacha shule akidai naye ameoteshwa Imeandikwa na Na Abby Nkungu, Singida; Tarehe: 15th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 54; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
As per announcements made yesterday and implemented today, all shops in Tanga city are to be kept shut until 12:00pm today!Any shop found open, a fine of Shs 50,000/= is to be paid. The owners...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ama kweli kufa kufaana! idadi ya magari yanayopeleka wagonjwa samunge yamesababisha kuongezeka kwa kodi zilizowafanya wakusanya kodi hizo kushawishika kuzichakachua! gazeti moja jana lilieleza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu uendapo kupanda daladala moro mjini kama unaelekea chamwino, SUA, mzinga na maeneo ya jirani na sehemu tajwa unakwenda kupanda daladala lazima ukutane na tope. huu msimu wa masika ni kero...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dar es salaam in 2060 Bukoba in 2060 Kibaha in 2060...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dada yangu Jenister, Nafurahishwa sana na jinsi unavyoongoza vikao vya Bunge pale unapokuwa mwenyekiti wa vikao husika... I wish ungekuwa.... Naomba ujiendeleze zaidi... nyota yako inang'aa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jana niliongea na wanafunzi wachache wageni ambao wanatoka nje ya tanzania. niliongea kwanza na wanafunzi wa msc. badae nikaongea na wanafunzi wa bsc. wanafunzi wa msc walisema wao wanatamani sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana jamvi naombeni msaada, ni namna naweza kuwapata itv, eatv na capital tv's. Nasikia wamebadilisha masafa yao katika satellite. Mnisaidie niwapate.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani mwenzenu toka nihitimu chuo sijapata kazi. Ila nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali. Nataka kuendesha mradi wa internet cafe' ambapo ninahitaji kuwa na mil 3, nimeandika mchanganuo wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
kila siku najiuliza kwa nini wasichana wengi wanapenda wanaume wenye pesa hata kama wao wenyewe wana uwezo wa kupata pesa.Kwa nini wasijiamini nao kama wanaume na kufikiria kuwa pesa siyo jambo la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Akiwa anajibu maswali Bungeni W/Mkuu amepinga kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara si masikini kama wengi wajuavyo bali kwa Takwimu zilizopo mikoa masikini kabisa ni 1.Singda 2.Dodoma 3.Kagera...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanzoni mwa miaka ya 90 kati ya mambo ambayo yalisababisha wafadhili mbalimbali wanaosaidia bajeti ya serikali kusitisha misaada yao ni uzembe wa kutokukusanya kodi, lakini pia kukithiri kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa matangazo star times walisema wataanza kurusha matangazo tanga.Je wameshaanza kama ndio yana mvuto wowote au ndio wizi mtupu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana ndugu hii ni kashfa ya aibu na kweli Kwa waliosikia jana kipindi kimoja toka clouds kuna kijana mmoja aitwae Rasta ambae amekuwa akiwauzia karibia wala ganja na unga wote pale...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna tetemeko hapa Arusha limetokea saa 11: 49...tutahabarishana zaidi
2 Reactions
56 Replies
6K Views
Habari wana Jf, kuna jambo kidogo naombeni mawazo yenu, Mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja, mwaka jana serikali ilivyopandisha mishahara mwezi wa saba, taasisi yetu na yenyewe ikatupandishia (mimi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ni KAMA TBC IMECHUKUWA WAKEREKETWA NA KUWALETA STUDIO KUTETEA MUSWADA ULIOFELI. NA ITV IMELETA WATU MAKINI KUTOA HOJA MAKINI NA WANACHAMBUA KWA UNDANI KULIKO TBC KAZI YAO NI MADONGO KWÀ CDM...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge wa nchini Indonesia ambaye alijipatia umaarufu kwa kusimama kidete kushinikiza sheria kali zipitishwe kama vile kutupwa jela miaka 15 kwa kushiriki kwenye video za ngono, mbunge huyo...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
kuna watu ambao najiuliza wako wapi 1. mama terry
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sikuamini wala sinta kaa niamini,hivi kweli serikali hii itatusaidia katika gurudumu la maendeleo kama mdhibiti mkuu wa seria serikalini nae anadiriki kutetea kupindishwa kwa sheria?tena za bunge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom