Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Miaka takriban minne iliyopita Serikali ilianza mchakato wa ujenzi wa jengo la mahakama kuu mkoani shinyanga. Hata hivyo, ujenzi huo umesimama kwa muda mrefu sasa huku hakuna taarifa rasmi kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nasikitika kuona kale kakitufe ketu ka groan kimeletewa fitna mpaka kameondolewa,kwani kalikuwa kana kosa gani au madhara gani humu ndani?Mi naona kale kalikuwa kazuri na kanachohamasisha watu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi si mwandishi wa habari kwa taaluma lakini leo nataka niwashitue waandishiw wa Tz. sote tulimwona Jm akirusha habari zilizopelekea matrafiki kuonekana wakipokea rushwa, hatimaye Jm sasa hajui...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni kwa mujibu wa takwimu za kiulimwengu source: BBC Swahili - Habari - Vyuo Vikuu Afrika havitambuliwi
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kati ya barabara ambazo zimefanyiwa uchunguzi huo ni pamoja na barabara ya Mandela inayoendelea kukarabatiwa ambapo imegundulika kuwa barabara ya watembea kwa miguu maeneo ya Kituo cha Gereji kata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
This quite a challenge on us Africans Would any other First Lady have chanced it? First lady looking GOOD, she’s ready for some football !!!!!!!!! That's NFL Commissioner..,Roger Goodell and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo Anna Makinda (mh. Spika) ameniachaa hoi. Amesimama na kusema kwa mujibu wa kanuni, bunge lintakiwa kuchagua watu watatu watakaosaidia uendeshaji wa Bunge. Akasema vigezo ni kuzingatia jinsia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
we all love our coke.But it has an intreresting history behind it, read it while you can! THE HISTORY OF COCA COLA-WHAT YOU DID NOT KNOW!!!! Inventor Of Coca Cola As many people know...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Azimio la kikao cha NEC ya CCM kilichopita kuhusu viongozi na wanachama wa chama hicho wanao tuhumiwa kwa vitendo vya rushwa linasomeka ifuatavyo: "5(d). Chama cha mapinduzi na serikali zake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mvua zimenyesha, barabara zimefula na maji, vyoo vinatapishwa, tena katikati ya mji mkuu ambapo ikitokea dharura convoy ya Rais inabidi igeuzwe kuwa mitumbi ili kufika airport. Msimu wa mvua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Comrades, Please See the attached for details.... nawakilisha
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu mtangazaji anaboa sana kwa kutangaza kwa kujikomba. Utamsikia akisoma gazeti la Uhuru, nimeshika gazeti la chama, na mara nyingi linapewa umbele kusomwa. Wanasahau enzi za CHAMA NA SERIKALI...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Imeibuka hii tv, naipata chnl 6 ya star times. Naomba ajuaye ni ya nani anijuvye.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wanandugu wa utabiri hivi mh huyu bado anaendelea kutabri nakumbuka alisema kwenye tv amecha na kumwachia mwanae aendelee kutabiri..mmh hizi tabiri zinaanza kuntisha sasa!!!ndio yale watu wanakula...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwasapile akipokea zawadi ya simu iliyotolewa na Kampuni ya Simu ya Mikononi ya Airtel hivi karibuni mkoani humo,anayemkabidhi ni Meneja wa Biashara wa Airtel Mkoa wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
MUNGU AKULAZE MAHALI PEMA PEPON MZEE WETU;YAANI KTK MAWAZIR KAMA TUNGEOMBWA NA MUNGU TUKATE RUFAA YA KIFO NINGEMKATIA HUYU BRA..ALITUMIKA VILIVYO BWANA AMETOA BWANA AMETWA JINAA LA BWANA LIBARIKIWE
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekuwa msafiri wa ndege mara nyingi sana tangu mwaka juzi hizi sehemu ziko wazi leo nimeona niwaulize ndugu zangu je hii airport ina management ama ndio uongozi kama wakina makamba jamani...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
CAG ‘alalamika kupuuzwa’ na Serikali. Imeandikwa na Na Shadrack Sagati; Tarehe: 13th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 21; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JESHI la Polisi Mkoani Mara jana lililazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wananchi wa Bunda mkoani Mara ambao walikuwa wamechukua jeneza la mtu ambaye alidaiwa kufa kwenye...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Haya mambo sasa yamekuwa kama biashara na watu wanafanywa wajinga. Huko Mtwara nasikia kuna mzee mmoja aliyeoteshwa dawa ya kuponya ukimwi, na anasema yeye alikuwa muathirika. Baada ya kunywa hiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom