Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Polen sana mliofikwa Mungu awatie nguvu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers. * The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
This is shocking jana nimekuta bei ya mafuta ya taa ni TZS 1,750 yaani karibia kabisa na bei ya Petrol na Diesel (TZS 1950) kweli maisha bora kwa kila Mtanzania
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo vp wana JF,leo nimeona nije na topic inayotuhusu cc na jamii kw ujumla.utakuta mtu hana ugomvi na mtu lkn utamsikia akisema(jaman simpend flan)sasa hii huwa inatokana na nn? Ufafanuz pls!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Duniani kuna mengi na wala hayaishi, mwanamke mmoja wa nchini Marekani kwa miaka 21 anakula masponji yanayowekwa ndani ya sofa, ukimkaribisha kwako mpe kiti cha mbao, ukimweka kwenye kochi basi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Taarifa ya habari ya kuangalia ni ya ITV na sio TBC.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikuwa nafahamu kuwa Mtanzania akitaka kwenda China anaweza bila ya kuomba visa. Leo nimeiona habari hii Global Publishers kuwa kupata visa ya China imekuwa shida. Je, nilikuwa na habari ambazo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Angelina Mganga KESI ya kutishia kuua kwa maneno iliyofunguliwa na mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mfanyakazi wa ndani toka Ethiopia aliyekuwa akinyanyaswa sana na bosi mwarabu wa Dubai, amelipiza kisasi kwa kuzikata kwa kisu na kuzinyofoa sehemu za siri za bosi wake. Mwanamke raia wa Ethiopia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
From IPP media Standard Three pupils of Chinyarira Primary School in Nanyumbu District, Mtwara Region, while away the time outside their classroom, as captured by our correspondent...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
wanamuziki maarufu duniani wa muziki wa Pop, Shakira ambaye anajulikana sana kwa kunyonga kiuno chake, ameibiwa pete yake ya thamani wakati alipokuwa akiwasalimia kwa kuwapa mkono washabiki wake...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Mama Salma Kikwete azindua moja ya jengo la wodi ya wazazi wiliyani Nanyumbu, tazama picha hapa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baadhi yetu tulisoma na kuisikia ripoti ya Dr Mwakyembe kuwa kundi la Al-shabab toka Somalia likishirikiana na Wahalifu sugu wa hapa kwetu Tanzania, limekodiwa na baadhi ya wanasiasa kwa ajili ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jana nilisoma kigazeti kimoja cha udaku kwamba watu 100 wamefariki btn Machi na April 2011. Baada ya kutoka loliondo. Kusema ni jambo la kawaida, lakini takwimu hizo mbona hazitolewi kila mwezi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bandugu, Kwa yeyote anaemfahamu Mtanzania aliyeko Nairobi sasa (au anatarajia kuwa huko hivi karibuni) na atakuwa (au anaweza kuwa) huko at least for the next three months na ni graduate -au...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
NSSF to lose Sh50bn in risky investments Wednesday, 13 April 2011 23:39 digg The NCCF waterfront Builiding in Dar es Salaam, one of the fund's numerous real estate investiments in the city...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama ni message basi imefika,ze comedy wanamuigiza spika yuko gym akifanya mazoezi ya ngumi akijiàndaa kwa ugomvi ndani ya mjengo kama ikitokea kama alivyopendekeza jana mbunge mmoja CCM jana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo maskini liliopo kisiwani Mafia. Matatizo. HAKUNA BARABARA. SHULE MATOKEO MABOVU KIDATO CHA 4 UVUVU. WANANCHI WAHANGA NA MIRADI YA KIFISADI. BARA BARA...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Bunge kama mwakilishi wa wananchi, linapashwa kuendesha mambo yake kwa uwazi kabisa na kwa kutanguliza maslahi ya nchi kuliko ya vyama vya siasa. Mtu pekee ambaye yuko katika nafasi nzuri ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom