Wana JF naomba kujua kwa nini siku ya jumatano ambayo kuna magazeti ya Mwanahalisi na Raia Mwema huwa Star Tv hawasomo magazeti au wamekatazwa, yanasomwa kupitia redio tu, naomba mnisaidie mwenye...
WanaJF habari za muda huu?
Naombeni msaada kwa yeyote mwenye uzoefu wa mji wa Babati aweze kunishauri sehemu salama ya kupata malazi, ntakuwepo huko kuanzia kesho tarehe 14-17.
Naomba...
Kwa watanzania wenzangu popote pale duniani, wapenzi wa mziki wa Kongo ningependa kushare nanyi muziki huu murua kwa kubofya hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Kwa bahati nzuri juzi tu nilifungua redio 1 kakt kipindi chake cha udondozi wa magazeti.
Mmoja wa Watangazaji maarufu alinishtua kidogo aliposoma fidia ya mmiliki ya makampuni ya IPP kudaiwa fidia...
katika ukimbi wa bunge leo wagombania ubunge wa bunge la pan african wametakiwa wajinani kwa kutumia lugha ya kiengereza inaonekana wengi wa wabunge wa ccm walitokwa na kijasho
LOCAL artists and creative industry stakeholders are calling for the immediate amendment and endorsement of the Copyright and Neighbouring Rights Bill.
Speaking at the weekly 'Arts Forum' on...
Jamani mmesikia "vijiko vitatu" vya mzungu dar? Nimesikia kwenye magazeti ya leo kua amejitokeza mzungu anaetoa dawa ya kutibu ukimwi na saratani hapa dar. Naomba kama kuna ambae ameshapata vijiko...
na Jovither Kaijage, Ukerewe
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro, ameshangazwa na kushitushwa na jiwe la ajabu lililopo katika Kijiji cha Nyamanga katika Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe...
Ndugu wanajamvi nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa taarifa ya habari ktk chombo hiki cha habari kinachodaiwa kuwa cha umma kwa muda mrefu sasa,ila taarifa ya habari ya leo saa mbili usiku imeniacha...
Sijui kama kuna aliyelibaini hili,katika ving'amuzi vyote vinavyopatikana hapa nchini kwa sasa hivi TV Channels za Bwana Mengi i.e. ITV,EATV and Capital hazimo au hata kama zilikuwemo zimeondolewa...
Kuna kipindi maalum Channel ten hivi mkutano wa makamanda wa ngazi ya juu wa polisi wa mikoa wanakutana na waziri wa usalama na IGP
Ni mkutano mzuri na agenda zenye tija, kujadili ufanisi wa...
Wana JF,napenda kuwapa taarifa kuwa,usiku wa kuamkia jana majira ya saa nane ucku,wezi walivunja mlango wa nyumba yangu na kuiba vitu vyote vilivyokuwepo seating room,
nachoshukuru tu kuwa mke...
Drinking over recommended limit 'raises cancer risk'
Many people do not know that drinking alcohol can increase their cancer risk.
Drinking more than a pint of beer a day can substantially...
Hali ni mbya bungeni, kuna uchaguzi wa representatives wa pan africa, and lugha ndani ya bunge imebadilika, inasikitisha kua tuna wabunge wanaongea kiingereza kibovu kabisa..tena mfano mzuri ni...
Baadhi ya watu waliopata tiba ya kikombe Tabora, wana hali mbaya na wamelazwa hospitali ya mkoa, huku wale wa Loliondo wakitoa ushuhuda wa....
Source: JESUS IS LORD
Agnes Elias, one of the residents of Gongo la Mboto in Dar es Salaam rendered homeless by the recent bomb explosions, pictured outside her tent at Majohe yesterday showing the thin mattress she...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.