MZIKI WA GWARIDE LA CHADEMA NAPE ATAUWEZA ?
Ni matumaini yangu mabadiliko ya uongozi wa sekretarieti ya CHAMA CHA MAPINDUZI ni mwanzo wa siasa mpya zenye mwelekeo tofauti,na ule wa sekretalieti...
1)Threat of viruses!
Facebook is filled with thousands of daily users from around the globe and there is no surprise if you discover a number of viruses storming through most of the pages. There...
CCM washangilia kuondoka Makamba
*Wala na kunywa Dodoma kujipongeza
Mwandishi Wetu
WAFANYAKAZI wa CCM Makao Makuu Dodoma wamejipongeza kwa kula na kunywa kwa kile wanachosema ni kufurahia...
''Mungu alisema na mimi kuhusu gharama za dawa na akasema kila atakayekunywa dawa ni Sh500 tu ya tanzania na nilipomuuliza kuhusu wageni alisema dola moja''.Anaeleza mchungaj Mwasapila.
Lakini...
By In2EastAfrica - Tue Apr 12, 3:28 pm
East African Community
The East African passports, the regional travel documents valid only within the five EAC member states are being upgraded to...
Habari toka chanzo kinachoaminika zaonyesha kuwa ajali ya gari ya mafuta (Tanker) mali ya kampuni inayoaminika kumilikiwa na mtoto wa mkuu (Liz one) LAKE OIL kugongana na treni imefichwa ukweli...
Kwako Mkuu wa Jeshi la Magereza-Segerea,
Ninakupongeza kwa kuamua kutufungia njia ya tabata segerea kulekea bunyokwa, kisukuru B na baadhi ya vitongoji vyake bila kutoa hata notice. Nakupongeza...
A sixty- year -old man was on Saturday found lying unconscious in a toilet. Isa Mukasa who was visiting from Masindi District was living at a friends place in Kawaala, a Kampala suburb.
For...
Kwasasa watu wengi wanazungumia miaka 50 ya uhuru wa Nchi ya Tanzania.
Swali ninalojiuliza, hivi ni lini Tanzania ilizaliwa hata kufikisha miaka 50?
Au ndiyo mfululizo ule ule wa kudanganywa na...
Wakuu kuna taarifa kwamba mwamba umefunika watanzania wenzetu mgodi wa Bulyankulu-Kahama. Mtu mmoja confirmed dead.
Wenye contacts na Kahama watusaidie taarifa zaidi maana mtu alonijuza yupo...
uwezo wa CCM kufikiri umefikia kikomo na imepoteza hati miliki ya kuwaongoza watanzania, kwani Watanzania hawawezi kuongozwa na fikra mgando. Kitendo cha ccm kufikri kuwa matatizo yanaokizamisha...
Ndugu zangu!! hivi sasa nchi yetu imnusa harufu ya udini; ukristu na uislam.Kila mtu anaona dini yake ndo sahihi, na anaamini ndo itampeleka mbinguni. Naomba kuuliza je mababu zetu kabla ya kuja...
Mwanaume mmoja toka nchini India ambaye alijifanya yeye ni mkimbizi toka Tibet ili aweze kupata 'makaratasi' ya nchini Australia, amefikishwa mahakamani baada ya picha zake alizoziweka kwenye...
kulingana na kauli mbali mbali ambazo zimekuwa zikitolewa na viongozi mbali mbali wa CCM akiwemo mwenyekiti wa chama hicho rais Jakaya Kikwete, azma ya CCM ya kutaka kujivua ghamba lake la sasa...
Wanao ukana uraia wa Tanzania kwa sababu mbalimbali ukiwemo utawala mbovu, dhiki, maradhi na uchumi duni tuwaiteje watu hawa, je ni wasaliti au mashujaa?
Bibi mwenye umri wa miaka 75 wa nchini Georgia ametiwa mbaroni kwa kuzikosesha nchi za Armenia na Georgia internet baada ya kuzikata nyaya kuu zinazopeleka internet kwenye nchi hizo, alipoulizwa...
Niliwa nimetoka Bahari Beach kupata moja moto moja baridi nimeona kwa macho yangu gari ikipiga mweleka hapo Interchick Mbezi.
Hili limetokea kama dakika 40 zilizopita.
DAWASA wamechimba kando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.