JF,
Sijui ni ''Beat''(midundo) inachezeka ama wenzangu mnaelewa maaana ya hizi nyimbo,uswazi na sehemu zingine zinapendwa sana:
*''Prakatatumba........''
*''alachi alachi''
Sijui hata kama...
Hali zenu JF!
Nimeona niiweke hapa hii taarifa kwa nia nzuri.
Nmekua nkisafiri mara kwa mara kwa usafiri wa anga...muda mwingine hua mchana...asubuhi...jion/usiku...ukaguzi hua shwari pale...
Katika vitu vya msingi sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote duniani ni uwekezaji hilo halina mjadala,hawa hulindwa na sheria,kanuni na taratibu za nchi husika.Katika nchi za wenzetu mwekezaji...
Salaam wanaJF!
Katika siku za hivi karibuni tasnia ya elimu ya juu imekua ikikumbwa na majonzi ya mara kwa mara kutokana na kuondokewa na wahadhiri waandamizi na waliobobea katika fani zao...
Na Eliasa Ally, Iringa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Mpinduzi (CCM), Bw. John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Bw. Nape Nnauye wameponea chupuchupu kuangukia na
jukwaa walilokuwa...
Waheshimiwa wachangiaji!
Salaam;
Mnakumbuka mwaka 2005 mlivyojitokeza kwa wingi usio mfano kunshangilia na kumpamba Jakaya Mrisho mwana wa Kikwete? Mnakumbuka watu walivyojipanga barabarani...
Mshikamano
Uwajibikaji
Ufagio wa chuma
Uaskari wa miavuli
Kasi mpya, nguvu mpya, ari mpya
Kasi zaidi, nguvu zaidi, ari zaidi
Kuvua magamba
katika zote hizi hakuna iliyofanya kazi kwa manufaa...
Kwa muda mrefu kumekua na makelele dhidi ya mafisadi na ufisadi kwa ujumla. Serikali iliyopo madarakani ikaamua hatua za makusudi za kupambana na hali hiyo kwa kuchagua viongozi wapya ambao...
kwa mujibu wa takwimu ambazo zilipatikana wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika kwa jk kuambulia 61% baada ya uchakachuzi, ilisemekana kuwa ahadi za ccm zilifikia thamani ya fedha za tazania...
Hivi kuna ubaya gani wakazi wa kigamboni wakilipua hoteli ya south beach? au kuna ubaya gani watanzania tukisusa kwenda South Beach? au wafanyakazi wa south beach wakigoma? au kuna ubaya gani...
Mwanzoni mwa miaka ya 1980 halmashauri kuu ya CCM ilitangaza vita dhidi ya wale iliowahita wahujumu uchumi. Lakini kabla ya kuanza utekelezaji wa vita hiyo ulichukuliwa uamuzi kwamba wajumbe wa...
MGOGORO wa kugombea mali za Halmashauri ya Moshi zinazodaiwa kumilikiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana ulichukua sura mpya baada ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bernadette Kinabo, kususia...
Kama ulikuwa mvivu wa kunywa vidonge vya Viagra usipate tabu sasa wataalam wametengeneza bia ambayo ndani yake dawa hiyo maarufu ya kuongeza nguvu inapatikana. So next time ukiwa bar unapata moja...
Mwanzoni mwa miaka ya 1980 halmashauri kuu ya CCM iliagiza serikali kuwachukulia hatua kali wale wote iliowahita wahujumu uchumi.
Hata hivyo kabla ya kuanza utekelezaji wa agizo hilo...
Nianze kwa swali! Hivi CWT mnachowasaidia walimu ninini? Nadhani muondoe kifungu cha 'KILA MWALIMU NI MWANACHAMA' Hamuoni mnawanyima watu DEMOKRASIA ya kujiunga au kutojiunga? 1.Katika MANISPAA YA...
wadau, linganisheni kichwa cha habari na hizo aya nilizowekea rangi ya blue halafu muone aina ya waandishi tulionao
nawasilisha........................
CHADEMA: Tutahoji utajiri wa Ridhiwan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.