Nimeshangazwa na kitendo cha mwandishi wa Habari akimtaja dereva aliyesababisha ajali kwa kuanza kutanguliza asili yake kwa kuwa ni Mtanzania mwenye asili ya Kieshia. Nikajiuliza kwanini kwa huyu...
Inatisha kwakweli kile nilichokiona ktk tbc saa mbili! Sasa iv kila mtu atasema kaoteshwa! Naamini atatokea atakae oteshwa rais ajae na kwa ujinga wa watz tutamkabidhi nchi hii bila hata uchaguzi...
Wana JF,babu masapila anazidi kupasua anga,sasa hivi ndio topic.kipindi ni "ON THE SPOT" (Loliondo magic cure) wenye nafasi ni wakati muafaka kuwasikia wasomi wa jirani zetu wana maoni gani...
Katika marekebisho ya katiba mpya ya Tanzania kuwe na kipegele kinachoruhusu mgombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa pia mgombea ubunge katika jimbo analotoka ili kama atashindwa...
Nimepata tetesi kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa mh. huyo kuwa mwenyekiti wa chama hilo kongwe nchini na Afrika hapo 2012 ili JeyKey ajikite kwenye urais tu. Kisa alifanikiwa sana katika kampeni...
Habarini za Kazi Wakuu.
Kuna mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu kusuasua kwa huduma ya VODACOM M-PESA wanakosema kumesababishwa na kukosekana kwa Network? Au ndo ule wimbo wetu wajinga ndiyo...
kweli nimeamini dawa ya babu inapona magojwa yote sugu nilikuwa siamini sasa namini
haya ni badhi ya magonjwa ambayo imeshayapona mpaka sasa:
1. kuanguka kwa kikwete sasa hivi anaonekana ametakata...
Katika kinachoonekana ni kujitetea wanafunzi wa UDOM kitivo cha elimu wa mwaka wa 1&2 wameapa kutofanya mitihani yao ya mwisho wa muhula mnamo mwezi july kama hela za field zitakuwa hazijawekwa...
Ukiwa napesa za kutosha then ukawa hunywi pombe utafanya mabo mengi ya maendeleo, utajenga, utasomesha watoto , utafungua miradi ya maendeleo, utanunu gari nzuuri .nk....
Jamani jihadharini na...
sio siri namzimia kiukweli Jerusalem BIG UP man kwa sread zako. Nani anabisha soma hapa
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/122068-kwa-nini-thredi-zangu-zinafungwa.html
wadau wanajf, sina uhakika, naombeni mnijuze kuhusu ule utaratibu mh wetu alioudesa toka kwa Mh. Mkapa wa kuhutubia wananchi kila mwisho wa mwezi leo upo? Je atahutubia? 31 March ndio hii!
Nimekaa na kutafakari hivi vikombe vilivyo zuka si vya kutengenezwa na wale vijana wa Magogoni?
Ghafla zinazuka tu kama mvua za masika, au ni jeuri ya serikali ya CCM kufunika kombe mwana haramu...
Wakuu wenzangu kwa heshima na taadhima na mie napenda kuwaambia nimeoyeshwa rasmi...nitaaanza kutoa kikombe kwa Tsh 250/= taslimu pale jangwani effective from jumatatu.
Nimekuwa nikiangalia ukuaji wa vyama na nguzo za chama. Nimeona CUF inafanya vizuri sana Zanzibar, lakini Tanganyika hakuna kitu. Halafu kule Zanzibari nina wasiwasi kama Maalimu hatagombea...
Hivi Tigo modernmni ya utapeli?Nimejaribu kushawishika kunua moderm ya Tigo kwa ajili ya NET. Lakn imekuwa very slow ukitaka kufungua net hata ukifungua google, yahoo na zile simple website.Kabla...
Jana nilikuwa nimesimama kwenye kituo kimoja cha Daladala nikisubiri Usafiri wa kwenda City Centre. Nilikuwa mkabala na meza mbili za wauza magazeti na nikajikuta nikifanya kautafiti kadogo tu...
Hada UDOM kuna taarifa zisizo rasmi kuwa mkuu wa kitivo cha elimu pro:OSAKI ameacha kazi na kurejea T.I.E,kwa sasa kitivo hiki kinaongozwa na pro:MUTAHABA,wengine wanasema yupo likizo,wengine eti...
Jali ndoto yako,
Jaman watanzania wote wamekuwa manabii,
Mungu amesikia kilio chetu
ni ndoto kwenda mbele zinazo ambatana na kipato kidogo
Nawashauri watu kutopuza ndoto zao kwani ni deal...
Siku hizi, kuwa mtumwa sio lazima upelekwe amerika au uarabuni kama walivyofanyiwa babu zetu. Wao walibebwa kwa nguvu, na wengi wao walikufa kwa kukataa kuwa watumwa.Walikuwa wanakataa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.