Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kutangazwa kwa mapato yaliyotokana na dawa ya Mch Mwasapile kunaonesha kuwa mgawanyo wake ni kama ifuatavyo : Kanisa ni sh 200 kati ya 500 = 40% Mch Mwasapile (Babu) 100 kati ya 500 = 20%...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eti Waziri Mkuu hajui umaskini wa Watanzania unasababishwa na nini? Halafu anataka ufanywe utafiti ili kugundua chanzo cha umaskini wa Watanzania! Waziri Mkuu wa nchi baada ya miaka 50 ya uhuru...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wananchi wanaburuzwa na wabunge!!! Je...wabunge hawaoni Posho wanazo lipwa Bungeni ni kubwa ikilinganishwa na pato la mwananchi wa kawaida? Hebu fikiria Milioni 12....12,000,000/= kwa mwezi kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu Zangu, Ni matumaini yangu kwamba mu-wazima kwa kujiangalia. Natambua kutokana na sababu nitakazotoa baadae si rahisi kujua kama wewe ni mzima au la. Hata waliotoka Loliondo wanasema...
3 Reactions
63 Replies
6K Views
Nikisoma hizi sura za biblia,sishangazwi na yanayotokea,LOLIONDO,MBEYA NA TABORA,ni mwanzo wa mwisho tu;Mathew 24(23-24),At that time if anyone says to you,look ,here is the christ!or,there He...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kila kukicha tetesi. Zitto! Chadema! Sasa imekuwa upuuzi. Hakuna ushahidi wa lolote. Kila siku 'kuna taarifa'. Nguvu inayotumika kuchangia au kujibu tetesi ingetumika kuweka mipango ya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
MUDA mwingine haina haja ya kukaa na kuumiza kichwa kwanini hatuendelei,umaskini umewaandama watanzania walio wengi, jibu ni kwamba wengi ambao wameshikilia hizi sector muhimu wameridhishwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri Simba aonja joto ya jiwe kwa Babu na David Frank, Loliondo WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii Wanawake na Watoto Sophia Simba, ameonja joto ya jiwe baada ya kuzuiwa na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HIVI KAMA TAIFA TUNAUHURUMIAJE HUU MUDA TUNAOUTUMIA KUMJADILI BABU? Nimejaribu kujikaza kwa kuamini labda hili swala la Babu mwaisapile linaweza kupungua kasi yake soon na kuacha mambo ya msingi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kufuatia ugumu wa maisha, kunawizi umeingia Dar es salaam na inawezekana ukasambaa hata kwenye miji mingine mikubwa. Wizi huo uko hivi 1. Unaweza kupewa kipeperushi ambacho...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Sadaka kwa Babu yafikia mil. 50/- *Yeye kupata mil 10/-, kanisa, wasaidizi mil. 20/- kila moja *Kanisa kujenga jengo la huduma la kukaa watu 700 kwa pamoja *Wanasayansi Kenya wathibitisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu! Kama mtakumbuka JK enzi za boyzll men 2006, alipomaliza tu ziara wizarani, alifanya ziara ya ghafla pole sokoni kariakoo na kujikuta akishangiliwa sana. Akiwa na kauli mbiu mbili: "maisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wote tumeshuhudia media inavyotupasha habari kila uchao kuhusu yanayojiri kule kijiji cha Semunge wilaya ya Loliondo. Babu amekuwa kwenye kurasa za mbele za magazeti yetu kila uchao na kutufanya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zilizonifikia muda si mrefu zinasema babu wa loliondo amesema kuna meli inakuja na ndani yake kuna watu amba sio wazuri wanata kumzuru. Naomba mwenye data kamili za uhakika atufahamishe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Dukamba, amepewa adhabu ya kuning’inizwa mtini miguu juu kichwa chini, huku amefungwa miguu na mikono. Inadaiwa mtoto huyo mkazi wa kijiji...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vijana ni vijana wa ccm na chadema.Tofauti ni kwamba wa Chadema ni waheshimiwa na wanaongea lugha ya wananchi wote (+waliokomaa kifikra).Vijana wa chadema wanafanya vitu practical na wakiongea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tulishasema jaman hapo mwanzoni kuwa Loliondo patakuwa makaburini, ooh! watu wakaanza kututukana mara nyie mmetumwa ooh mara hili! Sasa mapema kabisa ukweli umekuwa wazi! Ukweli la suala la...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Niliwahi kuona misuguano kati ya magazeti ya IPP hapo nyuma na jamii ya kiislam. lkn kwa sasa yametatuliwa na yameondoka. nimewahi kusoma tahariri ya tzdaima ikipinga waislam kupewa mahakama ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya Babu wa Loliondo aliyekuwa Mchungaji mstaafu wa KKKT Mch.Mwasapile kuanza kutoa tiba kupitia dawa aliyodai ameoteshwa na Mungu...Kanisa lilimrudisha kazini haraka...Je? Kwanini...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
WANATAALUMA wa vyuo vikuu wameeleza kusikitishwa kwao na hatua ya serikali kutaka kuingilia uhuru wao, jambo ambalo linaweza kusababisha mvurugano. Wakizungumza na Tanzania Daima wanataaluma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom