Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Katika sehemu nyingi za hii nchi yetu mtu akipata mafanikio anaitwa mchawi au ananyonya damu au amemtoa mhanga mtu wake ili apate mafanikio... In fact katika sehemu nyingi mchawi na mtu mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jf Hawa jamaa hawana porojo porojo za vijiweni kama tulizo nazo sisi wabongo,wapo kimaendeleo zaidi USA wanapigana China inafikilia uchumi zaidi,hebu jionee hapa mwenyewe TED
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tangu tiba ya loliondo ianze, watu wamekuwa wakibishana sana. Wengine husema tiba hii imetoka kwa Mungu kwa kuwa watu wanapona na anayetoa tiba ni mchungaji, wengine wanapinga wakisema tiba hii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekiti awavua nguo wananchi, awapiga MWENYEKITI wa Kijiji cha Nkuu Ndoo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuwaadhibu wananchi wasioshiriki shughuli za maendeleo kwa kuwavua nguo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna gari moja chakavu linapiga mzigo Rombo nimeliona kwenye gazeti la udaku ambalo hutolewa na Global Publisher, nimeshindwa kuweka hiyo picha hapa jamvini ila kama ningefanikiwa kuiweka nafikiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wapendwa imefika wakati si kuhama hama makanisa just kumkimbia mtu ni wakati muafaka kama mna sehemu za kutuma shida zenu makanisan tuleteen hapa tusaidie kuwaelekeza watumishi wanaowangoza...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
nikiwa njiani kuelekea kazini leo asubuhi nilikutana na matangazo kuhusu kongamano la kisiasa la waislam jijini Tanga. Matangazo haya yapo kwenye karatasi za ukubwa wa A4 na ni black and white...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Bendera ya ccm ina alama ya jembe kumaanisha mkulina na nyundo kwa mfanyakazi. Hivi mkulima na mf'kazi wana lolote pale? Nadhani wafanyabiashara za mikataba tata kama rchm au dow.. (wanaofaidi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna swala linanisimbua siku nyingi sana, sijapata kufahamu mkuu wa jeshi la mgambo wala kambi au ofisi zao ziko wapi? Mnaofahamu naomba mnijuze
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwanahamisi Mruke (47) who was keep as a slave in the house of an indian doctor will be paid the said amount($ 41,000). sasa swali langu hivi huyu mama miaka yote hile yeye alikuwa anakubali tu...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Alianza Babu Loliondo, akafuatia kijana kule Tarakea, kisha mwingine tena Mbeya na sasa kuna mama huko Tabora. Wote hawa wanadai wameoteshwa kutibu magonjwa sugu na zaidi gharama zao (500) na njia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Serikali inaumwa, inajimwaga Loliondo Josephat Isango NIMEZUNGUMZA mara nyingi sana, kuhusu umakini wa serikali yetu na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Najua kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake..wah wa tra emu angalienm hili gari linawaaibisha..watwamechoka..wanakamatwa watu awana stika za rd lsc waanaishia kuombwa 30-50 alfu kutegemeana na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Written by administrator // 29/03/2011 // Sauti // 6 Comments...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Taifa la ajabu kabisa. Kila mtu anaoteshwa na tunaamini. Tunamiminika kwake kunywa dawa. Nimesubiri atokee mwenye dawa ya utajiri au kuongeza pesa mfukoni hajatokea. Usiku wa leo nimepata ndoto...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimemtazama waziri wetu wa Wanawake, jinsia na Watoto Bi.Sophia Simba akijibu maswali mepesi ya Mkuu wake. Nilichobaini ni kwamba kumbe Mawaziri wetu ni vilaza, waoga na wenye uwezo mdogo sana wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Pemba walilia Wakazi wa Pemba, wamemwomba Mchungaji Masapila kuwasogezea huduma ya tiba ya magonjwa sugu ili nao wanufaike nayo.Baadhi ya wakazi hao waliofika kwenye ofisi za gazeti hili zilizopo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi binafsi ninaamini nchi yetu inao wasomi wa kutosha(wa kweli) ukiondoa wale wengi wa vyeti magumashi wakiwemo baadhi hata ya waheshimiwa wetu. JE? Inakuwje baadhi ya kazi zinazohitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UJUMBE WANGU KWA CCM:- 1. Tuliwatisha kuwa wapinzani watatufikisha Rwanda, wakatishika, wakajificha, hali ilipoanza kutulia walihoji mantiki ya hoja yetu, kabla hatujajiba au badala ya kujibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Zangu, ” HAYO malumbano ni ya kwao, sisi hatuyajui, wala hatutaki kuyajua. Tunashughulika na kutekeleza Ilani tu… maneno maneno kama hayo hayatuhusu”. Anasema John Chiligati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom