Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Elias Msuya SERIKALI ya Rais Jakaya Kikwete imevunja Katiba kwa kutoteua makamishna wapya wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora baada ya makamishna wa awali kumaliza muda wao. Mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KATIKA kuonyesha kuwa mmomonyoko wa maadili unashika kasi kila kukicha nchini Tanzania, wapenzi wawili jana wameonekana wakifanya mapenzi hadharani kwa kuzidiwa na pombe kupita kiasi huko maeneo...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Kuhusu maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Malisa alisema UVCCM imebaini kuwa ni hila na njama zilizopangwa dhidi ya serikali yao. “Baraza Kuu linawataka vijana wote wa CCM...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kinajitambua kuwa ni chama cha kidemokrasia na kitaendelea kutafuta ridhaa ya wananchi ya kuunda Serikali kwa njia za kidemokrasia na kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CAIRO, Mar 21, 2011 (IPS) - U.S. Secretary of State Hillary Clinton last week paid a highly-publicised visit to Cairo's Tahrir Square, the epicentre of Egypt's recent popular uprising. But young...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
DID YOU KNOW THAT? This year we're going to experience four unusual dates. 1/1/11, 1/11/11, 11/1/11, 11/11/11 And that's not all... Take the last two digits of the year in which you...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BEIRUT, Mar 21, 2011 (IPS) - Libyan President Muammar Gaddafi's use of African mercenaries to quell the uprising against his autocratic regime has revived a deep-rooted racism between Arabs and...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Katibu wa chama kimoja ni Dr Wilbrod Slaa na wa Chama cha pili ni Yusuph Makamba, hapa ni kama Barcelona kucheza na Fc Arusha. Hakuna uwiano kabisa!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Siasa za Tanzania zina vituko vingi. Juzi vyombo vya habari vimeripoti kuwa Waziri wa Ujenzi Dr. Magufuli amejiuzuru wadhifa wake. Kwa mshangao wangu, Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi akakanusha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MARA kadhaa niliamini kuwa ninafanya makosa kuwafikiria watu wetu wana ubinafsi zaidi kuliko watu wengine. Ninapoona mtu kwenye gari la kubeba watu wanane anapita peke yake na mke wake pengine na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hawa mawaziri wa fedha sijui wakoje. Laana gani tunayo wa-Tz kukosa mawaziri wenye hekima? Mbona wanajisahau kana kwamba hawako Tanzania? Haya Pinda uko wapi baada ya kuhangaika na Magufuli...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mafisadi mmetuulia mashirika yetu tulioachiwa na Baba yetu wa taifa na kuongezeka kwa kasi ya watanzania wasio na ajira. Mmetuulia Shirika letu la ndege Air Tanzania, Viwanda, UDA na bado Mnatanga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya Kupanga maeneo ya Kinondoni,Mwenge,Kijitonyama na Sinza.Ofa yangu ni 150,000 hadi 200,000 kwa mwezi. Maelezo: Vyumba viwili vya kulala,sebule,jiko na choo (sio cha ku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali halisi ya maisha Bora ilivyopamba moto kwa kila MTAN...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
KUTOKANA na kujitokeza kwa mtu mwingine wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro anayetoa dawa ya kutibu magonjwa sugu kama alivyo Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF Sambamba na maandamano napendekeza kila mwenye uchungu na nchii hii ya Tanzania afanyekazi ya kuwaelewesha watanzania mmojammoja ubaya wa CCM na madhara yake kwa Tanzania nakuhakisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika kipindi kifupi wameweza kutekeleza wanachokiamini kumpiga Gadafi. Ni sehemu gani duniani ambako katika kipindi kifupi jamii au mataifa yoyote yenye malengo sawa yanaweza kutekeleza malengo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Anjouan will shortly face a joint Comoros-African Union military assault as about 500 troops from Tanzania are deploying in the Indian Ocean's archipelago to help the government regain...
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Jamani, Sijui kama na wenzangu huwa inawatokea, mwenzenu huwa inafika mahali tumbo linaniuma kwa kufikiria namna nchi hii inavyoongozwa na kikwete na serikali yake ya sisiem kama gari bovu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna uvumi kuwa kuna babu mwingine kaibukia Rombo. Huyu anatibu kwa 400 tu. Hahaa haaaaaaaa mwaka huu wetu!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom