Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baada ya chadema kuja na operation Sangara kanda ya ziwa na kufanikiwa kumshona sangara kisha kumwacha aishi salama,CCM nayo inakuja na operation ndoano je,wanataka kumvua samaki ziwani ambaye ni...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nipo kwenye semina ya wajasiliama inayoendeshwa ha Haidar Plaz nitakuwa nawajuza kila kinachoendele wanajamvini!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni baada ya miujiza ya Mchungaji mstafu Ambikile kujitokeza na kutoa huduma ya maajabu imepelekea TAnzania kuingia katika sura nyingine kwa kujulikana na mataifa mbalimbali na kupata wageni wengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kufuatilia utaratibu wetu wa maisha sisi watanzania nakubaini kuwa njia za mkato zinapendwa sana katika kutafuta majibu. Kwa harakaharaka inaweza kuonekana sio tatizo maana kama majibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inawezekana ndo ameanzia huko kwanza. Lkn kuna maeneo yenye matatizo zaidi badala ya kuonyesha ukabila zaidi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The ghost workers in the government have cost us over TZS 9 bn/= for the past three years. Jk is angry and 'surprised' but this a very old problem leaders come, see it get surprised, get angry and...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Hivi karibuni kumekuwa na matangazo mbalimbali yakitoka kwenye mabango na Television lakini hayabebi uhalisia kutokana na muonekano wa washiriki wa matangazo hayo Mfano: kama umebahatika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
We will not surrender," Gadhafi earlier told supporters forming a human shield to protect him at his Tripoli compound. "We will defeat them by any means ... We are ready for the fight, whether it...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii imekuwa kero kubwa sana kwa upande, nashindwa kuelewa ni sababu zipi zinazosababisha haya magazeti hayaingizwi kwenye tovuti kwa wakati? sasa je kwa watanzania ambao wako nje ya nchi hawana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu amani kwenu, Nimelazimika kuileta hoja hii kwenu, kwani siku hizi viongozi wetu wa kiroho wamekuwa wakizungumzia mambo ya kisiasa kwa niaba ya waumini wao na ukiwa ndio kama msimamo wa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakazi wa Mbezi Beach eneo la Samaki Wabichi, kuelekea Mbezi Juu kupitia Goba Rd, huenda wakakumbwa na bomoa bomoa ya upanuzi wa barabara ya Goba ambayo ilikuwa ni reginal road yenye upana wa mita...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa taratibu zetu hapa, hivi thread huwa inafikia mwisho ambapo inafungwa? Hiyo rule inasemaje? Kama hakuna rule kama hiyo basi tujifunze kuvumilia freedom of political speech. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sadick Mtulya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), unatarajia kutumia Sh400 bilioni kuzalisha megawati 300 za umeme na kuziingiza katika gridi ya taifa, ifikapo Desemba mwaka huu. Hatua...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
?“The rule is, jam tomorrow and jam yesterday - but never jam today.”
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau - natoa hoja hii: Kwa kuwa serikali ya JK imeamua kumsapoti babu wa loliondo -- Mchungaji Mwasapila -- kwa tiba yake na kuamua kumpa msaada mbali mbali pamoja na kumtangaza nchi za nje kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tetesi kwamba kundi la 5 * taarabu wamepata ajali huko kibaha na inasadikika robo ya watu wamekufa..!! Source: clouds fm
0 Reactions
127 Replies
28K Views
Si watu wengi wanajua ugumu wa utumiaji wa barabara hii ya Mbeya-Dar es salaam. Katika miaka baada ya uhuru wakti wa kusafirisha bidhaa kwenda Zambia hasa baada ya mgogoro wa kisiasa kati ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kutokana nakugundulika mionzi ya nyukilia kwenyeshena ya maharage!!!nawatahadhalisha wale wanao agiza magari Japan nibora wawashirikishe idara ya mionzi ya hapa nchini ili wakague magari yote...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
American Role in the Close of the World History is unknown to many thus raising a sense of confusion to many. America is depictyed by the Reveletion 13:11 as animal with hons like the lamb. This...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom