Sex video shocker
Anwar gesturing during a press conference at the PKR headquarters in Petaling Jaya to counter claims about a sex video. ROHAIZAT MD DARUS / The Star...
Nimekuwa najiuliza nini maana ya nchi zilizoendelea, na nini maana ya nchi zinazoendelea? ni wapi hasa tunakosea, wapi tuelekeze nguvu zetu kufikia maendeleo ya kweli? wewe km great thinkers...
Lipumba: JK atamaliza urais vibaya Send to a friend Sunday, 20 March 2011 21:04 0diggsdigg
Burhani Yakub,Tanga
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema Rais Jakaya Kikwete atamaliza muda wake akiwa...
Babu Abdallah Kifo (67) amemuomba mkuu wa nchi na serikali yake imsaidie kumsaka kijana aliyemkata sehemu zake nyeti ili aweze kumfikisha kwenye mamlaka husika.
Akizungumza mbele ya Mbunge wa...
Asante mkuu wa nchi.
Nakumbuka usemi wa mzee mmoja ambae alisema" atakachosema mkuu wa nchi hadharani kugeuka kama sheria" . hivyo basi tunaomba TANROAD , watendaji wa...
Nimeshuhudia baadhi ya waandishi wa habari wanaokuja wilaya ya Tandahimba wakilipwa Posho na Halmashauri ya Wilaya hiyo. Tena hupewa posho zaidi pale wanapotaka kubalance story ambazo zinawagusa...
SERIKALI: STUDIO YA JK NI YA WASANII WALIYOIOMBA
Mwakilishi wa Kampuni ya Fleva Unit ambayo ndiyo imekabidhiwa studio ya kurekodia muziki (Mastering Studio) na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete...
Unaposema tanzania it means unaijumuisha na zanzibar ambayo sasa hivi wengi ya watanganyika ndio wamegundua kuwa ni nchi yenye mipaka yake.
Sasa hivi kuna mjadala wa katiba,katika mijadala...
Wama Jukwaa naombeni msaada
Panya wamevamia nyumba yangu mwezi wa tano huu. Nimejaribu sana kupambana nao kwa namna zote imeshindikana kabisa. Mwanzoni nilijaribu kuwauwa kwa sumu. Kwa hakika...
MJI wa Maswa jana uligeuka uwanja wa mapambano baina ya wananchi na polisi, huku risasi, mabomu ya machozi na mawe vikitumika kama silaha baina ya pande hizo.
Polisi walitumia risasi na mabomu...
Ktk hali isiyokuwa ya kawaida diwan mmoja wa kimara akishirikiana na weneyekiti wa vijiji wamewaumbua wakubwa wa manispaa ya kinondon pale walipoambiwa kuna million kumi zilitolewa kwa ajili ya...
Ijumaa mida ya saa tatu asubuhi maeneo ya Wizara ya nishati na madini king'ola kinakuja kwa mlio wa kasi mara makachero wa usalama wa taifa wanawalazimasha wafanyakaz wa wzr na tanesco kumuimbia...
funika kombe mwanaharsamu apite.
usemi hiuu unadhihirika kaitika media ya Tz kwa sasa. watu tunapata umeme twente foo awaz na hatuambiwi nini kimefanyioka. mvua za masika zimenyesha na kujaza...
MKAZI wa Kijiji cha Kibuta wilayani hapa, Bw. Abdallah Kifo (67) ameiomba serikali kumsaka kijana anayetuhumiwa kumkata sehemu zake za siri ili
achukuliwe hatua za kisheria.
Akizungumza mbele...
Nimekuwa nikijaribu, kwa mara nyingi tu, kufuatilia waalifu ambao wamekuwa wakisumbua raia (micro and macro thieves) na kutaka kujiridhisha ha hatua madhubuti zinazochukuliwa na jeshi la polisi...
Monday, 21 March 2011
CHAMA cha Wananchi (CUF) wilayani Kwimba, kimewaponda viongozi wa Chadema kwa uchochezi na kumpongeza rais Jakaya Kikwete kwa kuongoza nchi kwa amani.Pongezi hizo...
Wandugu,
Hako ni kaswali ka kizushi tu. Huyu mheshimiwa naona ameanza tena kutembelea wizara na kutoa maagizo kwa waziri mbele ya watendaji wake. Ninachojiuliza ni je, kwani kwenye vikao vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.