Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu wana jamii,najua hapa inaweza kuwa sio mahali pake lakini naomba nitumie jukwaa hili kuleta kwenu habari ya kusikitisha sana na inayohitaji suluhisho la haraka sana kutoka serikali ya...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Jana kulikuwa na mjadala na kuwataka waislam kuacha kwenda liliondo. walisema hio ni dawa ya kiini macho. walisema kama kuna mtu amepowa kwa dawa hiyo ajitokeze waziwazi kabla ya kupoa akiuumwa...
0 Reactions
164 Replies
15K Views
Wakuu nilikuwa napitia pitia katika blogu mbalimbali nikabahatika kuangukia kwa inayoitwa blogu ya jamii ya Muhidini Issa Michuzi. Nimeshangazwa na habari picha nilizoziona zikionyesha mikutano ya...
0 Reactions
70 Replies
17K Views
Wadau wa Mwanza Airport, Mtu akitaka kusali msikiti uliopo ndani ya uwanja wa ndege Mwanza anapitia wapi? Manake kote kuna uzio? Naomba kufahamishwa!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna Makala moja ya kiuchunguzi ilichapishwa katika gazeti la the citizen na kuwekwa kwenye mtandao kuhusu tohara kwa wanaume inavyoweza kusaidia kupunguza maambukizi ya UKIMWI. Hata hivyo baada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sheria za kupata viza za wanafunzi nchini Uingereza zinatarajiwa kuwa ngumu zaidi- baada ya kuibuka wasiwasi kuwa mbinu za kuingia nchini humo kwa minajil hiyo hutumiwa kiudanganyifu Waziri wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
na Stephano Mango, Songea VIJANA wasomi wa vyuo vikuu mbalimbali nchini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamezindua rasmi kampeni ya ‘Washa taa mchana’ itakayopitishwa nchi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Polisi 'vinara' wa daladala mbovu Geofrey Nyang'oro MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imewashtaki askari wa Jeshi la Polisi kwa Rais Jakaya Kikwete ikidai kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
‘Ninawaomba viongozi wa dini msichoke kuombea na kuhubiri amani ya nchi yetu na upendo miongoni mwa wananchi wake.Jambo kubwa la kusisitiza hapa ni kuwataka watu wasibaguane kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuelimishwa, Nimeuliza hilo swali hapo juu kutokana na tukio lililojitokeza nikiwa kwenye dala dala hapo jana. Tukiwa kwenye dala dala ghafla simu ya mzee mmoja wa makamo ikaita. Mlio wake...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Polisi 'vinara' wa daladala mbovu Send to a friend Wednesday, 23 March 2011 21:28 0diggsdigg Geofrey Nyang'oro MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imewashtaki askari wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni?????????? Niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Hasara kubwa tutakayo ipata Tanganyika ikiwa Wa Zanzibari watajitenga ni mafuta yao ambayo mpaka sasa tunalazimisha kuwa ni ya Muungano wakati mapato ya madini yetu huku bara hata senti tano...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
nina furaha kuwajulisha wadau wenzangu hapa Jf kua ule mti ( mugariga) babu anaotaja kutumia ktk tiba yake akiambatanisha na maombi ulishafanyiwa utafiti huko kenya miaka ya nyuma kwa kule hautwi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba mnijuze kuna tetesi kuwa sibuka Tv inayoonekana kupitia startime ni ya TBC,mwenye ukweli juu ya hili tafadhali tunaomba Msaada wa kujua
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mchungaji Mwasapile kuhamisha utoaji tiba Send to a friend Monday, 21 March 2011 21:06 0 digg Mchungaji Ambilikile Mwasapile Kizitto Noya na Venance George,Loliondo MCHUNGAJI Ambilikile...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
So when your moods take a nose dive, don't do any thing just think! And wait! And of course fill your mind with prayer and postive thoughts. You will master your moods. And it will make the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
David Kinembe (Miundombinu-Kenya), James Kakuma (Biashara - Zambia), Akaja Akatomba (Nishati - Ghana), Nalia Namboo (Sheria - Botswana), Antonie Chipumbu (Fedha - Msumbiji), Chirambo...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
hi guyz, two months ago i came across a blogsite: The Mikocheni Report and ever since, i feel like i have missed sumthin really good if i don't visit that blogsite at least once during the day...
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Kiukweli polisi mjini wanazidi kuonesha mfano kwa polisi wengine leo tena wamefanikiwa kufanya mauwaji ya majambazi mawili likiwepo jambazi paul gilioma.habari zaidi nitazimwaga kesho baada ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom