National Microfinance bank (NMB) ni benki ambayo kwa muda mwingi imekuwa ikitambulika kama benki ya makabwera. na juhudi nyingi zimekuwa zikichukuliwa na serikali yetu(ingawa haimilikikiwi 100% na...
Nimesikia tetesi kuwa, jamaa mmoja aliyekuwa mchungaji baadae kuacha/kustaafu huko Loriondo amegundua dawa ambayo ni single dose (kikombe kimoja tu) ya kutibu magonjwa yanayosumbua wataalamu wa...
Soko la Mahakama ya ndizi lililopo Manzese jijini Dar es Salaam hivi sasa linavunjwa. Risasi na mabomu zinarindima, vile vile kuna Gongo la Mboto (Mabomu) yanatumika kwa sasa, na barabara ya...
Hapa ni mti wa papai, leo nimekumbuka faida mbili za majani ya mipapai moja ni dawa ya tumbo hasa kama una tatizo la choo kubwa . Unachukua hayo majanai na unachemsha na halafu unakunywa yale maji...
Heshima kwenu wana jamii forum.ndugu zangu nadhani umeme ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku kutokana na kukatika katika kwa umeme kumezua migogolo mingi sana mfano mimi ninafanya...
Jamani nimeamka salama na nipo ktk daladala naenda kusaka tonge ,gari limeshona watu ,nyuso zimesinyaa,kope zimelegea ,watoto wa shule ya msingi ila wote wamejaa mvi kweli maisha yanatisha watu...
Waungwana ijumaa wiki hii tutaangalia "Pamba: Ruzuku ya pembejeo imeongezeka, Uzalishaji Unashuka."
Mantiki hapa ni kwamba wakati serikali ilikuwa haitoi ruzuku uzalishaji ulipanda na kufikia...
Kwa kweli labda niulize aliemodify hii jezi ni nani kabla sijaelekea husika
jamani mlioona hizi jezi mpya n masikitko matupu kwanza naanaza kwa vitambaa mlivyochagua yaani ni bomu ovyo kabisa pili...
Wana JF naleta wazo tutengeneze list ya Great Tanzanian ambao wamepata kutokea ambao bado wanaisha au walishatangulia mbele za haki. List hii ningependa iwe ya great thinker ambayo haitakuwa...
''......hata kwa maeneo yaliyo mbali na viwanda vya sukari bei haiwezi kuzidi shilingi 1,700/= kwa kilo. Atakayeuza kwa bei kubwa zaidi ya hiyo anadhulumu,TAARIFA ZITOLEWE ILI HATUA KINIDHAMU NA...
Nakiri hadharani kwamba sijaelewa sehemu kubwa ya hotuoba ya rais ya mwisho wa mezi huu. katika haya yalionigusa na kufanya niandike hapa ni yafuatayo:-
Rais amedai kua kuna watoto ambao bado...
Ni kawaida kwa Rais kuhutubia wananchi wake kila mwisho wa mwezi, tar 28 Rais alikua na agenda tano, mojawapo ilikua kupanda kwa bei ya sukari.
Kutokana na spidi kubwa ya kupanda kwa bei ya...
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini January Makamba leo ameshindwa kutoa mapendekezo ya kamati yake kuhusu ufumbuzi wa mgao wa umeme nchini, kama alivyoshindwa rais JK katika hotuba...
Kampuni ya simu za mikononi ya tigo imezidi kuporomoka kibiashara katika maeneo ya kanda ya ziwa hasa mkoani mwanza kutokana na kutokuwepo hewani kwa muda mrefu. Ni takribani wiki moja na zaid...
Kampuni ya simu za mikononi ya tigo imezidi kuporomoka kibiashara katika maeneo ya kanda ya ziwa hasa mkoani mwanza kutokana na kutokuwepo hewani kwa muda mrefu. Ni takribani wiki moja na zaid...
Siku kadha sasa zimepita katika maeneo mengi gazeti hili halipatikani, nashangaa sana gazeti hili kutokuwepo kwenye meza nyingi za kuwekea magazeti ambayo watu hupita pale na kuperuz then...
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu nyenendo za Ngoyai Lowasa ambae kufuatia sakata la Richmond Development Co.LLC alilazimika kupima na kubwaga manyanga UWAZIRI MKUU. Nimebaini kuwa ukiacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.