Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
MWANAMUME anayesadikiwa kuwa jangili, ameuawa kwa kukanyagwakanyagwa na nyati mwenye hasira ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kumjeruhi mnyama huyo. Mauaji hayo yaligundulika juzi...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
nataka kununua gari. kati ya aina ya magari yafuatayo lipi litanifaa kwa mazingira ya Bongo? 1. Subaru touring wagon 2. Subaru forester 3. Subaru Legacy 4. Toyota estima Lucida 5. Toyota townace...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mtanzania wa kawaida hawezi amini kua taasisi za serikali na wizara mbalimbali zinanunulia senior officers wake nyama za kitoweo nyumbani kama huamini fika pale duka la nyama la ranch ya kongwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndg: Wana JF Mimi nafikiri tumuachie magafuli afanye kazi, Tatizo letu watz tunapenda lelemama, Maana Jamaa anafuta sheria wewe unajenga au unakaa sehemu kwa mazoea. Hili ni Tz kwa watz, Angalia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umeme wa Kubabaisha na Zabuni Binafsi ni Hatari kwa Taifa. Ndugu watanzania naanza kwa kuuliza hivi viongozi waadilifu waliotangulia kama Mwalimu Nyerere wangeanza biashara katika Ikulu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Unaweza hisi ni saa nane mchana watu wanaenda kusikiliza redio moja tu enzi hizo redio tanzania kipindi cha MAMA NA MWANA...lakini kwa masikitiko makubwa wapendwa nimeona niwape hii kwa manufaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A nеw instructional DVD entitled, Thе 5 Communication Secrets Thаt Swept Obama tο thе Presidency, featuring internationally acclaimed communication analyst аnd...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa hali ilivyo hivi sasa inanifanya nivute kumbukumbu zangu za miaka mingii sana nilishasoma hadithi ya wanyama ambao walikuwa na urafiki wa mashaka walipojumuika ktk sherehe mana simba alimtaka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wanajamii naombeni mnipe ushauri.sasa hivi natumia king'amuzi cha star times but channel nilizonazo ni bored kwangu me.nasikia dish za gulf star zina channel nyingi za michezo zinaonyesha mipira...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Kuna tetesi kuwa vyandarua vya bure vinavyotolewa kwa akina mama kule kliniki huwa havitoshi kwenye vitanda,familia nyingi za kibongo huwa wanalala na mtoto hivyo chandarua hakiwatoshi. Je...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu, Leo walimu ktk manispaa ya iringa wacharuka ktk kudai fedha zao za mizigo na nauli, pia kuna tetesi ya mgomo mkubwa kutokea. Nimeshuhudia vyombo vya habari vikiwa bize kukamata matukie...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimegundua maisha magumu jamani wa-tz wenzangu ,yani kuna matendo yanatokea nchini kwetu hadi yanatia huruma,maisha magumu hadi inafikia kipindi watu wanafanya vitu out of their conscious,sikia...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekuwa ikipokea mamia kwa mamia ya mialiko ya kumwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kushiriki...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kahama kumekucha chadema ipo kahama maandamano na wingi wa watu huku na wimbo wa chadema ukitumbuiza maafande nao wapo na mabom yao.NITAENDELEA KUWAJUZA.....pipooooz power.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau, Naona kuna watu wakiwa wanapost kwenye threads mbalibali huandika :A S 13: kwenye post zao. Hivi maana yake nini?
0 Reactions
25 Replies
2K Views
mwanafunzi aliyetoroka kwao kutokana na kupata ziro katika matokeo yake ya kidato cha nne arejea nyumbnai kwao jana. Jennifer alitoweka kwao Januari 30 mwaka huu kwa hofu ya kupewa adhabu na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani, sasa hivi niko kwenye daladala natoka tazara to posta, kunamtangazaji anaendesha kipindi cha mitikisiko ya pwami(nadhani ni radio times fm) mda wote anasifia timu ya chelsi na kuiponda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
soko la mahakama ya ndizi linavunjwa na hali si shwari risasi na mabomu ya machozi wafanyabiashara naona wamereact,mliokaribu fuatilieni hatma ya hapo mahali,wenzetu watafanyia wapi biashara kila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hamjambo kwa mara nyingine wanajamii, mfumo huu wa umeme umenishangaza, hapa ni jijini Dar es Salaam, mtaa wa Ohio, mkabala na hoteli ya Movenpick, karibu kabisa na Barclays Bank Ohio. kuna waya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Look at South Africa, US, Brazil, China, Morocco, Algeria . Look at how Addis is starting to look, look at Abidjan. This highway will change Nairobi for ever. I hope it wont be the only highway...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom