Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Sawa tunahitajia mitambo ya Dowans; DON'T BUY THEM, SEIZE THEM KWANI WAMEWADANGANYA! Kwanini mnatetemeka kwenye option hii. Vinginevyo si huwa tunaomba misaada ya kigeni, mwombeni Al-Adawi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Polisi mkoani Kigoma amemuua raia na mkuu wa polisi mkoani humo bwana George Mayunga anasema ni bahati mbaya na wananchi wawe na imani na jeshi la polisi....jamani jamani hii bahati mbaya kila...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jana nilisikia kupitia mtandao wa IPP na hapa JF kwamba kumekuwa na machafuko ya kidini huko Arusha. Nilitegemea kuwa leo ningepata habari zaidi kuhusu jambo hilo na kusikia kuwa viongozi mbali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo katika Jambo Tanzania kuna habari ya kusikitisha kuhusu binti (15) anayesoma darasa la tano huko Lindi. Binti huyo alikuwa ni mtoro na mvivu, walimu walipofuatilia wakabaini kumbe huwa baba...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
heshima kwenu wakuu wote ndani ya jforum.kama tunavyofahamu nchi yetu imeingiliwa na mdudu hatari katika kambi za kijeshi.hapa nchini.mdudu ambae kama hato pigwa afe ataendelea kuyabungua mabomu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waandishi mmetudhalilisha kama mlifanya hili milipotoka yapaswa muwaombe radhi wa Tanzania!Habari zilizopo nikwamba mlishindwakumpiga picha fisadi la Dowans Mliwekea shariti kuingia kwenye hotel...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sheikh Yahya Hussein: Serikali zisizotimiza ahadi kuangushwa Mnajimu maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein Mnajimu maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani unajua watz huwa tunafanya mambo kwa mzahamzaha.,yani siri huwa nakerwa na vijana wavaao tai bila kujua taratibu za tai zinataka nini,yani kuna hawa vijana wanaouza vyombo vya plastics...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
5 signs she’s into you You and a pretty redhead are tucked away in a corner table at that impossible-to-get-into new French bistro. And lo and behold, you notice she’s laughing at your jokes...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kAMA KWELI MAASKOFU WANATETEA MASLAHI YA TAIFA LETU NA SIO CHADEMA,MBONA WAMEKAA KIMYA KUZUNGUMZIA TATIZO ZITO LA UMEME KAMA WALIVYOISHAMBULIA CCM NA SERIAKALI KTK VURUGU ZA ARUSHA??
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wana JF maandamano ya Jana MZA ni ya msingi. Kweli vitu vimepanda sana bei Na Viongozi wetu hawajui wamelala usingizini tu. Lakini tuangalie nini kinasababisha Vitu kupanda Bei Je ni umeme...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), amemshitaki Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke, Steven Kongwa kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Hawa Ghasia, akidai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzanians undergo training on power distribution, transmission systems By Judica Tarimo 19th February 2011 Tanzanian Ambassador to the US Mwanaidi Majaar Tanzanian Ambassador to the US...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
PAMOJA na kusoma na kuhitimu madarasa ya juu kuliko wanafunzi wao, imeonekana kuwapo haja kwa walimu wa shule za msingi kupimwa welewa wa masomo wanayofundisha. Ili kulitekeleza hilo na kupata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
watu tumekuwa tukingojea sana ni siku gani tutafanya yale waliyofanya wenzetu wa Tunisia,Misri na sasa Libya.Habari za kuaminika zinadokeza kwamba ifikapo April mwaka huu serikali ya 'Mkwere'...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wana JF! TCRA kwa mujibu wa sheria iliyoanzisha mamlaka hiyo ipo kwajili ya kutoa leseni na kuregulate shughuli zote za mawasiliano(simu,radio,internet na televisheni). Sasa kwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
WikiLeaks founder Julian Assange loses extradition fight 11 hours ago by ?*Kev Hedges Politics - 1*comment Listen to this article (by ReadSpeaker) A district judge in south London has told...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika jitihada za kupunguza na kuzuia ajali, napendekeza kila kwenye zebra cross kuwekewe traffic lights ambazo zitaongoza magari na waendao kwa miguu kwa zamu. Hii pia itasaidia kupunguza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
When they promised better living standards, it this what they had in mind?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtoto Juma ambaye alikuwa akijieleza huku akilia, alisema, "pamoja na kujitetea kwa muda mrefu lakini mama hakunielewa hata kidogo na kuendelea kuning'ang'aniza kwamba mimi ndiye mwizi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom