Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Do not attempt to adjust your computer screens, this, in fact, is Oprah.....
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mh. William Lukuvi alkuwa katika kiti moto leo akitetea shahada yake ya uzamili kwa njia ya utafiti tu. Jamaa kama ni kutunza vitu kichwani amejitahidi. Maana alijibu maswali sawasawa bila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MWILI wa mtoto mchanga mwenye jinsi ya kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja, umekutwa ukiwa katika mfuko wa rambo kando ya Bahari ya Hindi karibu na Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wapendwa ninavyojua kuwa dalili za uwepo wa mvi ktk kichwa kinachangia kuwepo na chembechembe za busara hata robo,hoja yangu ni kuhusu kiwete hv anazo mvi au vipi?mbna kichwani ni nywele...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Walisema wahenga 'ngoma inogile' na 'asiye na mwana aeleke jiwe'. Ooo wadiba eee, mwanangu leo kapika kisamvu! Mambo ya ukwereni hayo, wewe utayaweza!. Sasa wadau wenzangu wanajf ishu iko hivi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa kama mdau mkubwa wa idhaa ya kiswahili ya BBC leo nimepata kufwatilia vizuri mjadala juu ya mabomu ya G. Mboto, mjadala ulikuwajumuisha wadau mbalimbali wakiwamo wakazi waliodhurika, waziri...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
This is how life in future is going to be. Click the link. 「未來世界」長這樣!觸控式螢幕無所不在 - 视频 - 优酷视频 - 在线观看
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nimepata taarifa toka kwa jamaa yupo jirani na jengo hili anadai Umoja House panawaka moto na zimamoto wameshawasili eneo la tukio. Kama kuna aliye karibu zaidi atufahamishe zaidi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani sijui ni komputa yangu au kitu gani tokea alhamisi website ya mwanahasi siipate nikifungua napata below msg The website cannot display the page HTTP 500 Most likely causes: <LI...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimepata leo kwa email yangu, baadaya ya ku-google nikakuta ni aina mpya ya scam ambayo mwisho wa siku utatakiwa utume pesa flani hivi, ni utapeli mpya huo tuwe macho Hi, My name is...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi siamini kama huyu ni mmiliki halali ya DOWANS!!huu ni usanii watanzania tunafanywa hatunazo!!wewe ulisikia wapi eti anatuonea huruma! Hii nikutaka kupooza moto wawa bunge kuhusu DOWANS sasa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakulu natumai wote mko poa. Jana baada ya kurudi zangu nyumbani mida ya jioni nilienda kumtembelea rafiki yangu ambaye ni afisa wa Jeshi la wananchi kambi ya Lugalo. Katika mazungumzo yetu...
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Wakuu mimi ni mmoja wa watanganyika wengi ambao hatukuona mkutano wa jwtz na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na side effect ya dowans. Leo bahati nzuri nimebahatika kuangalia marudio...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hali zenu wanajamii!!! Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeisoma hii habari imeniacha hoi!, ukatili kama huu sijui utaisha lini Tanzania, inasikitisha sana na wala haijapewa uzito unaostahili kwenye vyombo vyetu vya habari!!!:angry: "....Aliporudi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Binafsi huwa nasikiliza sana redio za dini mbalimbali hasa linapokuja swala la kitaifa. kwa bahati mbaya husikia sana chadema ikitajwa kwenye redio za kiislam, makongamano ya kiislam na kutajwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Tarehe 21 February 2011 majira ya saa tano na robo mchana, nilimsikia Mbunge wa Arusha Mhe Godbless Lema akihojiwa na mwandishi wa habari wa Star TV juu ya kupunguza msongamano wa magari jijini...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimesikia eti serikali ina mpango wa kusitisha matumizi ya noti mpya baada kuonekana noti feki zimezagaa kwa wingi kila kona ya nchi hivyo kuwa vigumu kuzidhibiti kutokana na kufanana sana na noti...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maajabu Wednesday, 23 February 2011 09:29 *Paka anyofoa nyeti za babu *Akimbia na kuzila Na Waandishi Wetu, Manyara MAJONZI na masikitiko vilisababisha kikao cha wazee kuvunjika ghafla...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama ilivyo kwa polisi, Trafiki, FFU na askari wa kawaida wote husoma kozi ile ile; pia kwa uandishi wa habari, waandishi wa magazeti, watangazaji wa redio/tv na wapiga picha husoma kozi moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom