Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna tetesi kuwa bomu linapolipuka hufuata mionzi ya simu na eti inashauriwa kuzima au kutupa mbali mara usikiapo bomu limelipuka karibu. Hivi karibuni wakazi wa Kitunda waliwalazimisha wenzao...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wanaJF, hakutakuwa na mjadala wa Dowans tena ITV kwa sababu ambazo hazijaelezwa!!! Hii ina maana gani jameni hapo ITV? Sorce, ITV news
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo usiku huu itv ilikuwa waendeshe kipindi ambacho kingejadili mambo ya Dowans lkn kupitia taarifa ya habari saa mbili wamefuta kipndi hicho kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao.. Meanwhile kesho...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Just appreciation, Man Names His First-born Daughter And who will name his daughter/son JamiiForums? and Why?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF habari zenu. Ngoja nikupenii hii habari, Juzi tarehe 19 jumamosi usiku nilienda CRDB ya Holland house ku deposit laki 3 kwenye Atm, nimewahi kutumia hii huduma siku za nyuma na sikupatwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Imagine after a longtime of suffering and poor salaries....atlast comes a black...moreover young MD to take over from the southafricans (kaburu's) and everyone thinks atlast we come somewhere to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nafikiri kuwa huyu bwana aliyengangania kurudi ikulu kwa kusaidiwa na tume ya ccm ya uchaguzi kuchakachua matokeo ya kura za uraisi ndiye ndiye mtu pekee naweza kusema aliyekabiliana na changamoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Through Science and innovation, excellent use has been found for rats in some part of Africa. The HeroRATs Campaign was launched by its parent organization, APOPO, to tell the stories of the rats...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waungwana. Hivi kufuatana na taarifa za ki-intelejensia Ghadafi anaweza kweli kuswali swala ya Ijumaa ndani ya Ikulu wiki hili? Au mwisho wake ndo umekamilika? Naombeni mchango wenu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hasikiki huyu mwenzetu takriban wiki sasa, yu wapi au mabomu yamemsibu? Tujuzane!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
sijuzulu.....ni maneno ya waziri wa ulinzi akinukuliwa na magazeti. hakuna atakayejizulu maana katika jeshi hakuna siasa....ni maneno ya ofisa wa jeshi akinukuliwa na magazeti. poleni kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hawa jamaa wa tawi la NBC dodoma barabara ya nyerere ni wezi jamani angalieni walichomfanyia mshikaji wangu jamaa alililipiwa ada na mtu wake wa karibu benki tela alichokifanya kapokea pesa alafu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF Habari za Weekend, Wenzangu na Mimi Poleni Na Mninginio maana pengine Ukali wa maisha na Mfumuko wa Bei ndo unasababisha Tupige vyombo vya Ilala Kwa sana ili kupunguza misongo ya mawazo...
0 Reactions
37 Replies
14K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa hapa tz hakuna chuo kizuri kwa science oriented courses than UD,lakini cha kushangaza hao wasomi tunaowategemea kila siku wako kwenye migomo,ni kweli wanadai haki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zimbabwean President Robert Mugabe is unlikely to be forced out by a popular uprising like those in Egypt and Tunisia and plans to entrench his 31-year rule through elections later this year...
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Jay z grew up in masonic order when he released his three ulbums i ) Blue print one 2) Blue print two 3) Blue print three It mostly considered that his song 'Run this town ' has a lot of...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Huwa nawaza na kuwazua kuhusu our president,huwa napata maswali yasiyo na majibu khusu huyu jamaa yangu aliyepita uraisi kwa asilimia 61% hivi ni mtawala au kiongozi?huwa nawaza na nakuwa ktk ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Rais wa sudan amesema hatowania tena muhula mwingine kwa sababu za kiusalama,,... ktk uchaguzi ujao ..kutokana na shinikizola mabadiliko linaloikabili mataifa ya kiarabu ikiwemo nchini mwake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ZAIDI ya watoto 80 wanaendela kusota katika uwanjaw a Sabasaba walipohifadhiwa ili wazazi wao waende kuwachukua mahali hapo. Watoto hao ambao wamehamishwa kutoka Uwanja Wa Uhuru na kuhamishwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba mzigo wa noti mpya ulipowasili tu airport wajanja wachache serikalini walichukua pesa nyingi na chache ndo zilipelekwa BOT kwa ajili ya kuingia kwenye mzunguko, ndo maana hadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom