Nimesikia sasa hivi kwamba huko kitunda kuna utumbo wa binadamu unaning'inia kwenye waya wa umeme mpaka hivi sasa ninapoandika, ni habari inayonishangaza na nimeona niirushe kwa faida ya wanajamii...
Nimesikitika sana na uamuzi wa TANESCO kukata umeme huku mimi na familia yangu tukisubiri tamko au mwongozo wa haraka haraka kutoka kwa uongozi wa JWTZ au wataalamu wa mabomu ili tuweze kujua nini...
Mh. Yusuph Makamba leo amesababisha kizaazaa maeneo ya Tegeta baada ya kujipendelea maji ya kisima huku wananchi wenzake wakikosa maji kwa muda mrefu. Wakilezea tukio hilo kwa Mwandishi wa ITV...
Mimi nimeshikwa na Butwaa!!!Mimi sijui kama nipo Tanzania Nchi yenye Serikali!au Nipo Somalia??Nchi inayojiendeshea kienyejikila kukicha!!Aiingii akilini kama kweli Nchi hii yenye utawala tena...
Wana JF nawaomba tukumbushane ni kama sasa tunaelekea kutaka kupoteza na kuzima moto wa kushughulikia Katiba mpya.Kama kawaida yetu watanzania tunajidai tunajadiliana kwa muda mfupi halafu eti...
Makombora yatua nyumbani kwa Pinda Send to a friend Sunday, 20 February 2011 09:00 0diggsdigg
MWANANCHI LASHUHUDIA, ASKARI WAFUTA PICHA KWENYE KAMAERA...
Yaani nilikuwa naangalia kipindi cha mapishi mida mchache uliopita ,wakionyesha sijui wanaita Bif diana ,sasa kubwa ambalo niliona aibu wakati nikiwa na wageni zangu kutoka Ulaya tukiangalia ,aibu...
Kwa wanaoolewa cost za umeme kupitia LUKU wanisaidie
Mimi ninatumia LUKU nyumbani kwangu,mara ya mwisho kununua umeme wa LUKU ilikuwa 22/12/2010.Sasa juzi umeme ulikwisha gafla na mimi nikaona...
jamani serikali imetangaza kwamba itagaramia mazishi yote na jana walikuja kwa jirani yetu wakatangaza watatoa sh.1.5m kwa ajili ya kusafirisha na watato mchele na sukari na mafuta hiyo ilikuwa...
Baada ya kulidanganya bunge kuhusu mauaji ya Arusha na kugundua kuwa kweli hakuwa sahihi (Kutokana na Spika kutokumhoji tena Mh.Lema), nilitegemea Waziri Mkuu angetumia fursa ya kuhairisha bunge...
Jana wakati jeshi la Tanzania linatoa hoja tofauti pamoja na kujibu maswali ya waandishi wa habari kutokana na milipuko ya mabomu yaliyotokea kule G/Mboto na kuadhiri maisha ya Watanzania...
Nikiwa Mdau wa Elimu ninayomasikitiko yangu kwa kuona shule ya Bweni na Kutwa Bunju Girls secondary school haina walimu wala kiongozi, tangu kuanza kwa mwaka huu, watoto wapatao 500 hawajapatiwa...
Siku zote najiuliza lakini sipati majibu nisaidieni wa JF, hivi hawa sisiem kwanini walitumia mafweza meengi sana kwenye uchaguzi uliopita huku wakijua wana uwezo mkubwa wa kuchakachua matokeo ...
gazeti l la Rai Feb 17, 2011. ktk gazeti hilo nimejionea sababu halisi za kupaa kwa bei za mafuta nchini. Nimekua nikisikia Burundi na nchi zinazopitisha mafuta yao hapa nchini bei zao ziko...
Nimeangalia ze comedy Tbc 1 sijaipenda hii kwenda pale uwanja wa wa uhuru na kuanza kuigiza hukuwa wahanga wa tukio hilo wakiwa na majönzi na simanzi nimechefuka na hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.