Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Paradiso ndio ipo kati milele ya mbingu na sehemu anayoishi Mungu,Mwana wa Milele,Roho[Infinite Spirit],na wapambe wao. Hiki Kisiwa cha katikati ndichi kitu kikubwa katika vitu vyote vilivyojengwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
yaan tumekwenda na rafiki yangu, akaniambia wahuhudumu wa hapa ni balaa kwa kuchakachua_akasema ngoja ucheki, akamwita muhudum akamuuliza bei ya Savannah, muhudum akasema 3500/_ingawa hatukuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi! Nahitaji anuani ya Ofisi ya Posta Dar. Maana kuna mtu anataka kuniagizia mzigo(from TZ to USA) ila kadai kuwa hajuwi ofisi hiyo ilipo!shukurani mbele
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MSAFARA wa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange, wameonja adha ya mgawo wa umeme baada ya kukwama kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nina ndugu yangu wa karibu ambaye ni mwanajeshi anasema taarifa za kulipuka kwa hayo mabomu zilijulikana tangu siku ya j'tatu . askari wa wadogo ambao ndiyo hasa walinzi wa hayo maghala...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani namshukuru Mungu kwa ulinzi wake wa kiungu mm na familia yangu na majirani zangu na wote tulio nusurika na janga la mabomu la gmboto. Kifupi cjasimuliwa bali nilishuhudia na kunusurika...
0 Reactions
137 Replies
9K Views
Kuna mwanadada mmoja alikuwa anatoa ushuhuda Radio Safina, mh kasema makubwa. kasema kuwa alikuwa amechukuliwa msukule na waziri mmoja na kazi yake usiku ilikuwa kuwanga, kwenda kuzima, kuua na...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Wakuu ninapopost hii msg nipo msibani kwa jirani alouawa na bomu chakushangaza kama siokusikitisha ni hali ya mabomu yolozagaa mtaani kwetu mpaka dk hii nashindwa kuelewa kazi ya jeshi na kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mobile Phone Tips ----- 4 THINGS YOU PROBABLY NEVER KNEW YOUR MOBILE PHONE COULD DO There are a few things that can be done in times of grave emergencies. Your mobile phone can actually be a...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna tetesi baadhi ya manyang'au yametoa hifadhi kwa mabinti waathirika wa mabomu na wanawala uroda. Wanaharakati wa haki za watoto fuatilieni hilo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nchi yetu, vituko haviishi. Kila sehem kuna mambo yake. Na watu wake huamini kuwa ni mambo ya kawaida na ndio nchi inatakiwa iende hivyo. Licha ya kwamba mengi katika yanayotokea tuhuma huelekezwa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ndugu JK, nadhani sasa ni wakati muafaka kwako kutumia madaraka uliyo kabidhiwa na wananchi kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote. Tunatarajia,kwa hili la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nauliza, mabomu ya atomic nayo yalilipuka? Mie nashauri kuwa makomandoo tulionao Tanzania wapite kila kambi ya jeshi Tanzania na washirikiane na wanajeshi kuchimba mahandaki ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau mi nimekosa majibu naomba mnipe mawazo.Kumbuka ukiwa na mipesa mingi presha na mawazo yanakuwa juu,hapa furaha hakuna.Utakuwa na mke/mume mzuri lakini kilasiku ni matusi au ngumi na mateke...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi Mzee Ali Hassan Mwinyi kukubali kuwajibika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani halikuwa somo kwa taifa????????? Tujifunze nini kwa mtoto wake kutamka kijeuri kwamba hajiuzulu kwa suala...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana nilisikitishwa baada ya kuona Wafanyakazi watatu waswahili wa kampuni ya uwindaji ya Robin Hurt yenye makazi yake jijini Arusha, na ambayo ina vitalu na kambi zake za uwindaji huko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Majanga!!!!!-majanga!!!!!-majanga!!!! Mara mv bukoba!!, mara ajali ya treni dodoma!!!,.... ajali za barabara kibao!!!, ...mabomu g/mboto 1!!!!!,....mabomu mbagala!!!, ...arusha trajedies...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona kuwa kila saa mkuu mmoja akiharibu huwa uovu wake unafichwa kwa kisingizio cha Usalama wa Taifa. Watanzania, kiongozi akifanya kosa, akiiba, akidanganya, ni lazima awajibishwe, huo sio...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu kwema? usiku wa kuamkia leo wakati narejea home kutoka kuwapa pole wahanga wa mabomu ya gongo la mboto,niliikuta radio One inatumbuiza miziki laini,meseji za kuwaliwaza wafiwa,wahanga...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu lazima ifike sehemu tuache porojo na tueleze mambo kisayansi. Tunaambiwa Milipuko iliyotokea mbagala na sasa gongo la mboto inasababishwa na uchakavu wa mabomu na pia joto kali. Naomba...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom