Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna matangazo nayasikia mara kwa mara kwenye vyombo vya habari ambayo waandaaji wa matangazo hayo wanaamini ni njia mojawapo ya kupeleka ujumbe wa kuwakinga wanawake/wasichana na maambukizi ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimesoma post yenye tamko la Mhe. Mnyika binafsi kwanza nimeliona liko too soft, sidhani kama hiki ni kipindi cha kuwa kidiplomasia namna hii wakati wananchi wanaendelea kuteseka. Kigezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Walking tho the bush today I stumbled across jars of cannabis, wit a street value of millions of shs. wot do you fink i should do: A........involve the police b........pick it and reck...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wana JF kuna kitu nimekuwa nikijiuliza kwa muda, kwa maisha ya sasa yalivyokuwa magumu kwa mtanzania aishie Dar ni shilingi ngapi kwa mwezi kama mshahara yaweza kumtosha angalau kupambana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani ninauliza kwanini? Kila uingiapo JF, majukwaa yanayoongoza kwa kuwa na posts nyingi na viewers weni ni 1. Jukwaa la siasa 2. Mahusiano na mapenzi na urafiki 3. Hoja mchanganyiko Nini chanzo??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana jf mimi maoni yangu kuhusu hizi kamati za bunge ni kama uvujaji wa pesa. Hizi kama zipo lakini matatizo yako palepale leo utasikia wapo ziara mtera, mara wapo bagamoyo kwenye vikao wiki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naona jamii hawa wamejitokeza kulaani mauaji ya wanasongea. ------------------------------------------- TAARIFA KWENDA VYOMBO VYA HABARI Hii ni taarifa kwenye vyombo vya habari kulaani mauji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Source: BBC Idhaa ya Kiswahili matangazo ya saa 12.30 jioni Polisi inawashikilia watu wanne (4) - watu wawili raia wa Pakistani na wengine wawili raia wa Tanzania kwa kukamatwa na madawa ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tarehe 13 nov 2009 ndio tarehe iliyoandikwa barua na M/KITI WA HARMASHAURI YA WILAYA YA KYELA kwenda kwa diwani wa Kyela Mh Mahenge maarufu kwa jina la MAKETE/HALF LONDON nakala kwa tamisemi...
0 Reactions
101 Replies
12K Views
Kulingana na uwepo wa mahitaji makubwa ya kuongea mambo ya msingi yahusiyo taifa letu kwa uhuru bila kufungamana na upande wowote tunahitaji TV channel iliyohuru yenye kutupa nafasi yakuyaongea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgombea wa urais nchini Kazakhstan amekuja na kampeni ya urais ya aina yake duniani kwa kutamba kuwa atawapatia waume wanawake wote wa nchini humo ambao hawajaolewa. Mgombea urais wa nchini...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
JESHI la polisi mkoani Arusha limelazimika kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi. Wafuasi hao walikuwa wakitoka mahakamani huku wakimsindikiza mbunge wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habari JF! Kuna jamaa yangu katika harakati za hapa na pale za kjikimu kimaisha amefanikiwa kujenga maeneo ya kawaida...wayaita yasiyopimwa (squator area) Kwake imekua kero..mara jirani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mnaweza kunisaidia kumpata Mganga aliyewapumbaza watanganyika! kupitia yeye tunaweza kugeuza hali ya mambo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kutoa maoni yangu Hivi hii nchi imeshakua ya watoto? tunao wasome, wazee, etc ila utashangaa vitu vinavyofanyika kama vya kitoto bila hata kukemewa. Ninamaanisha huyu jamaa mmiliki wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna ghorofa linateketea kwa moto,maeneo ya upanga kwa takriban masaa nane sasa,lakini zimamoto wamekuja kulishangaa na kuacha likiendelea kuteketea huku wakitegemea litajizima lenyewe!!Kwa mtindo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu yenu nimefiwa na baba yangu jana tar. 18/2/2011 muda wa saa 11 jioni kwa habari toka kwa ndugu zangu, mimi ndugu yenu nipo nje ya TZ, ni vizuri kukaa mbali lkn yanapotokea mambo kama haya...
0 Reactions
135 Replies
12K Views
Note; Najua hii forum haiendani na topic yangu, but kwa kuwa Wataaluma wengi hupitia hapa naomba hii post ikae hapa kwa muda....tafadhali Wakuu Dear JF Members, a favour please; Am working on...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Pongezi nyingi kwa wana JF, tujitahidi kuweka taarifa sahihi ili kuelimisha uma ya Watanzania na wana JF wote.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom