Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baada ya mlipuko wa mabomu Gongo la Mboto Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi anatakiwa kujiudhuru kwa kuendelea kuvurunda hata baada ya milipuko ya Mbagala.Siri ya kutomteua naibu waziri wa Wizara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naomba akina Kibonde mtupatie majibu mbona Cloud TV inaonyesha cheche tupu tangu jana au mabomu ya Gongo la mboto yaliwalipukia? Tangu jana cloud TV imekuwa haionyeshi kitu chochote zaidi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari members JF! Jamaa anae demu wake lakini demu hajulikani kwao wala jamaa hajulikani kwao na demu! Wamelala usiku asubuhi demu ametoka roho(amekufa) sasa jamaa hajui anmpeleka wapi huyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanasema abiria wameachwa uwanja wa ndege bila maji wala chakula. Armeijan ammusvarasto räjähti Tansanian Dar es Salaamissa - suomalaisia motissa - Ilta-Sanomat
0 Reactions
20 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mabadiliko katika safu ya maofisa waandamizi wa Serikali kwa kuteua Makatibu Wakuu wa Wizara wanne wapya, kuhamisha wengine wawili, na kuteua Katibu wa Rais...
0 Reactions
76 Replies
12K Views
Waungwana kuna rafiki yangu yuko mkoani hana connection na mtandao kwa hiyo katika ongea naye ndio akanigusia juu ya uhitaji wa gari kwa ajili ya kumsaidia mke wake mambo ya hapa na pale ikiwa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niambieni! Mnakubali kuwapa matapeli ushindi?!! ina maana ukiishiwa pesa yakubidi uende kubomoa Bank ukaibe? matumizi yako hayakukuashiria kwamba unaelekea kuishiwa ili ukajenga mikakati halari ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana-Jamiiforum Members and guests,nashauri iwepo siku ya HASIRA Tazania ili tuweze kuwaweka viongozi wetu kwenye mstari kipindi hiki cha mageuzi ya kiuchumu tuendane na soko huria na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Enzi zile 2likuwa 2nasoma vitabu na hadithi kama: juma na roza (pipiii,simile nipite na motokaa yangu) sizitaki mbichi hizi pamela na kipini bulicheka fikiri mimi masikini edina na bustani...
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Wachezaji wa golf waliokuwa wakicheza katika viwanja vya Dar es Salaam Gymkhana Club leo jioni, wamekumbwa na maafa makubwa baada ya mvua kubwa kuanza kunyesha zikiambatana na upepo mkali...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Kama tulivyoona au kusikia kauli mbalimbali kuhusiana na haya matukio ya Mbagala na Gongo la Mboto, wanasema makazi ya watu yanatakiwa kuwa mbali na kambi za Jeshi. Kama ndiyo hivyo, Je makazi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wenu nimeibiwa kadi original ya gari na vibaka waliovunja kioo cha gari na kuiba pamoja na vitu vingine. ni nini nahitaji kufanya police tayari nimetoa taarifa je nahitaji...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ni sms inayosambaa kwa kasi jijini Dar na mikoani. Nimeinakili kama inavyosomeka ktk heading.
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Kuna umuhimu wa kuwa na square hapa Tanzania ,hiyo iwe ni sehemu ya kukutana kwa wafurukutwa/wanaharakati wa maisha ya wazalendo wa nchi hii,huko Kenya kuna Kamukunji na Uhuru gardens,vilevile...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Haya kesho ndg zetu watakua wanasherehekea kuzaliwa kwa Mtume SAW. Ninawatakia sikukuu njema ila ombi langu kwenu, kesho viongozi wenu wajitahidi kutoa speech zenye mwelekeo wa nchi na sio...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Vituo vya utalii kujengwa Dar HALMASHAURI za Jiji la Dar es Salaam, zimeshauriwa kutenga maeneo kwa ajili ya kujenga vituo vya kitalii ili ziweze kujiongezea mapato. Ushauri huo ulitolewa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Poleni sana wakazi wa Gongo la Mboto
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Chanel 10 hawaonyeshi Barca VS Arsenal, kama unapata ATN poa lakini kama hupati ATN na utamia star times kama mie basi mzigo upo KBC nawakilisha
0 Reactions
14 Replies
2K Views
nimesikia ule utaratibu wa kukopeshana mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kununua magari ya kifahari unaendelea, kama kuna wakati wa kuwaonyesha watanzania njia kwa vitendo ni sasa, hata kama ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom